ZEE BABA
Senior Member
- Jan 19, 2011
- 169
- 59
wakati wa maazimisho ya miaka 50 ya udsm JK alipata kuona kwa mara nyingine namna asivyokubalika na wasomi hao,,kama wanafunzi wanamadai yao wapewe au wasikilizwe ,matumizi ya nguvu yanamwisho,,,hao polisi wanaotumwa wanatetea tu kibarua chao hata wao wamechoka ,,,