Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Hizi limits ni at individual level or even at a party level?Itakuwaje kama chama kitatumia zaidi ya hiyo level?
utakuwa umevunja sheria; chama kitapigwa faini!
Hizi limits ni at individual level or even at a party level?Itakuwaje kama chama kitatumia zaidi ya hiyo level?
utakuwa umevunja sheria; chama kitapigwa faini!
(3) For the purposes of subsection (2), "campaign team"
means a group of' persons formed by a candidate in the
nomination process or a contested election for purpose' of
presenting or assisting that candidate in the election campaigns,
who have been approved-
(a) in the case of a Presidential candidate, by the
Registrar;
(b) in the case of a Member of Parliament, by the
District Administrative Secretary; and
(c) in the case of a Councilor, by the Ward Executive
Officer.
9.-(1) A candidate shall be required to disclose at least
seven days before the nomination day-
(a) in the case of a Presidential candidate, to the
Secretary General;
(b) in the case of a candidate for the post of a Member
of Parliament and a member of the Council, to the
District Party Secretary,
of a political party which sponsored that candidate the amount of
funds which the candidate-
(i) has in his possession; and
(ii) expects to receive,
intends to use as election expenses.
(5) The disclosure of funds made pursuant to the
provisions of this Act shall be confidential and shall· not be
divulged except when such information is the ,subject of a
complaint or a complaint lodged by the Registrar or investigation
initiated by the Registrar or if it is the subject of proceedings in
the court of law.
11.-(1) A political party may, for the purposes of
financing election expenses, appeal for and receive voluntary
donations from any individual or organisation, in and outside the
United Republic, provided that the source of every donation,
exceeding shillings one million for an individual donor and
shillings two million for an organization shall, within thirty days
of its receipt, be disclosed to the Registrar by the Board of
Trustees of the political party concerned.
(4) For the purpose of voluntary donations, a candidate
may receive or accept donation for election expenses from an
individual person or organisation.
14.-(1) All expenses to be incurred during the nomination
process within the political parties shall be borne out by a political
party concerned.
(2) For the purpose of this section, the Minister shall, in
consultation with the Registrar and political parties with full
registration, make uniform regulations which shall be observed
during the nomination process by all political parties.
26. Any person who commits an offence under this Act to
which no specific penalty is prescribed shall on conviction be
liable to-
(a) in the case of a political party, to a fine not
exceeding shillings three million;
in the case of a candidate, to a fine not exceeding
shillings one million;
in the case of an organization, corporation or
institution, to a fine not exceeding shillings five
million.
How will they control both...mfano mimi nimetumia hizo 20m na chama kimetumia 20m...
Safari huwezi kutumia kiasi zaidi ya kile kilichoidhinishwa na Waziri husika.
MkamaP tatizo hapa si nani ana pesa kiasi gani tatizo ni matumizi yake yaani nidhamu ya pesa watu walichokuwa wanalalamika ni jinsi CCM walivyokuwa wanatumia pesa kununua wapigakura kugawa Tshirt kanga na kofia bure hawakulalamika kwa nini CCM wana pesa nyingiMimi watanzania nawashangaa kweli
Hivi bilioni moja haimtoshi mtu kutembea tanzania nzima wakati wa kampeni??
Bado nawashangaa pia wanaoishangaa kanuni hii, kila siku wamekuwa wakilalama kwamba ccm haiweki mazingira sawa kwa wagombea kwa sababu wana rasilimali nyingi wamezishikilia, leo hao hao ccm wamekubali wakasema sasa kiwango cha kutumia fedha kiwe sawa ,bado watu wanalalamika.
Hivi ninyi ccm wakiruhusu kila mmoja atumie fedha zake ,nyie mnaolalamika leo mtaweza kushindana na ccm kujitangaza kwa kutumia fedha???
Najuwa hamlalamiki kuhusu usawa, najuwa wamewabana kutumia helikopita kama kitega uchumi cha kuchota kodi za wananchi.
MkamaP tatizo hapa si nani ana pesa kiasi gani tatizo ni matumizi yake yaani nidhamu ya pesa watu walichokuwa wanalalamika ni jinsi CCM walivyokuwa wanatumia pesa kununua wapigakura kugawa Tshirt kanga na kofia bure hawakulalamika kwa nini CCM wana pesa nyingi
Hapo ndipo walipotia chumvi hii sheria, kuweka kiwango cha pesa na idadi ya wapambe ni kuonyesha kuwa hii sheria haikubaliki na haitekelezeki...hivi nchi gani kuna sheria ya namna hii labda tujifunze?....ukiangalia tu idadi ya mikoa ya tanzania na chukulia viongozi wa vyama wa mikoa (mwnykt,katb,mweka hazina,mwenezi) wako wa 4 na mikoa 26, ukisema hawa ndio wasindikizzaji wa raisi tu tayari wamezidi 50, na kama ni raisi kutumia idadi hiyo ya watu walewale kila mkoa basi gharama zake zitakuwa zaidi ya bil 1, hivi jk anafikiria nini? Je msajili atakuwa na uwezo wa kumuadhabisha pale tutakapo peleka malalamiko???
Mpaka sasa wapo wagombea wanatumia mamilioni kujinadi majimboni...na hata raisi nae anatimu ishaanza kuweka mambo sawa je record zake zipo? Maana hii sheria ni kabla na baada ya uteuzi....
Inaweza kumtosha kama ataitumia peke yake!
Kwa sababu haijaweka kiwango sawa!
Si waruhusu uone wakatavyoumizana CCM wenyewe; kwani aliyedhurika zaidi kwama 2005 ni nani, si CCM?
walioingiza magari 200 na watakoingiza pikipiki nyingine lukuki wakati huu si ndiyo wenye kushikilia mfuko wa kodi za wananchi?
Ndiyo maana nilikuambia tatizo si kuwa na pesa tatizo ni matumizi yake.Mkuu
Sijakuelewa ama na wewe hujanielewa ama hatuelewi kwa pamoja nini tunachokitaka ktk Tanzania.
Mkuu kwa uelewa wangu sheria kama hiyo inasaidia sana ,kudhibiti uiibaji wa fedha ,ila wanaolalamika ni kwamba inawabana kupata mirija ya kufyonza fedha.
Chukulia mfano huu, mimi nina fedha za wafadhili nashindwa jinsi gani ya kuzifisadi na pia kufisadi fedha za wananchi kwa kutumia sheria halali lakini kiufisadi.
Nagombea urais naenda kukodi AIR BUS NAIROBI, kule naelewana nao kwamba kwa kawaida kukodi kwa siku hizo ni bilioni 1 sisi tunaandika bilioni 5 moja yao ya uhalali kujumlisha moja yao cha juu, mimi nachukuwa 3 natia mfukoni.
Hilo inamaana hamlioni kabisa??
Tatizo la viongozi wetu wanayajuwa majibu sahihi kabisa ya kututoa ktk umasikini, lakini wakiyatumia majibu sahihi kutatua tatizo yataziba mianya yao kujiribikizia fedha, ndivyo vivyo ilivyo kwa watanzania wote wanapoona mirija inazibwa wanakuja juu.
Ndio maana mie na mtazamo wangu, kutokana na ninavyoona kwamba mkombozi wetu hajapata kupatikana, hawa wote wanaopiga makelele ni kwa sababu nafasi zao za kufisadi bado finyu.
Japo mie sio mtaaramu wa sheria na pia si mtaaramu wa takwimu, lakini kutokana na kahesabu na kafizikia kadogo naona sheria ni nzuri kabisa.Hiyo sheria naona itakuwa mbaya kama wakiimplement kwa mazingira tofauti mfano CCM wanaruhusiwa bilioni 10, CHADEMA milioni 1 na CUF milion 5.Hapo nafikiri ndipo tutasema sheria mbaya.
Lakini hata kama ni sheria mbaya lakini ina apply kwa wote kwa kiasi na condition zilezile, hiyo bado ni sheria nzuri na yenye pivot sahihi.
Mfano unapofanya experiment yako under vaccum na ukiwa na object mbili na kifaa ulichofanyia experiment ni kibovu na ukapata majibu si sahihi under the same conditon na hata ukienda ukafuata na ukapata kifaa kizuri na ukachukuwa vipimo tena under the same condition majibu yatakuwa proportional na yale ya kifaa kibovu na kifaa kizuri with respect na object.
Wakimaliza hii ya uchaguzi watakuja ya harusi mwisho laki 2Serikali inaweza kuchukua hatua dhidi ya fedha chafu, lakini kuzuia matumizi ya fedha halali za mwanachi ni kuingilia uhuru wake wakikatiba! Sijua hivyo viwango ndio thamani za hizo nyadhifa hizo? Sheria hii nikichekesho tupu! Haitekelezeki na inakiuka uhuru kikatiba wa mwanachi
Ndiyo maana nilikuambia tatizo si kuwa na pesa tatizo ni matumizi yake.
Serikali inaweza kuchukua hatua dhidi ya fedha chafu, lakini kuzuia au kudhibiti matumizi ya fedha halali za mwananchi ni kuingilia uhuru wake wakikatiba! Rais aliye-sign na watungaji wa sheria hii wamedhalilisha ueledi wao. Sheria hiii ni kichekesho, haitekelezeki na inakiuka uhuru wackikatiba wa mwananchi