Kati ya kupoteza ushindi au kubadili mgombea, upi uamuzi sahihi kwa vyama 2025?

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
15,102
22,538
Salaam, shalom!!

Kuelekea uchaguzi mkuu 2025, tayari tumekwisha ona homa ya Uchaguzi, HOFU kubwa ni kutoboa na kupata ushindi 2025. Wapo watia Nia ambao wamekwisha Anza compaign kabla ya Uchaguzi katika nafasi mbalimbali, yote hiyo ni homa ya Uchaguzi.

Homa hiyo hiyo Iko katika ngazi zote, Udiwani, ubunge na Urais.

Wananchi ni Kweli wameichoka CCM, pia wamechoshwa na undumilakuwili wa baadhi ya vyama kinzani, lakini Kuna wakati wananchi wamekuwa wakipiga kura Kwa chama Fulani Kwa kuangalia mgombea.

Yaani Kuna wakati wagombea wanavibeba vyama Kwa kukubalika kwao Kwa wananchi bila kujali chama kilichompa ridhaa kugombea.

Unakuta Mwananchi katika karatasi ya kura, anamchagua Kwa Mfano, Diwani Kutoka CCM, Mbunge Kutoka CHADEMA, na Rais Kutoka chama kingine, CHAUMMA. Uchaguzi wa aina hii, huangalia ubora wa mgombea bila kujali chama chake anachokiwakilisha.

Kwa yaliyotokea 2020 na yanayoendelea sasa, vyama vinakwenda kukumbana na Hali hiyo, Hali ya wananchi kuviadhibu vyama ikiwa wataletewa mgombea wasiyemtaka.

Kwa kulijua Hilo, CHADEMA mara zote katika nafasi ya Urais, imejizuia kutangaza mgombea wao na kusubiri kwanza waone mgombea wa washindani wao chama Cha MAPINDUZI. HOFU ni hiyo hiyo kutafuta mgombea anayekubalika zaidi na wananchi.

Kuna wanaosema kuwa Eti ukipitishwa tu CCM, basi umejihakikishia ushindi, hili Si Kweli hata kidogo, yaliyotokea 2015 ni darasani tosha.

Nauliza tu Kwa Mfano, ikitokea kuwa Mtarajiwa au anayepewa nafasi kugombea Kwa tiketi ya chama Cha MAPINDUZI au upinzani Kwa Mfano, amekosa mvuto mbele ya JAMII, je chama kitashupaza shingo na kukubali kupoteza ushindi, au kitaamua KUBADILI mgombea Ili kupata uungwaji mkono wa wananchi?

Karibuni🙏
 
Nauliza tu, pale Nyamagana Kwa Mfano, tangu awali wamekuwa na TABIA mbovu ya kukinai wagombea Kila baada ya miaka 5,

Je time hii watakubali KURUDIA mgombea wa ubunge Kwa vyama mbalimbali?
 
Ikitokea chama kimefanya Utafiti na kujiridhisha kuwa mgombea wao hakubaliki, kitashupaza shingo Ili kianguke katika uchaguzi, au kitababadili mgombea?

Cc. Lucas mwashambwa
 
Neno ni moja Tu kuwa ni CCM tu yenye uwezo wa kuiongoza Tanzania.Na ni Rais Samia tu aliye chaguo la mamilioni ya watanzania uchaguzi ujao.hiyo ndio kiu ya watanzania kuhitaji utumishi wa Rais samia mpaka 2030. CCM Ndio Tumaini la watanzania.
Lucas miujiza mikuu miwili;-

1.samiah kuwa mgombea was ccm 2025!

2.samiah kushinda uchaguzi 2025!

Watakaoshinikiza upinzani ushike Dola kisa Mama amegoma kuachia fomu ya urais no ccm wenyewe!

Yaani

Ni Bora mpinzani wa Bara kuliko mwanaccm was visiwani mwanamke kuchaguliwa kuwa Rais!!

Ikitokea majaliwa,Mpina,Mwigulu,Gwajima akachukua fomu ya urais kupitia chadema no rahisi kupewa Dola dhidi ya Samiah!na yeye anajua atasalitiwa Hadi na sisimizi!

Pona pona yetu ni samiah kuachia fomu na kuwa observer!

We acha TU!Hulu mtaani hakuna anaemwelew a mama wamebaki chawa kama nyie na uwt ya mchongo!!

Nimemaliza!
 
Salaam, shalom!!

Kuelekea uchaguzi mkuu 2025, tayari tumekwisha ona homa ya Uchaguzi, HOFU kubwa ni kutoboa na kupata ushindi 2025. Wapo watia Nia ambao wamekwisha Anza compaign kabla ya Uchaguzi katika nafasi mbalimbali, yote hiyo ni homa ya Uchaguzi.

Homa hiyo hiyo Iko katika ngazi zote, Udiwani, ubunge na Urais.

Wananchi ni Kweli wameichoka CCM, pia wamechoshwa na undumilakuwili wa baadhi ya vyama kinzani, lakini Kuna wakati wananchi wamekuwa wakipiga kura Kwa chama Fulani Kwa kuangalia mgombea.

Unakuta Mwananchi katika karatasi ya kura, anamchagua Kwa Mfano, Diwani Kutoka CCM, Mbunge Kutoka CHADEMA, na Rais Kutoka chama kingine, CHAUMMA.

Kwa yaliyotokea 2020 na yanayoendelea sasa, vyama vinakwenda kukumbana na Hali hiyo, Hali ya wananchi kuviadhibu vyama ikiwa wataletewa mgombea wasiyemtaka.

Kuna wanaosema kuwa Eti ukipitishwa tu CCM, basi umejihakikishia ushindi, hili Si Kweli hata kidogo, yaliyotokea 2015 ni darasani tosha.

Nauliza tu Kwa Mfano, ikitokea kuwa Mtarajiwa au anayepewa nafasi kugombea Kwa tiketi ya chama Cha MAPINDUZI au upinzani amekosa mvuto mbele ya JAMII, je chama kitakubali kupoteza ushindi, au kitaamua kubadili mgombea Ili kupata uungwaji mkono wa wananchi?

Karibuni🙏
Nipe matokeo DRC.Pili kama unadhani rahisi basi gombea Kupitia Chadema tuone kama utapita.

Chama ni ccm , wengine ni waganga njaa na Ili upite inategemea ccm wamemuweka nani ila Tanzania hii hakuna mtu timamu anaamini Kuna upinzani
 
Neno ni moja Tu kuwa ni CCM tu yenye uwezo wa kuiongoza Tanzania.Na ni Rais Samia tu aliye chaguo la mamilioni ya watanzania uchaguzi ujao.hiyo ndio kiu ya watanzania kuhitaji utumishi wa Rais samia mpaka 2030. CCM Ndio Tumaini la watanzania.
Lete data,

Numbers don't lie.
 
Nipe matokeo DRC.Pili kama unadhani rahisi basi gombea Kupitia Chadema tuone kama utapita.

Chama ni ccm , wengine ni waganga njaa na Ili upite inategemea ccm wamemuweka nani ila Tanzania hii hakuna mtu timamu anaamini Kuna upinzani
DRC Si Tanzania.

Tanzania ndo polisi wa Afrika nzima.
 
Lucas miujiza mikuu miwili;-

1.samiah kuwa mgombea was ccm 2025!

2.samiah kushinda uchaguzi 2025!

Watakaoshinikiza upinzani ushike Dola kisa Mama amegoma kuachia fomu ya urais no ccm wenyewe!

Yaani

Ni Bora mpinzani wa Bara kuliko mwanaccm was visiwani mwanamke kuchaguliwa kuwa Rais!!

Ikitokea majaliwa,Mpina,Mwigulu,Gwajima akachukua fomu ya urais kupitia chadema no rahisi kupewa Dola dhidi ya Samiah!na yeye anajua atasalitiwa Hadi na sisimizi!

Pona pona yetu ni samiah kuachia fomu na kuwa observer!

We acha TU!Hulu mtaani hakuna anaemwelew a mama wamebaki chawa kama nyie na uwt ya mchongo!!

Nimemaliza!
Mtake radhi Lucas, ni WA kiume.

Uchawa ni kutafuta tu maisha.
 
Kwa hali ilivyo nitashangaa sana kama SSH atakuwa mgombea wa CCM. Na kama akiwa yeye basi uchaguzi utakuwa kama 2015, yaani lolote linaweza kutokea.
Huo uchaguzi utakuwa wa aina yake.

CCM pamoja na mapungufu Yao, Kwa nafasi hiyo nyeti, Huwa wanafanya Utafiti wa kutosha.

Ujio wa Mkapa na Magu kupita katikati ya majabali, ni ukomavu uliotukuka.

Mungu atujalie Uzima.
 
Salaam, shalom!!

Kuelekea uchaguzi mkuu 2025, tayari tumekwisha ona homa ya Uchaguzi, HOFU kubwa ni kutoboa na kupata ushindi 2025. Wapo watia Nia ambao wamekwisha Anza compaign kabla ya Uchaguzi katika nafasi mbalimbali, yote hiyo ni homa ya Uchaguzi.

Homa hiyo hiyo Iko katika ngazi zote, Udiwani, ubunge na Urais.

Wananchi ni Kweli wameichoka CCM, pia wamechoshwa na undumilakuwili wa baadhi ya vyama kinzani, lakini Kuna wakati wananchi wamekuwa wakipiga kura Kwa chama Fulani Kwa kuangalia mgombea.

Unakuta Mwananchi katika karatasi ya kura, anamchagua Kwa Mfano, Diwani Kutoka CCM, Mbunge Kutoka CHADEMA, na Rais Kutoka chama kingine, CHAUMMA.

Kwa yaliyotokea 2020 na yanayoendelea sasa, vyama vinakwenda kukumbana na Hali hiyo, Hali ya wananchi kuviadhibu vyama ikiwa wataletewa mgombea wasiyemtaka.

Kuna wanaosema kuwa Eti ukipitishwa tu CCM, basi umejihakikishia ushindi, hili Si Kweli hata kidogo, yaliyotokea 2015 ni darasani tosha.

Nauliza tu Kwa Mfano, ikitokea kuwa Mtarajiwa au anayepewa nafasi kugombea Kwa tiketi ya chama Cha MAPINDUZI au upinzani Kwa Mfano, amekosa mvuto mbele ya JAMII, je chama kitakubali kupoteza ushindi, au kitaamua kubadili mgombea Ili kupata uungwaji mkono wa wananchi?

Karibuni
Wazo zuri na umeeleza vizuri sana.
 
Neno ni moja Tu kuwa ni CCM tu yenye uwezo wa kuiongoza Tanzania.Na ni Rais Samia tu aliye chaguo la mamilioni ya watanzania uchaguzi ujao.hiyo ndio kiu ya watanzania kuhitaji utumishi wa Rais samia mpaka 2030. CCM Ndio Tumaini la watanzania.
Daima mtu anayekataa ukweli anachagua njia za shetani hizo ni kama, kuiba, kuumiza, uwongo, rushwa nk.
Miaka mingi ijayo historia ya nchi itaionyesha ccm kama janga kwa taifa kama biashara ya utumwa inavoeleweka wakati huu.
 
Back
Top Bottom