TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Ilishathibitika kuwa ile ya Dr.Slaa ilikuwa ni propaganda ya kupunguza kura zake za urais.Mchange ilithibitika kuwa aliwatumia fedha kwa njia ya M-PESA wajumbe(usimsahau mjumbe kutoka mwanza alivyotoa ushuhuda) na akiwagharamia wengine chakula,malazi na nauli kinyume na taratibu za chama!Hizo chuki zenu dhidi ya Heche ni uthibitisho kuwa hamuwezi kuwa viongozi.Uchaguzi wa bavicha ulishapita,badala ya kumuunga mkono mshindi ili mapambano yaendelee nyinyi mnaendekeza makundi yenu kumpiga majungu Heche!Kwa bahati nzuri mapambano yanawezekana bila nyinyi na labda ndo maana mnazidi ku"hate"!.Kikubwa hapa Mchange bado una nafasi ya kukamilisha ndoto zako ila strategies unazotumia sio sahihi.Kuwa makini na busara za washauri wako akiwemo huyu bwana/bibi!Wapo wanasiasa wengi wakubwa waliowahi kupata madoa makubwa(mfano Zuma),lakini kwa kufuata strategies za kueleweka leo wametimiza malengo yao.
Mnyantari.
haijawahi kuthibitika kama mchange alitoa rushwa mahali popote pale ndio maana hata chama chao hakijawahi kuunda chombo chochote kuchunguza ili kupata ushahidi ulio kamili.
kilichotokea pale ni ule mfumo wetu wa siasa chafu za kukimbilia kuitana mafisadi ndio maana KUBENEA KWA KUWA ALIKUWA ANA NDOTO ZA SIKU MOJA KUGOMBEA KIBAHA akaamua kutumia gazeti lake bila kudeclear interest kama ni mpinzani wa mchange akamchafua kijana wa watu.i
kama unaweza kuthibitisha wapi na kina nani waliolipiwa vyakula na mchange walete hapa jukwaani wathibitishe ukiondoa huyo mwenyekiti wako wa mwanza aliyelipiwa tiketi ya ndege na GODBLESS LEMA kuja dar kushudia unafiki ili wamkomeshe mchange wakiamini watakuwa wamemkomesha za zitto!..
ndugu yangu yawezekana haukifahamu unachokisema..hapa hatuzungumzii HECHE wala bavicha sababu miongoni mwa watu wenye uwezo mdogo kabisa duniani ni huyo john heche wako ndio maana ameshindwa hata kujitafutia kipato chake cha kuishi mpaka akaomba chama kimlipie kodi ya nyumba yaani komu na slaa wamemlipia huyo heche wako kodi ya nyumba ya miezi 12 pale mabibo ili aendelee kuwa kibaraka wao.
sema ni wapi imethibitika kuwa slaa amepewa kashfa ya mke wa mtu ili impunguzie kura tu na sio uweli?...
mchange inaonekana anawachoma sana nyie wazee wa matamko...teh teh teh