Majala Kimolo
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 342
- 39
Kama ni hivyo hakuna tofauti hasa kama umeweza kuwatambua kiurahisi hivyo. Vipi kuhusu wengine weeeeeeeeeeeengi usiowajua na wanatumia mkono na mguu wa kulia?
Nambe,ukikuta kilaza ni kilaza kweli..ila ukikuta bright ni bright mbaya..