Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
serikali ya ccm haiwezi kusalimu amri. Magwanda ndio wanaweza kusalimu amri
Pinda unawafukuza lini madaktari? mbona hutoi tamko?
nilijuwa hawatafika mbali. waliondoka na baiskeli ya miti....
Yaani pamoja na ule uzi wa MMM alioongelea experience ya india kweli serikali ilidhani itashindana na madaktari? Kweli politics is too important to be left to politicians!
hili li-movie sijui litaishaje!
Nimeyapenda maneno hayo chini hadi nimeweka kama sahihi yangu.
Mbona sielewi kwani serikali ilikataa mazungumzo na madaktari au madaktari ndio walikataa mazungumzo na viongozi wa wizara ya Afya wakimtaka waziri mkuu?.. Sasa haya mazungumzo mapya yanahusu kitu gani kinyume cha yale yaliyotangulia!
Pinda unawafukuza lini madaktari? mbona hutoi tamko?
Serikali haikusita kuongea na Madaktari, madaktari ndio waliosita kuongea na Serikali. Hata Pinda alisema waziwazi milango ya maongezi iko wazi. Kwanini mnapenda kusema uongo?
Serikali ya Kikwete ni sikivu kuliko Serikali yoyote ile. Ni nani asiyelijuwa hilo? Tumeona kina Mbowe na Slaa hata walipo susa Rais akawaambia mtakuja tu, na walipokwenda akawapokea na kuwapa Juisi kwa mkono wake. Jee, nani asiyeyajuwa hayo?
Hatimaye serikali imesalimu amri, yatafuta mazungumzo upya na madaktari.
Source ni Waziri wa Afya akizungumza na BBC Swahili jioni hii.
More to follow!