Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 3,897
- 5,354
Mimi ni mmoja wa watu wanatumia viungo vya mikono na miguu vyote vya kushoto,nimesikia kwamba watu Hawa ni makini na wenye maamuzi hata magumu na ni wenye weredi wa Hali ya July Mfano:F.Kennedy(Raisi wa Marekani),George Bush,jr(Rais wa Marekani)Obama(Raisi wa Marekani)Uhuru Kenyata(Rais wa Kenya).Bondia MannyPaque mbunge na mtu anayeheshimika Ufilipino na Nk.
Usitukane Jenga hoja.
Usitukane Jenga hoja.