Mh Habib Mchange unahujumiwa Kibaha mjini?

Status
Not open for further replies.

Hossam

JF-Expert Member
Feb 10, 2011
3,538
2,155
Huu sio muda wa kampeni bali ni wasaa wa kukijenga chama, ama niseme huu ni wakati wa kueneza na kuhibiri elimu ya uraia ili kila mtanzania kwanza aelewe wajibu wake lakini pia mageuzi ya kisiasa yapatikane kwa amani.

Nimesikia kutoka kwa mtu wa karibu kabisa na Mh Mchange kuwa hivi sasa chama chake yaani Chadema kinamhujumu huko Kibaha mjini kwa kufanya mikutano ya siasa majukwaani bila kumhusisha na pia bila kumjulisha. Kwa ufupi hizi ni habari ambazo Mchange mwenyewe anatakiwa kuja hapa jamvini na ama kukanusha ama kukubaliana nazo, kama si hivyo Chadema itakuwa na sintofahamu kuu juu ya huyu mheshimiwa. Chadema hakiwezi kamwe kumtelekeza Mh Mchange kwa kuwa tunaamini huyu alishiriki kwa kiasi kikubwa kukijenga chama wakati wa kampeni za mwaka 2010. Chadema haiwezi kusahau mchango wake mkubwa wa hali na mali katika jimbo ambalo chama kilimuangukia asimame.

Suala la kulalamika kwa informer wa Mchange kwamba chama kinataka kumpiga zungu na kumuweka mmoja kati wa waadishi nguli wa habari za kila wiki hususan za rais wetu, hakuwezi kutoa tafsiri kwamba chadema imemtupa Mchange.

Lakini ifahamike kwamba kama Mchange hapatikani kwenye simu yake ya kiganjani hasa ile ya zain, halafu hatoi taarifa kama hatakupo Kibaha, unadhani chadema iliyo na ratiba tight ya mwaka mzima itaahirisha elimu ya uraia kwa watu wa Kibaha? Mchange ni lazima awe bega kwa bega na chama ili kujua nini kitafanyika ama kwake ama kwingineko Tanzania.

Sitaki kumsema sana Mchange, natambua mchango wake, ila ni lazima utaratibu wa chama uheshimiwe na ufuatwe.

Ni mimi,
Pangu Pakavu,
Nawasalimia.
 
Ni mh. wa jimbo gani? Alikisaidia Chama.kupata kura 2010 kwa hiyo alipata viti maalum?
 
Huu sio muda wa kampeni bali ni wasaa wa kukijenga chama, ama niseme huu ni wakati wa kueneza na kuhibiri elimu ya uraia ili kila mtanzania kwanza aelewe wajibu wake lakini pia mageuzi ya kisiasa yapatikane kwa amani.

Nimesikia kutoka kwa mtu wa karibu kabisa na Mh Mchange kuwa hivi sasa chama chake yaani Chadema kinamhujumu huko Kibaha mjini kwa kufanya mikutano ya siasa majukwaani bila kumhusisha na pia bila kumjulisha. Kwa ufupi hizi ni habari ambazo Mchange mwenyewe anatakiwa kuja hapa jamvini na ama kukanusha ama kukubaliana nazo, kama si hivyo Chadema itakuwa na sintofahamu kuu juu ya huyu mheshimiwa. Chadema hakiwezi kamwe kumtelekeza Mh Mchange kwa kuwa tunaamini huyu alishiriki kwa kiasi kikubwa kukijenga chama wakati wa kampeni za mwaka 2010. Chadema haiwezi kusahau mchango wake mkubwa wa hali na mali katika jimbo ambalo chama kilimuangukia asimame.

Suala la kulalamika kwa informer wa Mchange kwamba chama kinataka kumpiga zungu na kumuweka mmoja kati wa waadishi nguli wa habari za kila wiki hususan za rais wetu, hakuwezi kutoa tafsiri kwamba chadema imemtupa Mchange.

Lakini ifahamike kwamba kama Mchange hapatikani kwenye simu yake ya kiganjani hasa ile ya zain, halafu hatoi taarifa kama hatakupo Kibaha, unadhani chadema iliyo na ratiba tight ya mwaka mzima itaahirisha elimu ya uraia kwa watu wa Kibaha? Mchange ni lazima awe bega kwa bega na chama ili kujua nini kitafanyika ama kwake ama kwingineko Tanzania.

Sitaki kumsema sana Mchange, natambua mchango wake, ila ni lazima utaratibu wa chama uheshimiwe na ufuatwe.

Ni mimi,
Pangu Pakavu,
Nawasalimia.

Hossam,

Kama jambo hulifahamu uliza ufahamishwe kuliko kuvamia jukwaa na taarifa kama hizi usizokuwa na uhakika nazo.

Kama wewe ni mweledi ungejaribu walau kusoma katiba ya chadema, na inapatikana kwenye website ya chama.

Utaratibu wa kuitisha mikutano hata kama si chadema, ni jukumu la uongozi wa eneo husika la kiutawala. Aidha tawi, kata, jimbo, wilaya ama mkoa. Ama uongozi wa mabaraza kama bavicha(vijana), bawacha(wanawake) na wazee katika ngazi husika kama nilivyotaja hapo kabla ndio wanaoandaa mikutano, Kama wanamuhitaji kiongozi wa kitaifa wanamualika kwa kufuata utaratibui wa kawaida wakiofisi.

Sasa kama itatokea aliyekuwa mgombea ubunge ama udiwani katika eneo husika si kiongozi katika eneo hilo, basi uongozi wa eneo husika haulazimiki kumtumia yeye kuandaa mikutano, lakini akitaka anaweza kuwasiliana na uongozi wake wakaitisha mkutano. Na ikitokea uongozi ktk eneo husika kama kibaha wamemualika kiongozi wa kitaifa kuja kufanya mkutano hapo hawalazimishwi kumfahamisha Mchange juu ya huo mkutano, mwenye wajibu huo ni uongozi wa hapo kumualika kama mwanachama potential kwao. Sasa kama aligombea ubunge na viongozi wake wameitisha mkutano bila kumfahamisha ama kumshirikisha inawezekana hayuko karibu na viongozi wake.

Kama kuna jambo bado unataka kufahamu unaweza kuuliza, nitakufahamisha mkuu.
 
Asante kaka, ila napenda kukuweka wazi kwa hili, mimi ni kada mfurukutwa wa chadema. Siamini kwamba Mh Mchange yuko mbali na viongozi wake hadi kufikia kumuweka rizevu kama anavyopasha mwandani wake, jua Mwita kwamba huyu Mchange aliangukiwa na Chadema kupeperusha bendera mwaka 2010. Kweli kutoka wakati huo hadi leo ni muda umepita na inawezekana kabisa Mchange keshabadili uelekeo, suala lililopo hapa ni namna cdm inavyohabarika na kujichanganya Kibaha bila Mchange. Mimi kujua ama kutojua undani wa sakata hili tata sio
hoja kwa kuwa nishamuomba Mchange aje humu akanushe ama akubaliane na hili. Kiufupi mimi na wewe toka zamani hatuelewani misimamo yetu kisiasa sasa vipi tuanze leo?

Nabakia kumtaka Mh Mchange aje humu atoe ukweli wake kama hakuja hadi kesho, nakuahidi ntakuomba msamaha wewe na wana jamvi wote kwa kuwapa upupu.

Pangu Pakavu.

Hossam,

Kama jambo hulifahamu uliza ufahamishwe kuliko kuvamia jukwaa na taarifa kama hizi usizokuwa na uhakika nazo.

Kama wewe ni mweledi ungejaribu walau kusoma katiba ya chadema, na inapatikana kwenye website ya chama.

Utaratibu wa kuitisha mikutano hata kama si chadema, ni jukumu la uongozi wa eneo husika la kiutawala. Aidha tawi, kata, jimbo, wilaya ama mkoa. Ama uongozi wa mabaraza kama bavicha(vijana), bawacha(wanawake) na wazee katika ngazi husika kama nilivyotaja hapo kabla ndio wanaoandaa mikutano, Kama wanamuhitaji kiongozi wa kitaifa wanamualika kwa kufuata utaratibui wa kawaida wakiofisi.

Sasa kama itatokea aliyekuwa mgombea ubunge ama udiwani katika eneo husika si kiongozi katika eneo hilo, basi uongozi wa eneo husika haulazimiki kumtumia yeye kuandaa mikutano, lakini akitaka anaweza kuwasiliana na uongozi wake wakaitisha mkutano. Na ikitokea uongozi ktk eneo husika kama kibaha wamemualika kiongozi wa kitaifa kuja kufanya mkutano hapo hawalazimishwi kumfahamisha Mchange juu ya huo mkutano, mwenye wajibu huo ni uongozi wa hapo kumualika kama mwanachama potential kwao. Sasa kama aligombea ubunge na viongozi wake wameitisha mkutano bila kumfahamisha ama kumshirikisha inawezekana hayuko karibu na viongozi wake.

Kama kuna jambo bado unataka kufahamu unaweza kuuliza, nitakufahamisha mkuu.
 
Mh Habib Mchange ana wathifa gani huko CDM mie ndiyo namsikia leo kwa mara ya kwanza, sijauliza kwa nia mbaya
 
Huu sio muda wa kampeni bali ni wasaa wa kukijenga chama, ama niseme huu ni wakati wa kueneza na kuhibiri elimu ya uraia ili kila mtanzania kwanza aelewe wajibu wake lakini pia mageuzi ya kisiasa yapatikane kwa amani.

Nimesikia kutoka kwa mtu wa karibu kabisa na Mh Mchange kuwa hivi sasa chama chake yaani Chadema kinamhujumu huko Kibaha mjini kwa kufanya mikutano ya siasa majukwaani bila kumhusisha na pia bila kumjulisha. Kwa ufupi hizi ni habari ambazo Mchange mwenyewe anatakiwa kuja hapa jamvini na ama kukanusha ama kukubaliana nazo, kama si hivyo Chadema itakuwa na sintofahamu kuu juu ya huyu mheshimiwa. Chadema hakiwezi kamwe kumtelekeza Mh Mchange kwa kuwa tunaamini huyu alishiriki kwa kiasi kikubwa kukijenga chama wakati wa kampeni za mwaka 2010. Chadema haiwezi kusahau mchango wake mkubwa wa hali na mali katika jimbo ambalo chama kilimuangukia asimame.

Suala la kulalamika kwa informer wa Mchange kwamba chama kinataka kumpiga zungu na kumuweka mmoja kati wa waadishi nguli wa habari za kila wiki hususan za rais wetu, hakuwezi kutoa tafsiri kwamba chadema imemtupa Mchange.

Lakini ifahamike kwamba kama Mchange hapatikani kwenye simu yake ya kiganjani hasa ile ya zain, halafu hatoi taarifa kama hatakupo Kibaha, unadhani chadema iliyo na ratiba tight ya mwaka mzima itaahirisha elimu ya uraia kwa watu wa Kibaha? Mchange ni lazima awe bega kwa bega na chama ili kujua nini kitafanyika ama kwake ama kwingineko Tanzania.

Sitaki kumsema sana Mchange, natambua mchango wake, ila ni lazima utaratibu wa chama uheshimiwe na ufuatwe.

Ni mimi,
Pangu Pakavu,
Nawasalimia.
huyu mchange ni nani? mbona mnampa kazi ngumu sana ya kutoa vibali kwa chama chake kufanya mikutano kibaha? na kama ndiye alipeperusha bendera ya chama hakuna mwingine anayeruhusiwa kuja kueneza chama ama hata kugombea hapo isipokuwa huyu mchange? na kwa nini anaitwa mh ilhali hana cheo hata cha ukatibu wa tawi wa chama chake? sisi tunaomba chadema iongeze wagombea wa kutosha kila sehemu 2015 si lazima mchange tu wewe mfurukutwa jenga chama usijenge mchange:A S embarassed:
 
Mchange ni kada kamili wa CDM mkoa wa Pwani na ni mfurukutwa SI KWA MWALIKO BALI NI KWA KUJICHAGULIA hivyo hatutegemei kusikia malalamiko ya kuwekwa kwake kitu KI-RIZEVU wakati namba gani anayoicheza chamani siku zote anaifahamu fika sawa na sote tunavyomwelewa katika CHADEMA.

Ndugu Mchange, endeleza mikiki mikiki Kibaha mpaka kule CCM Tangini bila hofu kama kawaida yako. Sote tunajua mchango wako lakini jukumu tulionao mbele yetu ndio kubwa zaidi leo kuliko hapo jana kunakoelekea 2015.

Cha msingi hapa kaka ni kushirikiana na uongozi wetu hapo Kibaha ili kufanya kazi kama timu moja yenye lengo moja. Tupo na tunaendelea kufuatilia kazi yenyewe yenye moto mkubwa sawa na CDM Mara, Sumbawanga, Sengerema, Arusha, Iringa na Mbeya wanavyotufanya tujivunie kazi zao vijijini.


Asante kaka, ila napenda kukuweka wazi kwa hili, mimi ni kada mfurukutwa wa chadema. Siamini kwamba Mh Mchange yuko mbali na viongozi wake hadi kufikia kumuweka rizevu kama anavyopasha mwandani wake, jua Mwita kwamba huyu Mchange aliangukiwa na Chadema kupeperusha bendera mwaka 2010.

Kweli kutoka wakati huo hadi leo ni muda umepita na inawezekana kabisa Mchange keshabadili uelekeo, suala lililopo hapa ni namna cdm inavyohabarika na kujichanganya Kibaha bila Mchange. Mimi kujua ama kutojua undani wa sakata hili tata sio
hoja kwa kuwa nishamuomba Mchange aje humu akanushe ama akubaliane na hili. Kiufupi mimi na wewe toka zamani hatuelewani misimamo yetu kisiasa sasa vipi tuanze leo?

Nabakia kumtaka Mh Mchange aje humu atoe ukweli wake kama hakuja hadi kesho, nakuahidi ntakuomba msamaha wewe na wana jamvi wote kwa kuwapa upupu.

Pangu Pakavu.
 
Kuwa ulikuwa mgombea wa chadema sio sababu ya kuomba kibali au kuna ulazima kupewa taarifa za mkutano katka jimbo husika coz mchange si kiongozi wa chama kibaha alafu isitoshe bado mwanafunzi na sasa bado yupo CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) hvyo basi ratiba za masomo kunauwezekano zimembana na ndo maana hata hawezi kuwa karibu na UPDATES za mikutano hapo kibaha kutoka kwa viongozi wake.
 
Duh, hili nalo neno...

Kuwa ulikuwa mgombea wa chadema sio sababu ya kuomba kibali au kuna ulazima kupewa taarifa za mkutano katka jimbo husika coz mchange si kiongozi wa chama kibaha alafu isitoshe bado mwanafunzi na sasa bado yupo CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) hvyo basi ratiba za masomo kunauwezekano zimembana na ndo maana hata hawezi kuwa karibu na UPDATES za mikutano hapo kibaha kutoka kwa viongozi wake.
 
wakuu.
nimeambiwa kuna post hapa jamvini ninatakiwa nitolee ufafanuzi. baada kwa umakini sioni kama kuna haja yoyote ya kutoa maelezo kwa kuwa yanayozungumzwa hapo yote ni maswala ya kufikirika tu.
sina haja ya kuanza kubishana na mtu yoyote nafasi yoyote na cheo chochote.
mimi ni mwanachama hai na makini wa chadema ila sina mkataba maalum wa kwamba nitakuwa mgombea wa milele wa chadema kibaha, mkataba pekee nilio nao ni mimi na wananchi wangu wanaoniunga mkono na kuniamini kwamba ni kifo tu kinachoweza kunizuia kuwa mbunge wao 2015. nasisitiza ni kifo tu kinachoweza kunizuia kuwa mbunge wa kibaha 2015 na sio ugombea.
kwa wale pangu pakavu tia mchuzi wanaoishi mjini kwa kutega masikio wasikie nani kasema nini ili wauze umbea kwa mabosi wao nawaomba waichukue hii kwa makini sana.
nimeitumikia siasa kwa muda mrefu wa kipindi changu cha utu uzima hivyo ni lazima kama ijana mwenye malengo niwe na matarajio.
simuogopi mtu yeyote kwenye kugombea nafasi yoyote ya kisiasa.
nawashukuru.
 
Kaka usiapie usilolijua mkuu, utakuwa kamz lowassa aliyeapa kuukwaa urais mwaka 2015 kwa udi na uvumba. Majibu yako sio tu kwaba yako harsh ila yanatia kinyaa kwa kuwa unachojibu sicho ulichoulizwa na napata shida kuutambua uelewa wako.

Huwezi kuijua kesho na kaa ukijua mkania maji hayanywi, yatakukaba tu. Siasa ni majaaliwa. Wapo walioimba hawatapenda tena kwani waitendwa lakini mwisho wakaenda Tanga kuoa na kuja kulea bongo. Sisi tunachosema hapa ni hali ya ubishi wako hadi kufanya wenzako kukuchukia, acha kuiga mapito ya Zitto, huyo asili yake inatosha kutafsiri vitendo vyake, japo ana busara nyingi na anasoma nyaraka nyingi mno.

Kama ulinisoma, nilikuwa nakutaka uje humu utoe busara zako na sio uharo uliousema hapa. Tuliwahi kumwita Jerry Silaa humu na akaja na ukali lakini mwisho wake alijua mbichi na mbovu ni zipi. Uongozi haulazimishwi kiivyo, kama chadema sasa wanakupita kando basi kaa chini jiulize wapi umekosea na uwe mwepesi kuomba mwongozo. Kumbuka haya unayoyaita wewe ni ya kufikirika yatapata moto na utalia na mwana kwa maji ya moto.

Sasa nasikia Said Kubenea naye anataka jimbo unalosema ni Mungu tu ndio mpinzani wako, yaani wote ni wajinga unadhani. Unafikiri na wao hawalitai jimbo eti?

Sawa tutabaki na u Pangu Pakavu wetu, tia tu mchuzi maisha yaende. Ukiendelea na upuuzi na jazba bila kujibu hoja unazoulizwa utajikuta watu wanamwaga ugali bila kujua nani atamwaga mboga.

Ni mimi,
Pangu Pakavu.
Nawasalimia.


wakuu.
nimeambiwa kuna post hapa jamvini ninatakiwa nitolee ufafanuzi. baada kwa umakini sioni kama kuna haja yoyote ya kutoa maelezo kwa kuwa yanayozungumzwa hapo yote ni maswala ya kufikirika tu.
sina haja ya kuanza kubishana na mtu yoyote nafasi yoyote na cheo chochote.
mimi ni mwanachama hai na makini wa chadema ila sina mkataba maalum wa kwamba nitakuwa mgombea wa milele wa chadema kibaha, mkataba pekee nilio nao ni mimi na wananchi wangu wanaoniunga mkono na kuniamini kwamba ni kifo tu kinachoweza kunizuia kuwa mbunge wao 2015. nasisitiza ni kifo tu kinachoweza kunizuia kuwa mbunge wa kibaha 2015 na sio ugombea.
kwa wale pangu pakavu tia mchuzi wanaoishi mjini kwa kutega masikio wasikie nani kasema nini ili wauze umbea kwa mabosi wao nawaomba waichukue hii kwa makini sana.
nimeitumikia siasa kwa muda mrefu wa kipindi changu cha utu uzima hivyo ni lazima kama ijana mwenye malengo niwe na matarajio.
simuogopi mtu yeyote kwenye kugombea nafasi yoyote ya kisiasa.
nawashukuru.
 
Mawazo yangu.(yanaweza yasiwe sahihi).Mchange ana wasiwasi na nafasi ya kugombea ubunge uchaguzi ujao baada ya kusikia kuwa Kubenea ana interest.Anachofanya ni kujaribu kuonesha kuwa anajua kinachoendelea na wala hahofii!Pia inaonekana hayuko in good terms na viongozi wake wa chama.Huenda lile jinamizi la tuhuma za rushwa uchaguzi wa bavicha uliopita ndizo zinazomfanya Habib asijiamini na awe na hofu juu ya hatma yake kisiasa na hasa hiyo ya kugombea ubunge.Hakuna mtu ambaye anazaliwa ili awe mbunge na sio lazima ukikisaidia chama lazima kikusaidie ubunge.Ubunge ni kazi ya kuwatumikia wananchi wala sio zawadi.Hapaswi mtu yeyote yule kujiona kuwa anastahili kuwa mbunge wa eneo lake vinginevyo labda afe!Mchange piga kazi kurudisha imani ya viongozi wako.Pigania chadema acha kutafuta sympathy kwa njia ambazo zinawagawa wanachama.Taratibu za kumpata mgombea ubunge kwa chadema zipo wazi na always uadilifu na comitment ya mwanachama zitaendelea kuwa factor kuu.
 
Mawazo yangu.(yanaweza yasiwe sahihi).Mchange ana wasiwasi na nafasi ya kugombea ubunge uchaguzi ujao baada ya kusikia kuwa Kubenea ana interest.Anachofanya ni kujaribu kuonesha kuwa anajua kinachoendelea na wala hahofii!Pia inaonekana hayuko in good terms na viongozi wake wa chama.Huenda lile jinamizi la tuhuma za rushwa uchaguzi wa bavicha uliopita ndizo zinazomfanya Habib asijiamini na awe na hofu juu ya hatma yake kisiasa na hasa hiyo ya kugombea ubunge.Hakuna mtu ambaye anazaliwa ili awe mbunge na sio lazima ukikisaidia chama lazima kikusaidie ubunge.Ubunge ni kazi ya kuwatumikia wananchi wala sio zawadi.Hapaswi mtu yeyote yule kujiona kuwa anastahili kuwa mbunge wa eneo lake vinginevyo labda afe!Mchange piga kazi kurudisha imani ya viongozi wako.Pigania chadema acha kutafuta sympathy kwa njia ambazo zinawagawa wanachama.Taratibu za kumpata mgombea ubunge kwa chadema zipo wazi na always uadilifu na comitment ya mwanachama zitaendelea kuwa factor kuu.

upo sahihi sana na mawazo yako ya kutokuwa na uhakika..
mchange amejieleza vizuri sana hapa jukwaani..amesema yeye haogopi mtu yoyote sababu siasa ni mchezo wa kugombea na sio kupewa...tuhuma za rushwa za kubenea na yeye mwenyewe kutaka kuwa mgombea hazina mahusiano yoyote na wasiwasi wa mchange. kumbuka hata slaa aliingia kwenye ugombea wa urais akiwa na tuhuma za kuiba mke wa mtu lakini hazikumtisha..bavicha ilipitita na sasa tayari wanaye mwenyekiti wao wa kuteuliwa ambaye kazi yake ni kuchapa matamko tu.
kwa tunaomfahamu vema huyu bwana mdogo ni dhahiri shahiri hana woga na mtu dhaifu kama kubenea.
go mchange go...yes you can achana na walalamishi hao
 
Kaka usiapie usilolijua mkuu, utakuwa kamz lowassa aliyeapa kuukwaa urais mwaka 2015 kwa udi na uvumba. Majibu yako sio tu kwaba yako harsh ila yanatia kinyaa kwa kuwa unachojibu sicho ulichoulizwa na napata shida kuutambua uelewa wako.

Huwezi kuijua kesho na kaa ukijua mkania maji hayanywi, yatakukaba tu. Siasa ni majaaliwa. Wapo walioimba hawatapenda tena kwani waitendwa lakini mwisho wakaenda Tanga kuoa na kuja kulea bongo. Sisi tunachosema hapa ni hali ya ubishi wako hadi kufanya wenzako kukuchukia, acha kuiga mapito ya Zitto, huyo asili yake inatosha kutafsiri vitendo vyake, japo ana busara nyingi na anasoma nyaraka nyingi mno.

Kama ulinisoma, nilikuwa nakutaka uje humu utoe busara zako na sio uharo uliousema hapa. Tuliwahi kumwita Jerry Silaa humu na akaja na ukali lakini mwisho wake alijua mbichi na mbovu ni zipi. Uongozi haulazimishwi kiivyo, kama chadema sasa wanakupita kando basi kaa chini jiulize wapi umekosea na uwe mwepesi kuomba mwongozo. Kumbuka haya unayoyaita wewe ni ya kufikirika yatapata moto na utalia na mwana kwa maji ya moto.

Sasa nasikia Said Kubenea naye anataka jimbo unalosema ni Mungu tu ndio mpinzani wako, yaani wote ni wajinga unadhani. Unafikiri na wao hawalitai jimbo eti?

Sawa tutabaki na u Pangu Pakavu wetu, tia tu mchuzi maisha yaende. Ukiendelea na upuuzi na jazba bila kujibu hoja unazoulizwa utajikuta watu wanamwaga ugali bila kujua nani atamwaga mboga.

Ni mimi,
Pangu Pakavu.
Nawasalimia.

Hossam.
Lazima lazima utakuwa na lako jambo na huyu bwana mdogo mchange.
mimi ninaunga mkono kauli yake kwa jinsi mjadala mlivyoutengeneza...hakuna haja ya vijana kuwa watumwa wa vyama vya siasa hasa vinavyoamini na kuabudu kwenye majungu.
kwa mfano kama ni kweli kubenea anataka kugombea mchange hawezi kumzuia kwa kuwa ni haki yake ya kimsingi kabisa ila kwa sisi tunaofahamu mambo tutamuona kubenea kama watu dhaifu wasioweza kulima mapori yao wenyewe mpaka walimiwe na hapo ndipo nitakapoanza kuamini kuwa mchange alionewa kwenye kesi yake ya kutoa rushwa bavicha kwa kuwa kumbe yule mwandishi mmiliki wa lile gazeti ndio huyo huyo mpinzani wake wa ubunge...
hahahaha angalia hii pia...kubenea mwaka 2010 alikuwa na umri usiopungua miaka 40 na mchange yeye alikuwa na miaka 24 tu kubenea yeye alishindwa hata kugombea udiwani kijijini kwao mafya na kuwaacha ccm na cuf wakijitawalia jimbo huku huyu bwana mdogo akienda kupambambana kibaha. sasa jitu zima hovyo hili linategemea nini kiasi cha kushindwa kubuni na kutafuta jata jimbo la kugombea...kuna faida gani ya kunyang'anyana majimbo wakati kuna majimbo yanapita bila kupingwa.
nina amini katika uwezo na ushawishi wa mchange kuliko matapi ya kubenea kibaraka wa lowasa
 
Hossam.
Lazima lazima utakuwa na lako jambo na huyu bwana mdogo mchange.
mimi ninaunga mkono kauli yake kwa jinsi mjadala mlivyoutengeneza...hakuna haja ya vijana kuwa watumwa wa vyama vya siasa hasa vinavyoamini na kuabudu kwenye majungu.
kwa mfano kama ni kweli kubenea anataka kugombea mchange hawezi kumzuia kwa kuwa ni haki yake ya kimsingi kabisa ila kwa sisi tunaofahamu mambo tutamuona kubenea kama watu dhaifu wasioweza kulima mapori yao wenyewe mpaka walimiwe na hapo ndipo nitakapoanza kuamini kuwa mchange alionewa kwenye kesi yake ya kutoa rushwa bavicha kwa kuwa kumbe yule mwandishi mmiliki wa lile gazeti ndio huyo huyo mpinzani wake wa ubunge...
hahahaha angalia hii pia...kubenea mwaka 2010 alikuwa na umri usiopungua miaka 40 na mchange yeye alikuwa na miaka 24 tu kubenea yeye alishindwa hata kugombea udiwani kijijini kwao mafya na kuwaacha ccm na cuf wakijitawalia jimbo huku huyu bwana mdogo akienda kupambambana kibaha. sasa jitu zima hovyo hili linategemea nini kiasi cha kushindwa kubuni na kutafuta jata jimbo la kugombea...kuna faida gani ya kunyang'anyana majimbo wakati kuna majimbo yanapita bila kupingwa.
nina amini katika uwezo na ushawishi wa mchange kuliko matapi ya kubenea kibaraka wa lowasa

Acha maneno ya kipuuzi na kashfa wewe.Kama unaamini katika demokrasia unahofu nini?
 
Kubenea ni kibaraka,nani atampa ubunge! Aendelee kuandika maloloso yake na uzushi..kibaha ha2tampa kubenea kamwe! Bora 2tague hata UPDP
 
upo sahihi sana na mawazo yako ya kutokuwa na uhakika..
mchange amejieleza vizuri sana hapa jukwaani..amesema yeye haogopi mtu yoyote sababu siasa ni mchezo wa kugombea na sio kupewa...tuhuma za rushwa za kubenea na yeye mwenyewe kutaka kuwa mgombea hazina mahusiano yoyote na wasiwasi wa mchange. kumbuka hata slaa aliingia kwenye ugombea wa urais akiwa na tuhuma za kuiba mke wa mtu lakini hazikumtisha..bavicha ilipitita na sasa tayari wanaye mwenyekiti wao wa kuteuliwa ambaye kazi yake ni kuchapa matamko tu.
kwa tunaomfahamu vema huyu bwana mdogo ni dhahiri shahiri hana woga na mtu dhaifu kama kubenea.
go mchange go...yes you can achana na walalamishi hao

Ilishathibitika kuwa ile ya Dr.Slaa ilikuwa ni propaganda ya kupunguza kura zake za urais.Mchange ilithibitika kuwa aliwatumia fedha kwa njia ya M-PESA wajumbe(usimsahau mjumbe kutoka mwanza alivyotoa ushuhuda) na akiwagharamia wengine chakula,malazi na nauli kinyume na taratibu za chama!Hizo chuki zenu dhidi ya Heche ni uthibitisho kuwa hamuwezi kuwa viongozi.Uchaguzi wa bavicha ulishapita,badala ya kumuunga mkono mshindi ili mapambano yaendelee nyinyi mnaendekeza makundi yenu kumpiga majungu Heche!Kwa bahati nzuri mapambano yanawezekana bila nyinyi na labda ndo maana mnazidi ku"hate"!.Kikubwa hapa Mchange bado una nafasi ya kukamilisha ndoto zako ila strategies unazotumia sio sahihi.Kuwa makini na busara za washauri wako akiwemo huyu bwana/bibi!Wapo wanasiasa wengi wakubwa waliowahi kupata madoa makubwa(mfano Zuma),lakini kwa kufuata strategies za kueleweka leo wametimiza malengo yao.
 
huyu mchange ni nani? mbona mnampa kazi ngumu sana ya kutoa vibali kwa chama chake kufanya mikutano kibaha? na kama ndiye alipeperusha bendera ya chama hakuna mwingine anayeruhusiwa kuja kueneza chama ama hata kugombea hapo isipokuwa huyu mchange? na kwa nini anaitwa mh ilhali hana cheo hata cha ukatibu wa tawi wa chama chake? sisi tunaomba chadema iongeze wagombea wa kutosha kila sehemu 2015 si lazima mchange tu wewe mfurukutwa jenga chama usijenge mchange:A S embarassed:


Embu msomeni mtoa mada kwa makini kabla hamjakurupuka kujibu hoja, kuna watu humu mnapenda kujibu jibu hoja bila kutafakari alichosema mtoa hoja au ndio kuoengeza idadi za post.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom