Mh Habib Mchange unahujumiwa Kibaha mjini?

Status
Not open for further replies.
Kama Mchange hujajibu juu ya fedha zetu wanaKibaha, hatutaki kukuona huku? Na kama Kubenea anataka ubunge Kibaha kupitia chama chochote anakaribishwa. Bora yeye mtu wa Pwani kuliko wanakibaha kutawaliwa na mtu kutoka Ruvuma akajifanya mtu wa Pwani. NG'O

Ndio maana hata wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2010 wakati MCHANGE akigombea KIBAHA MJINI mchango pekee aliopewa na CHADEMA ni shilingi laki tano tu(500,000/=) tena siku tatu kabla ya kampeni kuisha huku wakitaka kutompeleka SLAA jimboni mwake mpaka walipogundua kuwa MCHANGE ana nafasi kubwa ya kushinda ndipo wakampeleka SLAA saa nne Asubuhi wakati jimboni kwa JOHN MREMA aliyepata ASILIMIA SITA ya kura zote SLAA alipelekwa vijiji vyote...


hilo linafaa kuwa jibu lako sahihi kabisa...
unatakiwa kwanza ukaweze kuwashawishi wachaga wenzako kule vunjo ndo uhamie kibaha...
 
Too easy to be predictable" truly you are loosing it: you could do better to maintain your credibility

nenda kibaha ukajionee mwenyewe kama anashindwa au anashinda?.
achana na porojo za wadhembe wadhembe hawa...
ze dogo ni zaidi ya mashine
 
Mkukutwa/Ado/Biera/GUTA/Seki6/Kamatikuu/Mchange Unachokifanya kwenye huu uzi ni kuthibitisha kwa kiasi kikubwa jinsi usivyofaa!Kwahiyo chama chako kisipokuwa nafasi ya kugombea unaonekana utajitoa kwenye chama!Ndo nyinyi ambao hampaswi kupewa nafasi yoyote kwakuwa hamkawii kupiga picha na mafisadi wenzenu na kujifanya mmerudisha kadi.Kesho yake utasoma na kusikia eti kigogo wa cdm ahamia ccm!Vitu vingine trend yake inajulikana bila hata intelijensia.Huna cheo chochote unajiita mh!Kama sio tabia za kimagamba ni nini.Dr.Slaa watu kama huyu ndo wanaharibu chama,msiishie kwa madiwani wa arusha tu fukuzeni wote wasio na nidhamu na chama including huyu anayejipa majina mengi humu huku uandishi wake wa shari ukiwa unafanana kwenye kila post.
 
MIMi nimpiga kura wa jimbo la Kibaha Mjini. Kura yangu nilimpa Habib MChange, mgombea ubunge wa Chadema. Lakini tangu kumalizika uchaguzi mkuu bwana huyu nimemuoa mara moja tu, wakati alipokuwa anatuomba tumchangie fedha ili aweze kufungua kesi ya kupinga matokeo ya ubunge. Tukasimama naye na kumchangia.

Lakini Mpaka leo, hatujasikia kesi hiyo ikifunguliwa wala hatujamuona Mchange Kibaha. Je, mbunge wetu mpendwa uko wapi? Njoo Kibaha utueleze juu ya kesi yetu na kama huna majibu, turudishie fedha tulizokuchangia. ZK

wewe sio mpika kura wa kibaha....
wala hata hujui kibaha ikoje ikoje na inaishije ishije...
soma hii hapa chini.....
Na hata alipofungua kesi ya uchaguzi kupinga matokea CHADEMA ilikataa kumchangia hata mia na kumwachia mwenyewe mzigo wote huku ikimlipia million 15 FRED MPENDAZOE

 
Haa,haa,haa nadhan mchange atashinda,watu wa kibaha wanampenda sana..Tuache majungu.
 
wakuu.
nimeambiwa kuna post hapa jamvini ninatakiwa nitolee ufafanuzi. baada kwa umakini sioni kama kuna haja yoyote ya kutoa maelezo kwa kuwa yanayozungumzwa hapo yote ni maswala ya kufikirika tu.
sina haja ya kuanza kubishana na mtu yoyote nafasi yoyote na cheo chochote.
mimi ni mwanachama hai na makini wa chadema ila sina mkataba maalum wa kwamba nitakuwa mgombea wa milele wa chadema kibaha, mkataba pekee nilio nao ni mimi na wananchi wangu wanaoniunga mkono na kuniamini kwamba ni kifo tu kinachoweza kunizuia kuwa mbunge wao 2015. nasisitiza ni kifo tu kinachoweza kunizuia kuwa mbunge wa kibaha 2015 na sio ugombea.
kwa wale pangu pakavu tia mchuzi wanaoishi mjini kwa kutega masikio wasikie nani kasema nini ili wauze umbea kwa mabosi wao nawaomba waichukue hii kwa makini sana.
nimeitumikia siasa kwa muda mrefu wa kipindi changu cha utu uzima hivyo ni lazima kama ijana mwenye malengo niwe na matarajio.
simuogopi mtu yeyote kwenye kugombea nafasi yoyote ya kisiasa.
nawashukuru.
SIDHANI KAMA UMEJIBU MASWALI ZAIDI YA KUJIGAMBA GAMBA TU,so kwa maelezo yako inaonesha ni kweli umemind kutoshiriki mikutano hyo na uko tayari kuhama chama na kwenda chama kitakachokupa nafasi ili uwe mbunge 2015.
 
Nimeona humu ndani mmesema, Mchange ameachiwa zigo lote la kesi ya kupinga matokeo mahakamani pekee yake. Mimi nawaambia si kweli> Mchange hajawahi kufungua kesi, pamoja na sisi wananchi wa Kibaha kumchangia. Kama amefungua kesi, aje hapa aeleze kesi yake Na. ngapi? Iko mahakama gani? Inasikilizwa na jaji gani? Huyu kijana ni tapeli, ametudanganya wananchi wa KIbaha anakesi mahakamani wakati hakumna kitu. Ndiyo sababu wenzake wa Kibaha hawataki kuongoza naye.
 
Hii post imekaa kiumbea umbea tu. Huyu mchange ndio yule aliyekua akitoa rushwa kwenye uchaguzi wa BAVICHA ili tu achaguliwe kuwa Mwenyekiti. Hivi alikua ana maana gani? Wana mabadiliko na wapenda mageuzi katu hawawezi kutoa rushwa ili kuongoza. Kama mtu hana uwezo wa kiuongozi hata apande mbinguni hawaezi kuongoza na huyu ndio mchange. Haitokaa itokee huyo mchange achaguliwe kuwa mbunge.

Eti Chadema inamtenga kwenye mikutano ya hadhara. Hivi wewe uliyepost huu upupu hapa una akili timamu? Nani alikuambia kuwa CDM imeingia mkataba na huyo boya wako kuwa ndie atakua mgombea ubunge kibaa kupitia chama hicho daima? Give us a break bana!
 
Acha unafik wewe kwanza kubenea ni muoga mno, kumbuka mwaka jana alifuatwa na Msekwa na kuombwa akagombee Igunga jimbo lililoachwa wazi na Rostam aziz maana mmoja wa wazazi wake wanatokea huko alikataa, sasa kwao na kubenea siyo Kibaha mjini ni vijijni kwa nini asiende kule? Mimi binafsi ningependa hata nafasi ya mwenyekiti CHADEMa taifa apewe Mchange maana uwezo wake wa kuongoza ni mkubwa sana na uchaguzi mkuu wa cham ujao hata mimi nitachukua fomu ya uenyekiti Taifa,naamini kafulila atakuwa chadema by tht time naye atagombea, Zitto atagombea, mwampmba atagombea, juliana shonza atagombe na nitateuwa secrteriet yangu kama ifuatavyo 1. mwenyekiti mimi, 2 katibu mkuu;Ben saanane 3. naibu katibu mkuu bara :Nyakarungu 4.mkurugenzi wa fedha na utawala;John Mnyika ila nitambana kuhakisha pesa zetu haziendi kufanya kazi za maandamano na kukesha uwanjani kwa ajili ya mtu aliyejipeleka jele mwenyewe 5.habari na uenezi.mwampamba Slaa nitamuomba agombee ujumbe baraza la wazee na abaki kuwa mgombea urais pekee, mbowe abaki kuwa mshauri wa chama
Nadhani hii thread ilikuwa na mizaha sana.Hebu tujenge chama na tusonge mbele.......! Baadhi ya mambo niliyoyasoma humu ni fedheha tupu.Tujikite kwenye mijadala yenye tija na tuachane na mipasho humu!
 
Hossam,
asante sana kwa taarifa ila ninachokifahamu mimi kuwa anayetaka kugombea hapo kibaha mjini ni SAIDI KUBENEA ambaye kwa taarifa za ndani zinasema yeye aliwahi kuwa house boy wa Anthony Komu mkurugenzi wa fedha na utawala wa CDM ambapo pia wanamiliki kwa pamoja gazeti l mwanahalisi.
hayo ndio niliyosikia

Safari hii tutasikia mengi
 
KIGEZO KIPYA CHA 'UTENDAJI ULIOTUKUKA KUKIJENGA CHADEMA MASHINANI' HUENDA KIKATUMIKA KUWACHUJA WACHAPA KAZI NA MA-DOMOKAYA NANI AGOMBEE NINI TANGU 'NYUMBA KUMI' HADI TAIFA KADIRI NAFASI ZINAVYOENDELEA KUBANA KILA KONA NCHINI

Ni nani huyo anayejaribu kubuni uadui wa kisiasa kati ya Makada wa CDM Mkoa wa Pwani Wahe Habib Mchange na Gwiji wa habari nchini Saed Kubenea hasa kunapojitokeza hoja ya ushiriki wao katika kukijenga CHADEMA na kushirikiana na uongozi katika maeneo yao bila ubaguzi?

Kama kweli kuna mtu kama huyo hapa JF basi ni kwamba hoja zake zilikua sahihi tu hadi pale ambapo kabla Ma-Kada Habib Mchange na BenSaanane kabla hawajajitokeza humu kukata mzizi wote wa fitina za baadhi ya wapika majungu katikati yetu.

Ni wazi kabisa kwamba kadiriri tunavyoongeza siku kuelekea 2015 ndivyo tunavyoona nafasi za kugombea ndani ya CHADEMA zikiendelea kubana zaidi na zaidi kote nchini. Hii ni matokeo mazuri ya ishara ya watu kuamka kote nchini na kujiandaa kwa mabadiliko makubwa ya kihistoria kila pembe ya taifa hili.

Jambo hili haliji tu na neema zake tu bali changamoto zake ni kubwa zaidi hasa kwa uongozi wa CDM taifa jinsi gani watakavyoweza kuwapata WAGOMBEA BORA ZAIDI katika orodha ndefu ya watu watakaojitokeza kugombea nafasi tangu 'Nyumba Kumi' hadi Taifa.

Yeyote anayetamani kujua undani wa changamoto yenyewe kwa viongozi wetu taifa hapo baadaye kidogo ni vema ukalitazama hili kwa kupiga picha ya timu ya taifa la Nigeria na changamoto za kuwapata FESTI ILEVENI kutoka katika MSITU MNENE wa wachezaji viwango duniani ambao kwa kila namba unakuta wamebanana zaidi ya kumi au kumi na tano hivi.

Katika mazingira kama haya, ni kocha (Mhe Dr Slaa) pamoja na kamati ya ufundi (Kamati Kuu CDM) ndio wanaoingia mtihani mzito wa kutopata usingizi kwa swali la TUMPANGE NANI NA TUMACHE NANI kwenye safu maana 'Rashidi Yekini' wa CHADEMA inayoingia 2015 ukimtazama ni moto wa kuotea mbali sawa tu na J. J. Okocha kwa jukumu lile lile.

Kwa kawaida, katika hali kama hii, sawa na rafiki ya Dr Kitila Mkumbo alivyowahi kujitokeza na ubunifu wake wa hali ya juu mwaka majuzi, dawa ya PANADOL hapa kwa uongozi wetu wa juu ni kufikiria kuunda KIGEZO KIPYA chenye poiti nyingi zaidi kupima wanachama wetu ili mwenye kukabidhiwa bendera yetu aweze kupatikana bila kichwa kuuma sana.

Kwangu mimi naona dawa ya kuja kuwatenganisha WAPIKA MAJUNGU NA KELELE NYINGI BILA TIJA YA KUONEKA ndani ya chama huku wachapakazi kwa kujitolea zaidi kukijenga CHADEMA mashinani kwa ugumu wote huu wakipata kuangaziwa na nuru kabla kuwafikia wengineo.

Ndio, ukiona watu wameanza kusukumana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama huko mikoani kama ambavyo tunavyoona huko Pwani, ILI KUHAKIKISHWA KWAMBA kila mmoja anatendewa haki bila uonezu wowote, dawa ni kuacha kamati za siasa za ngazi mblimbali kuwapima kote huko kabla Kamati Kuu Taifa haijatoa baraka zake zisizopingana na vyombo hivyo vingine.

Maana yangu hapa ni kwamba ni ndani ya CHADEMA pekee ambapo mtu ataweza kujiteua mwenyewe ugombeaji wake wa nafasi yoyote ile kwa kutegemea wenzake wa ngazi mbalimbali wanavyomtathmini kiutendaji na ushirikiano na wanachama wenzake - UFISADI kupata nafasi yoyote ile ni adui mkubwa wa chama chetu hivyo kutakaposisi harufu hizo za ufisadi mtu atakua anahesabiwa tu kujiondoa mwenyewe kwenye kinyanganyiro - maana tunachopigania hivi sasa si kukiondoa tu CCM bali zaidi ni kuking'oa na mizizi yake yote ya KI-FISADI.

Hadi hapo uchawi au baraka za kupata nafasi CHADEMA zitatokana na rekodi zako mwenyewe kukijenga chama na wala si kwa nguvu za vijisenti mfukoni. Kwa misingi hii, ni kutokana na imani yangu kubwa kwa ujenzi wa misingi imara ya kidemokrasia, utendaji uliotukuka pamoja na mshikamano kama mwanatimu ambayo imenifa nivutiwe na kauli za wajumbe hapa ukutani.

Kwa kweli nimevutiwa mno na kauli za Mchange, Mwita na sasa Ndugu Ben kama nilivyomnukuu hapa chini. Hakika Ben, sauti ya nguvu ya hoja pindi zinapopanda hewani kihivi na ukomavu wa kisiasa unapodhihirika kwa 'Vijana wa Dokta wa Ukweli' kiasi hiki kwa KUTAZAMA ZAIDI PICHA KUBWA tunaoitafuta katika nchi hii kama CHADEMA, ni wazi kwamba wenye mzaha na wapika majungu katika mambo ya msingi kama haya ya kukijenga zaidi chama na mshikamano wao hukosa kabisa hata pa kuficha uso!!

Hata sasa hivi nawaona wengine nyuma ya kopyuta zao hivi sasa wanavyojilaumu kwa kutumwagia matapishi yao kwa kutaja saaana majina ya makada wetu Habi Mchange na Saed Kubenea ambao kwaaanza hata siku moja hawajawahi kumdokezea mtu kitu uadui kati yao.

Sasa kwa kuhitimisha tu ni kwamba ni vema watu tukatambu kwamba nafasi za kugombea hiki au kile ndani ya CHADEMA tayari zimeshaanza kubana sana kote nchini tangu nafasi za nyumba kumi hadi taifa hivyo, bila kuleta majungu mengi hivi, mzaha na watu kuja kulalamika huko baadaye kwa madai ya upendeleo katika uteuzi, naona dalili zote kwamba kigezo kipya kimojawapo huenda huenda kikaongezwa na KAMATI KUU YA CHAMA CHETU kupitia kwa ushauri wa think-tank ya CHADEMA hapo baadaye kidogo.

Kigezo chenyewe wala sio siri; safari hii kwa kiasi kikubwa huenda Wahe Prof Baregu, Mzee Edwin Mtei, Mzee Bob Makani, Tundu Lissu Halima Mdee na Dr Mkumbo na wengine wachache wa aina yao huenda wakalazimika kushauri uongozi wetu wa juu taifa kwamba ili mtu apate kupitishwa kuwa mgombea kwa tiketi ya CHADEMA (pamoja na vigezo vingine) ni sharti REKODI YAKE YA KUKIJENGA CHAMA MASHINANI KIVITENDO NA MSHIKAMANO KWA WANACHAMA WOTE BILA UBAGUZI wa aina yoyote ile.

Kiuhakika, kigezo kama hiki kitafaa kipewe umuhimu wa pointi nyingi mno zaidi ya 70 katika 100 pindi kamati ya siasa CDM huko mashinani kitakaporidhishwa na utendaji murua huo wa wakati wote wa uhai wa chama chetu hata kamati hiyo itakapoamua kulisukuma mbele faili hiyo ili kamati kuu taifa nayo ipate kujiridhisha kwamba kweli wewe unayetamani kuwa mgombea wetu hapo baadaye wala HAUKUA MPIGA MAYOWE TU NA KUPIKA MAJUNGU MITAANI.

Na kwa mtindo huu ina maana wale wanaotegemea kupigana vikumbo kwa kutegemea majungu wao watakua wamekula ya chuya tayari hadi hapo. Uteuzi CHADEMA tutashinikiza utekelezwa kwa misingi ya demokrasia zaidi, kuchagulika zaidi na juu ya yote kwa kuegemea kigezo mama ya utendaji binafsi na kama sehemu ya timu ndani ya CDM.

Hivyo, nasema waacheni wanaopiga mayowe hivi sasa wafanye salama lakini 2015 au kabla yake; majungu na au kujuana wala havitokua na nafasi kama wafanyavyo watani zetu CCM.

Nielewavyo mimi, kikubwa zaidi huenda uongozi wetu CDM Taifa wakaipa kipaumbele zaidi rekodi za utendaji wa watu ama kama mwanachama wa kawaida au kiongozi wa aina fulani katika kukijenga CHADEMA imara katika eneo lake.

Ndio, ukweli wa mambo ni kwamba huenda kukatazamwa kiundani zaidi jinsi gani rekodi zako hizo zitakua na hoja za nguvu kiasi cha kumzuia hata yule afisa asiyekupenda a namna yoyote ya kulikata jina lako katika orodho yoyote bila hata ya wewe kulazimika kusimama na kujieleza mbele ya kamati kuu kwa lengo la kupata tiketi ya CDM.

Kwa haya maoni machache, nadhani wengi wenu mtafuata ushauri wa Mhe Chacha Mwita, Ben Sananne na wengine wengi tu waliotangulia kutundika maoni yao hapa ukutani juu ya mata ya Mkoa wa Pwani na Afya ya CHADEMA mashinani.


siasa
Nadhani hii thread ilikuwa na mizaha sana.Hebu tujenge chama na tusonge mbele.......! Baadhi ya mambo niliyoyasoma humu ni fedheha tupu.Tujikite kwenye mijadala yenye tija na tuachane na mipasho humu!
 
Mchange, nina imani huu ni mkono wako ila niwie radhi kwa kukuanshia balaa ambalo saaa linakupa kiwewe, we utajitegea sana na kusema kila ngonjera, mwisho wa siku Kunenea anatinga mjengoni na wewe utabakia kukodoa macho tu. Ubunge sio mwisho wa maisha yako, achana na kitu ambacho tayari kimeshakukataa, chapa lapa kutafuta michongo mingine na pole kwa kujitoa kulitayarisha jimbo la kibaha mjini.

KIGEZO KIPYA CHA 'UTENDAJI ULIOTUKUKA KUKIJENGA CHADEMA MASHINANI' HUENDA KIKATUMIKA KUWACHUJA WACHAPA KAZI NA MA-DOMOKAYA NANI AGOMBEE NINI TANGU 'NYUMBA KUMI' HADI TAIFA KADIRI NAFASI ZINAVYOENDELEA KUBANA KILA KONA NCHINI

Ni nani huyo anayejaribu kubuni uadui wa kisiasa kati ya Makada wa CDM Mkoa wa Pwani Wahe Habib Mchange na Gwiji wa habari nchini Saed Kubenea hasa kunapojitokeza hoja ya ushiriki wao katika kukijenga CHADEMA na kushirikiana na uongozi katika maeneo yao bila ubaguzi?

Kama kweli kuna mtu kama huyo hapa JF basi ni kwamba hoja zake zilikua sahihi tu hadi pale ambapo kabla Ma-Kada Habib Mchange na BenSaanane kabla hawajajitokeza humu kukata mzizi wote wa fitina za baadhi ya wapika majungu katikati yetu.

Ni wazi kabisa kwamba kadiriri tunavyoongeza siku kuelekea 2015 ndivyo tunavyoona nafasi za kugombea ndani ya CHADEMA zikiendelea kubana zaidi na zaidi kote nchini. Hii ni matokeo mazuri ya ishara ya watu kuamka kote nchini na kujiandaa kwa mabadiliko makubwa ya kihistoria kila pembe ya taifa hili.

Jambo hili haliji tu na neema zake tu bali changamoto zake ni kubwa zaidi hasa kwa uongozi wa CDM taifa jinsi gani watakavyoweza kuwapata WAGOMBEA BORA ZAIDI katika orodha ndefu ya watu watakaojitokeza kugombea nafasi tangu 'Nyumba Kumi' hadi Taifa.

Yeyote anayetamani kujua undani wa changamoto yenyewe kwa viongozi wetu taifa hapo baadaye kidogo ni vema ukalitazama hili kwa kupiga picha ya timu ya taifa la Nigeria na changamoto za kuwapata FESTI ILEVENI kutoka katika MSITU MNENE wa wachezaji viwango duniani ambao kwa kila namba unakuta wamebanana zaidi ya kumi au kumi na tano hivi.

Katika mazingira kama haya, ni kocha (Mhe Dr Slaa) pamoja na kamati ya ufundi (Kamati Kuu CDM) ndio wanaoingia mtihani mzito wa kutopata usingizi kwa swali la TUMPANGE NANI NA TUMACHE NANI kwenye safu maana 'Rashidi Yekini' wa CHADEMA inayoingia 2015 ukimtazama ni moto wa kuotea mbali sawa tu na J. J. Okocha kwa jukumu lile lile.

Kwa kawaida, katika hali kama hii, sawa na rafiki ya Dr Kitila Mkumbo alivyowahi kujitokeza na ubunifu wake wa hali ya juu mwaka majuzi, dawa ya PANADOL hapa kwa uongozi wetu wa juu ni kufikiria kuunda KIGEZO KIPYA chenye poiti nyingi zaidi kupima wanachama wetu ili mwenye kukabidhiwa bendera yetu aweze kupatikana bila kichwa kuuma sana.

Kwangu mimi naona dawa ya kuja kuwatenganisha WAPIKA MAJUNGU NA KELELE NYINGI BILA TIJA YA KUONEKA ndani ya chama huku wachapakazi kwa kujitolea zaidi kukijenga CHADEMA mashinani kwa ugumu wote huu wakipata kuangaziwa na nuru kabla kuwafikia wengineo.

Ndio, ukiona watu wameanza kusukumana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama huko mikoani kama ambavyo tunavyoona huko Pwani, ILI KUHAKIKISHWA KWAMBA kila mmoja anatendewa haki bila uonezu wowote, dawa ni kuacha kamati za siasa za ngazi mblimbali kuwapima kote huko kabla Kamati Kuu Taifa haijatoa baraka zake zisizopingana na vyombo hivyo vingine.

Maana yangu hapa ni kwamba ni ndani ya CHADEMA pekee ambapo mtu ataweza kujiteua mwenyewe ugombeaji wake wa nafasi yoyote ile kwa kutegemea wenzake wa ngazi mbalimbali wanavyomtathmini kiutendaji na ushirikiano na wanachama wenzake - UFISADI kupata nafasi yoyote ile ni adui mkubwa wa chama chetu hivyo kutakaposisi harufu hizo za ufisadi mtu atakua anahesabiwa tu kujiondoa mwenyewe kwenye kinyanganyiro - maana tunachopigania hivi sasa si kukiondoa tu CCM bali zaidi ni kuking'oa na mizizi yake yote ya KI-FISADI.

Hadi hapo uchawi au baraka za kupata nafasi CHADEMA zitatokana na rekodi zako mwenyewe kukijenga chama na wala si kwa nguvu za vijisenti mfukoni. Kwa misingi hii, ni kutokana na imani yangu kubwa kwa ujenzi wa misingi imara ya kidemokrasia, utendaji uliotukuka pamoja na mshikamano kama mwanatimu ambayo imenifa nivutiwe na kauli za wajumbe hapa ukutani.

Kwa kweli nimevutiwa mno na kauli za Mchange, Mwita na sasa Ndugu Ben kama nilivyomnukuu hapa chini. Hakika Ben, sauti ya nguvu ya hoja pindi zinapopanda hewani kihivi na ukomavu wa kisiasa unapodhihirika kwa 'Vijana wa Dokta wa Ukweli' kiasi hiki kwa KUTAZAMA ZAIDI PICHA KUBWA tunaoitafuta katika nchi hii kama CHADEMA, ni wazi kwamba wenye mzaha na wapika majungu katika mambo ya msingi kama haya ya kukijenga zaidi chama na mshikamano wao hukosa kabisa hata pa kuficha uso!!

Hata sasa hivi nawaona wengine nyuma ya kopyuta zao hivi sasa wanavyojilaumu kwa kutumwagia matapishi yao kwa kutaja saaana majina ya makada wetu Habi Mchange na Saed Kubenea ambao kwaaanza hata siku moja hawajawahi kumdokezea mtu kitu uadui kati yao.

Sasa kwa kuhitimisha tu ni kwamba ni vema watu tukatambu kwamba nafasi za kugombea hiki au kile ndani ya CHADEMA tayari zimeshaanza kubana sana kote nchini tangu nafasi za nyumba kumi hadi taifa hivyo, bila kuleta majungu mengi hivi, mzaha na watu kuja kulalamika huko baadaye kwa madai ya upendeleo katika uteuzi, naona dalili zote kwamba kigezo kipya kimojawapo huenda huenda kikaongezwa na KAMATI KUU YA CHAMA CHETU kupitia kwa ushauri wa think-tank ya CHADEMA hapo baadaye kidogo.

Kigezo chenyewe wala sio siri; safari hii kwa kiasi kikubwa huenda Wahe Prof Baregu, Mzee Edwin Mtei, Mzee Bob Makani, Tundu Lissu Halima Mdee na Dr Mkumbo na wengine wachache wa aina yao huenda wakalazimika kushauri uongozi wetu wa juu taifa kwamba ili mtu apate kupitishwa kuwa mgombea kwa tiketi ya CHADEMA (pamoja na vigezo vingine) ni sharti REKODI YAKE YA KUKIJENGA CHAMA MASHINANI KIVITENDO NA MSHIKAMANO KWA WANACHAMA WOTE BILA UBAGUZI wa aina yoyote ile.

Kiuhakika, kigezo kama hiki kitafaa kipewe umuhimu wa pointi nyingi mno zaidi ya 70 katika 100 pindi kamati ya siasa CDM huko mashinani kitakaporidhishwa na utendaji murua huo wa wakati wote wa uhai wa chama chetu hata kamati hiyo itakapoamua kulisukuma mbele faili hiyo ili kamati kuu taifa nayo ipate kujiridhisha kwamba kweli wewe unayetamani kuwa mgombea wetu hapo baadaye wala HAUKUA MPIGA MAYOWE TU NA KUPIKA MAJUNGU MITAANI.

Na kwa mtindo huu ina maana wale wanaotegemea kupigana vikumbo kwa kutegemea majungu wao watakua wamekula ya chuya tayari hadi hapo. Uteuzi CHADEMA tutashinikiza utekelezwa kwa misingi ya demokrasia zaidi, kuchagulika zaidi na juu ya yote kwa kuegemea kigezo mama ya utendaji binafsi na kama sehemu ya timu ndani ya CDM.

Hivyo, nasema waacheni wanaopiga mayowe hivi sasa wafanye salama lakini 2015 au kabla yake; majungu na au kujuana wala havitokua na nafasi kama wafanyavyo watani zetu CCM.

Nielewavyo mimi, kikubwa zaidi huenda uongozi wetu CDM Taifa wakaipa kipaumbele zaidi rekodi za utendaji wa watu ama kama mwanachama wa kawaida au kiongozi wa aina fulani katika kukijenga CHADEMA imara katika eneo lake.

Ndio, ukweli wa mambo ni kwamba huenda kukatazamwa kiundani zaidi jinsi gani rekodi zako hizo zitakua na hoja za nguvu kiasi cha kumzuia hata yule afisa asiyekupenda a namna yoyote ya kulikata jina lako katika orodho yoyote bila hata ya wewe kulazimika kusimama na kujieleza mbele ya kamati kuu kwa lengo la kupata tiketi ya CDM.

Kwa haya maoni machache, nadhani wengi wenu mtafuata ushauri wa Mhe Chacha Mwita, Ben Sananne na wengine wengi tu waliotangulia kutundika maoni yao hapa ukutani juu ya mata ya Mkoa wa Pwani na Afya ya CHADEMA mashinani.


siasa
 
KIGEZO KIPYA CHA 'UTENDAJI ULIOTUKUKA KUKIJENGA CHADEMA MASHINANI' HUENDA KIKATUMIKA KUWACHUJA WACHAPA KAZI NA MA-DOMOKAYA NANI AGOMBEE NINI TANGU 'NYUMBA KUMI' HADI TAIFA KADIRI NAFASI ZINAVYOENDELEA KUBANA KILA KONA NCHINI

Ni nani huyo anayejaribu kubuni uadui wa kisiasa kati ya Makada wa CDM Mkoa wa Pwani Wahe Habib Mchange na Gwiji wa habari nchini Saed Kubenea hasa kunapojitokeza hoja ya ushiriki wao katika kukijenga CHADEMA na kushirikiana na uongozi katika maeneo yao bila ubaguzi?

Kama kweli kuna mtu kama huyo hapa JF basi ni kwamba hoja zake zilikua sahihi tu hadi pale ambapo kabla Ma-Kada Habib Mchange na BenSaanane kabla hawajajitokeza humu kukata mzizi wote wa fitina za baadhi ya wapika majungu katikati yetu.

Ni wazi kabisa kwamba kadiriri tunavyoongeza siku kuelekea 2015 ndivyo tunavyoona nafasi za kugombea ndani ya CHADEMA zikiendelea kubana zaidi na zaidi kote nchini. Hii ni matokeo mazuri ya ishara ya watu kuamka kote nchini na kujiandaa kwa mabadiliko makubwa ya kihistoria kila pembe ya taifa hili.

Jambo hili haliji tu na neema zake tu bali changamoto zake ni kubwa zaidi hasa kwa uongozi wa CDM taifa jinsi gani watakavyoweza kuwapata WAGOMBEA BORA ZAIDI katika orodha ndefu ya watu watakaojitokeza kugombea nafasi tangu 'Nyumba Kumi' hadi Taifa.

Yeyote anayetamani kujua undani wa changamoto yenyewe kwa viongozi wetu taifa hapo baadaye kidogo ni vema ukalitazama hili kwa kupiga picha ya timu ya taifa la Nigeria na changamoto za kuwapata FESTI ILEVENI kutoka katika MSITU MNENE wa wachezaji viwango duniani ambao kwa kila namba unakuta wamebanana zaidi ya kumi au kumi na tano hivi.

Katika mazingira kama haya, ni kocha (Mhe Dr Slaa) pamoja na kamati ya ufundi (Kamati Kuu CDM) ndio wanaoingia mtihani mzito wa kutopata usingizi kwa swali la TUMPANGE NANI NA TUMACHE NANI kwenye safu maana 'Rashidi Yekini' wa CHADEMA inayoingia 2015 ukimtazama ni moto wa kuotea mbali sawa tu na J. J. Okocha kwa jukumu lile lile.

Kwa kawaida, katika hali kama hii, sawa na rafiki ya Dr Kitila Mkumbo alivyowahi kujitokeza na ubunifu wake wa hali ya juu mwaka majuzi, dawa ya PANADOL hapa kwa uongozi wetu wa juu ni kufikiria kuunda KIGEZO KIPYA chenye poiti nyingi zaidi kupima wanachama wetu ili mwenye kukabidhiwa bendera yetu aweze kupatikana bila kichwa kuuma sana.

Kwangu mimi naona dawa ya kuja kuwatenganisha WAPIKA MAJUNGU NA KELELE NYINGI BILA TIJA YA KUONEKA ndani ya chama huku wachapakazi kwa kujitolea zaidi kukijenga CHADEMA mashinani kwa ugumu wote huu wakipata kuangaziwa na nuru kabla kuwafikia wengineo.

Ndio, ukiona watu wameanza kusukumana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama huko mikoani kama ambavyo tunavyoona huko Pwani, ILI KUHAKIKISHWA KWAMBA kila mmoja anatendewa haki bila uonezu wowote, dawa ni kuacha kamati za siasa za ngazi mblimbali kuwapima kote huko kabla Kamati Kuu Taifa haijatoa baraka zake zisizopingana na vyombo hivyo vingine.

Maana yangu hapa ni kwamba ni ndani ya CHADEMA pekee ambapo mtu ataweza kujiteua mwenyewe ugombeaji wake wa nafasi yoyote ile kwa kutegemea wenzake wa ngazi mbalimbali wanavyomtathmini kiutendaji na ushirikiano na wanachama wenzake - UFISADI kupata nafasi yoyote ile ni adui mkubwa wa chama chetu hivyo kutakaposisi harufu hizo za ufisadi mtu atakua anahesabiwa tu kujiondoa mwenyewe kwenye kinyanganyiro - maana tunachopigania hivi sasa si kukiondoa tu CCM bali zaidi ni kuking'oa na mizizi yake yote ya KI-FISADI.

Hadi hapo uchawi au baraka za kupata nafasi CHADEMA zitatokana na rekodi zako mwenyewe kukijenga chama na wala si kwa nguvu za vijisenti mfukoni. Kwa misingi hii, ni kutokana na imani yangu kubwa kwa ujenzi wa misingi imara ya kidemokrasia, utendaji uliotukuka pamoja na mshikamano kama mwanatimu ambayo imenifa nivutiwe na kauli za wajumbe hapa ukutani.

Kwa kweli nimevutiwa mno na kauli za Mchange, Mwita na sasa Ndugu Ben kama nilivyomnukuu hapa chini. Hakika Ben, sauti ya nguvu ya hoja pindi zinapopanda hewani kihivi na ukomavu wa kisiasa unapodhihirika kwa 'Vijana wa Dokta wa Ukweli' kiasi hiki kwa KUTAZAMA ZAIDI PICHA KUBWA tunaoitafuta katika nchi hii kama CHADEMA, ni wazi kwamba wenye mzaha na wapika majungu katika mambo ya msingi kama haya ya kukijenga zaidi chama na mshikamano wao hukosa kabisa hata pa kuficha uso!!

Hata sasa hivi nawaona wengine nyuma ya kopyuta zao hivi sasa wanavyojilaumu kwa kutumwagia matapishi yao kwa kutaja saaana majina ya makada wetu Habi Mchange na Saed Kubenea ambao kwaaanza hata siku moja hawajawahi kumdokezea mtu kitu uadui kati yao.

Sasa kwa kuhitimisha tu ni kwamba ni vema watu tukatambu kwamba nafasi za kugombea hiki au kile ndani ya CHADEMA tayari zimeshaanza kubana sana kote nchini tangu nafasi za nyumba kumi hadi taifa hivyo, bila kuleta majungu mengi hivi, mzaha na watu kuja kulalamika huko baadaye kwa madai ya upendeleo katika uteuzi, naona dalili zote kwamba kigezo kipya kimojawapo huenda huenda kikaongezwa na KAMATI KUU YA CHAMA CHETU kupitia kwa ushauri wa think-tank ya CHADEMA hapo baadaye kidogo.

Kigezo chenyewe wala sio siri; safari hii kwa kiasi kikubwa huenda Wahe Prof Baregu, Mzee Edwin Mtei, Mzee Bob Makani, Tundu Lissu Halima Mdee na Dr Mkumbo na wengine wachache wa aina yao huenda wakalazimika kushauri uongozi wetu wa juu taifa kwamba ili mtu apate kupitishwa kuwa mgombea kwa tiketi ya CHADEMA (pamoja na vigezo vingine) ni sharti REKODI YAKE YA KUKIJENGA CHAMA MASHINANI KIVITENDO NA MSHIKAMANO KWA WANACHAMA WOTE BILA UBAGUZI wa aina yoyote ile.

Kiuhakika, kigezo kama hiki kitafaa kipewe umuhimu wa pointi nyingi mno zaidi ya 70 katika 100 pindi kamati ya siasa CDM huko mashinani kitakaporidhishwa na utendaji murua huo wa wakati wote wa uhai wa chama chetu hata kamati hiyo itakapoamua kulisukuma mbele faili hiyo ili kamati kuu taifa nayo ipate kujiridhisha kwamba kweli wewe unayetamani kuwa mgombea wetu hapo baadaye wala HAUKUA MPIGA MAYOWE TU NA KUPIKA MAJUNGU MITAANI.

Na kwa mtindo huu ina maana wale wanaotegemea kupigana vikumbo kwa kutegemea majungu wao watakua wamekula ya chuya tayari hadi hapo. Uteuzi CHADEMA tutashinikiza utekelezwa kwa misingi ya demokrasia zaidi, kuchagulika zaidi na juu ya yote kwa kuegemea kigezo mama ya utendaji binafsi na kama sehemu ya timu ndani ya CDM.

Hivyo, nasema waacheni wanaopiga mayowe hivi sasa wafanye salama lakini 2015 au kabla yake; majungu na au kujuana wala havitokua na nafasi kama wafanyavyo watani zetu CCM.

Nielewavyo mimi, kikubwa zaidi huenda uongozi wetu CDM Taifa wakaipa kipaumbele zaidi rekodi za utendaji wa watu ama kama mwanachama wa kawaida au kiongozi wa aina fulani katika kukijenga CHADEMA imara katika eneo lake.

Ndio, ukweli wa mambo ni kwamba huenda kukatazamwa kiundani zaidi jinsi gani rekodi zako hizo zitakua na hoja za nguvu kiasi cha kumzuia hata yule afisa asiyekupenda a namna yoyote ya kulikata jina lako katika orodho yoyote bila hata ya wewe kulazimika kusimama na kujieleza mbele ya kamati kuu kwa lengo la kupata tiketi ya CDM.

Kwa haya maoni machache, nadhani wengi wenu mtafuata ushauri wa Mhe Chacha Mwita, Ben Sananne na wengine wengi tu waliotangulia kutundika maoni yao hapa ukutani juu ya mata ya Mkoa wa Pwani na Afya ya CHADEMA mashinani.


siasa

Asante sana kamanda !
 
Mchange, nina imani huu ni mkono wako ila niwie radhi kwa kukuanshia balaa ambalo saaa linakupa kiwewe, we utajitegea sana na kusema kila ngonjera, mwisho wa siku Kunenea anatinga mjengoni na wewe utabakia kukodoa macho tu. Ubunge sio mwisho wa maisha yako, achana na kitu ambacho tayari kimeshakukataa, chapa lapa kutafuta michongo mingine na pole kwa kujitoa kulitayarisha jimbo la kibaha mjini.


are you serious kweli?..
mbona haueleweki mara mvua mara jua kaka?...
au ndio wewe uliyetumwa na kubenea humu ndani kuleta upupu wako?...mnateseka sana na kivuli cha huyo bwana mdogo mchange ambaye amesha declear kwamba kwake ubunge wa kibaha ni do or die...mpelekeni wkanza kubenea akapote macho yake ili aone vizuri na mumshauri asome hata english course japo afike fike hata form two kidogo manake ccm watamweka profesa wangwe sasa hataweza hata kama akipitishwa kugombea...
 
Hii post imekaa kiumbea umbea tu. Huyu mchange ndio yule aliyekua akitoa rushwa kwenye uchaguzi wa BAVICHA ili tu achaguliwe kuwa Mwenyekiti. Hivi alikua ana maana gani? Wana mabadiliko na wapenda mageuzi katu hawawezi kutoa rushwa ili kuongoza. Kama mtu hana uwezo wa kiuongozi hata apande mbinguni hawaezi kuongoza na huyu ndio mchange. Haitokaa itokee huyo mchange achaguliwe kuwa mbunge.

Eti Chadema inamtenga kwenye mikutano ya hadhara. Hivi wewe uliyepost huu upupu hapa una akili timamu? Nani alikuambia kuwa CDM imeingia mkataba na huyo boya wako kuwa ndie atakua mgombea ubunge kibaa kupitia chama hicho daima? Give us a break bana!
..
wewe umenena...ila umekosea kitu kimoja tu...mmeingia choo cha kike kutaka kumzungumzia vibaya kipenzi chetu mchange..wallah tutapambana milele kwenye hili...na ndio maana mnaonyesha kuishiwa hoja na kuzungumzia upupu wenu ule wa bavicha ambao house boy wa mbowe heche alibebwa kwa mberejko ya chuma...muulize mwampamba au nyakarungu kwenye hili watakufundisha vizuri...john mrema yeye atakupa ushahidi wa kinafki kwa sababu hata yeye ameolewa mke na mbowe hivi majuzi tu..
 
Nimeona humu ndani mmesema, Mchange ameachiwa zigo lote la kesi ya kupinga matokeo mahakamani pekee yake. Mimi nawaambia si kweli> Mchange hajawahi kufungua kesi, pamoja na sisi wananchi wa Kibaha kumchangia. Kama amefungua kesi, aje hapa aeleze kesi yake Na. ngapi? Iko mahakama gani? Inasikilizwa na jaji gani? Huyu kijana ni tapeli, ametudanganya wananchi wa KIbaha anakesi mahakamani wakati hakumna kitu. Ndiyo sababu wenzake wa Kibaha hawataki kuongoza naye.

amefungua bana acha uwongo...nena kwenye faili la katibu mkuu utaiona kaiambatanisha akiomba msaada ambao mwanasheria wa chama chenu esta dafi aliipitia pia...majungu majungu yenu hayo ndio yatakayokibomoa chama chenu...nenda mahakama kuu kaulize kesi ya uchaguzi walioitelekeza chadema ni namba ngapi?..watakujibu namba 105 ya 2010...kaa kimya kama hujui...kibaha hakuna viraza kama wewe...watu wa sampuli yako wanapatikana VUNJO
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom