Hakuna aliyetishwa, wameamrishwa, waliorudi wamerudi wasio rudi hawajarudi, sasa hivi natazama TV leo asubuhi Madaktari wote wa Mbeya wameripoti na hakuna mgomo huko, au hulijui hilo?
Faiza umechukua nafasi ya Tambwe Hiza? Naona nafasi ya propaganda unaimudu sana yaani unaposema mavi yanukia waridi unaniacha hoi.
Chama
Gongo la Mboto DSM