Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
huko kwingine( I can't)Na ukimpemda mke hata kufuli utamfulia.
Unapaswa kuwa makini na'' logical '' siyo kusifia hata uozo wa wazi kabisa ulisikia wapi matendo ya serikali kama hii " to and fro" kosoa panapo stahili na sifia panapo sitahili ukisifia tu hawataweza kujirekebisha makosa yao
Ndiyo maana group lako wamekususia mtetezi uko peke yako huoni so