Mfanyabiasha Mzamir afanyiwa kitu mbaya Uchina

weeee nawe tuondoleeee upuuuzi wako hapoa kama ndio na wewe unakaa mjini kwa kumtegemea muzamil kivyakooooo , nenda ukamuuulize face to face uone atavyojibu macho chini sasa kama wewe unafadhiliwa nae sio sisi na kama unaona hatuna ushahidi nenda kampige picha nyeti zake ubandike hapa tuzione usijipige mwenyewe tu ........ kama bwana wakooooo ndio ukanunueee vibrator tena avae akuridhishe ..... mijitu mingine bwanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ovyooooooooooooooooooooooooooo

Ha haaa we ndo umemaliza kabisaaa manaake mtu kamaindii cjui ndo aliemleta town. Hayo ni malipo ya uzulumaji, jamaa wapigaji kishenzi, jasho la watu halipoteagi bure. Na mi niliskia hiyo issue jana naskia analia tu.
 
Duuuuuu kumbe ameoa kale ka jasmin uwiiiiiiiiiiiii jamaa yangu mmoja wa voda alishakulaaaa na kusaza miaka ya 2004 duh kweli ndege mjanja hunasa kwenye tundu mbofu mbofu

wamesha achana na hako ka jasmin juzijuzi kamesharudi kwao.
 

aha ha ha ha aha ha ha....nacheka lakini naumia wakuu,sasa mke wake amemwambiaje?

Amwambieje mkewe sasa, mkewe atakua kajumlisha na kutoa akapata jibu. Ukiolewa na jambazi lazima utakua unajua ni jambazi.
 
Duuuuuu kumbe ameoa kale ka jasmin uwiiiiiiiiiiiii jamaa yangu mmoja wa voda alishakulaaaa na kusaza miaka ya 2004 duh kweli ndege mjanja hunasa kwenye tundu mbofu mbofu

Nani alikwambia ile kitu ina makombo? Kama jamaa yako alikula mwaka 2004, ulitaka asiliwe tena? Acha watu wale leo na hata kesho. Kikubwa wale kwa kujihadhali.
 
Sasa sijui Muzamil na masha urafikiwao umeishia wapi?
Nataka watu wafahamu ili kuingiza pesa nyingi kama msofe na mzamil wanazowapiga wazungu lazima waziri wa mambo ya ndani ya nchi atambue na aandikiwe barua na mfanyabiashara ya kuomba kuingiza fedha za kigeni zenye idadi kubwa na yeye huwaprove kwa manager wa bank ili wachukue hela hizo.

Mfano mwakajana mzalil katunzi na kampuni yake ya oceanlink iliuza fake copper cathode kwa wachina yenye thamani za usd 5ml. Ningependa watu wajue pesa hizi zinachukuliwa cash wakati mzigo upo Baharini, maana kilichomo ndani ya contena ni viroba vya mchanga.

Kwa namna hii lazima Laurence alikuwa mshirika wa karibu wa jamaa hawa. Sasa fikiria leo jamaa ana mchukua getrude X wife wa rafikiyake.
 
Mbona hiyo siku nyingi sana....nadhani toka January mambo yalikuwa yashaharibika.
 
Kuna taarifa kwamba mfanyabiashara maarufu wa Dar es Salaam Ajulikanaye kwa jina la Mzamir hivi sasa hana tena uume baada ya kufanyiwa unyama wa kutisha huko China. Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa mfanyabiashara huyo, Mzamir alitekwa na watu ambao inadaiwa aliwahi kuwatapeli madini huko Dar na baadaye wakamuwekea mtego ili aende China ambako alijikuta theatre akiwa hana uume. Aliokotwa akiwa hajitambui akakimbizwa hospitali ambako jamaa walichofanya ni kuzuia bleeding na kutibu kidonda. Naambiwa sasa hivi hana raha na nyodo zote zimemuishia.

Punch

Ninachokijua mimi ni kwamba kuna wafanyabiashara wa Ugiriki aliwafanyia utapeli yeye na Papa Msofe. Wakamtuma mtu aje afanye dili, na ili kukamilisha, wakamlipia tiketi ya kwenda kule Ugiriki, kumbe ulikuwa mtego. Kufika kule wakamlewesha kwa pombe na starehe za vimwana, akajiona, YES! MI KIDUME! Kumbe alipolala tu, walimdunga sindano, ikawa ndio mwisho wa uume wake kufanya kazi!

Sasa hili la kuunyofoa kabisa ni jipya. Lakini linawezekana! Lisemwalo lipo! Kama halipo, LAJA!
 
Kale kasingeweza kukaa na mwanaume suruali possibly.

Mamushka nasikia walikorofishana Jasmine kwa sababu ya kademu kamoja ka secretary ka muzamil ambako amekageuza mke tena.

Habari zilizo tufikia hivi punnde kutoka vyanzo vyetu vya kuaminika kwa jamaa wa karibu wa Muzamil, nikwamba muzamil katunzi kamuoa mfanyakazi wake wa ofisini na ndoa hiyo imefungwa kisirisiri na sasa hivi demu huyo anakaa beach street maeneo. Demu huyo anaitwa Latifa Abubakari kademu hako kalikuwa kanaishi kimara, napia kademu hako kanadate na yule George wa crdb bank mapaka sasa kwasababu jamaa hana power ila money,
 
Mzamir na rafiki zake- akina Papaa Msofe wako above the law, wanafanya uharifu kila siku na ukifanyiwa ukawataarif polis utaambiwa mtandao wao ni mrefu hawawezekaniki, kila siku wanawaliza watu kwa madini fake, wizi wa viwanja na kuuza viwanja hewa, hawakamatiki. Kama ni kweli alichopata ndo stahiki yake. Ila mtia mada atupe sosi.
Ndugu mtoa taarifa, tafadhali tupatie chanzo sha habari yako. Kwa sababu hii ni serious case.

If at all walitapeliwa, walikuwa na kila uwezo wa kutoa taarifa na uhuni huo kwa vyombo vinavyohusika na kisha akafikishwa mahakamani na hukumu kutolewa kulingana na ushahidi utakaokuwepo.

Kama haya yote hayakuweza kufanyika, ni dhahili kuwa inawezekana ikawa tuhuma hizo ni za uzushi tu, ambao wafanyabiashara wengi (iwe haramu au halali hufanyiana).

Katika kulitazama suala hili, kutazama chanzo cha taarifa na credibility yake ni muhimu sana kabla hatujaanza kuchangia kwa jazba, ushabiki ama hisia binafsi.

Wasalaam.
 
Ushahidi upi jamani watu mnataka?
Juzi muzamil alitapeli kiwanja cha mama rwakatare, anaviwanja viwili mbezi beach alivivamia na mpaka sasa ni mali yake.

Au wataka ushahidi wa kukatwa nyeti??

Kuhusu ushahidi ni kweli mtu kuleta mada na awe na ushahidi ili watu wachangie kwenye ushahidi. Lakini pia dhumuni la forum ni mtu akileta mada kama kuna mtu kaonewa analala mika je muzamil na mfsofe si wapo humu, naomba muzamil akanushe kama hakutapeli kiwanja chetu cha kanisa mikocheni b assemblies of God??

Kama atabisha tutaleta ushahidi hapa na document zote. Na swala hili halijaisha tutahakikisha mtandao wenu unaoogopwa na police inobakia historia ndani ya Tanzania. Najua muzamili wewe ni mafia kama isingekuwa Mama tibaijuka usinge turudishia kiwanja chetu. Kiwanja hiki kilinunuliwa kwa pesa za zaka za wakrito pesa za maombi ya baraka kwa Mungu usipo tubu mwaka huu utakuwa wa historia kwenye maisha yako na lazima tukuanike wazi mataifa yote ili utapeli wako usifanikiwe tena huwezi kushindana na kazi ya Mungu, Nguvu ya utapeli wa viwanja ishindwe kwa jina la Yesu, na maofisa wote wa wizara ya ardhi washindwe na polisi wote wa kawe na oysterbay washindwe.

Msipo tubu mtaangamia
 
aaah kale nako ni ka gold digger katakuwa kanabaluzwa nje huko halafu gharama za huyo mjinga mjinga aliyeweka ndani hako ka famba
Haka katoto usalama mdogo sana kalianza na muangola yule malaya nelson, hapo voda kwenyewe kalilala na vijana wengi, yule checkbob wa barclays sasa mzee muzasha ndio anazuia imekula kwake. Lakini mixed race wengi wanakuwa machakalamu kama haka kajsmeen.
 
Walichowafanyia wale mamiss pale bagamoyo wakina
wema sepetu;ezekiel;upendo msami;mmmh wangeanza tu na makalio wayakate yote...akalie mifupa
wachafu waribifu sana kama unawajua vyema hata kuwasogelea ni najisi
Waliwafanyia kitu gani hao mamiss?
 
Back
Top Bottom