N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 556
What goes around comes around, Walizoea miteremko kuwapiga w2 chana la macho.
ni kweli waliwatapeli watu hapa dar sasa wakamwekea mtego aende huko kuna biashara nzuri jamaa akaingia mkenge, kwa kifupi ni kuwa jamaa waliwapa mafia kazi na walitaka asiuwawe bali wampe fundisho na ikibidi akomit suicide mwenyewe basi jamaa wakafanya kazi na hayo ndio matokeo...nampa pole kwa kwelikuna taarifa kwamba mfanyabiashara maarufu wa dar es salaam ajulikanaye kwa jina la mzamir hivi sasa hana tena uume baada ya kufanyiwa unyama wa kutisha huko china. Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa mfanyabiashara huyo, mzamir alitekwa na watu ambao inadaiwa aliwahi kuwatapeli madini huko dar na baadaye wakamuwekea mtego ili aende china ambako alijikuta theatre akiwa hana uume. Aliokotwa akiwa hajitambui akakimbizwa hospitali ambako jamaa walichofanya ni kuzuia bleeding na kutibu kidonda. Naambiwa sasa hivi hana raha na nyodo zote zimemuishia.
Mpaka sasa hakuna aliyeweza kuthibitisha taarifa hizi za Muzamir Katunzi kukatwa nyeti uchina.
Logocal conclussion ni kuwa this is all Hoax!!
Tuna mambo mengi tunayoweza kujadili kuliko huu uzushi.
Huu ni ufedhuli mkubwa. Ni nani hapa angependa siku anapata stroke ama hata inatokea ajali na yeye kupoteza viungo kisha mkewe afungue milango kwa whatsoever called Serengeti boys? Kama yupo ajitokeze hadharani tumjue.
Ni vema kutambua ya kwamba hata kama jamaa kweli kapoteza nyezi zake kwa sababu yoyote ila, mkewe atabaki kuwa mkewe na wala hatakuwa "shamba la bibi" kila mjukuu kujichunia chochote apendacho na wakati apendao.
Ni busara isiiyo aghali kuzingatia mahusiano yenye maadili na heshima, kuliko tukianza kuhubiri ukosefu wa nidhamu, uasherati na kushabikia uzinzi.
Pia ni muhimu kutambua kuwa, ikiwa ni kweli yamemkuta jamaa, yeye, mkewe na ndugu, jamaa na marafiki wa kweli watakuwa katika wakati wa majonzi na simanzi kwa kilichotokea. Kuwakebehi ni kukosa utu.
wengine walio kuwa wakichukuliwa wake zao, wakinyanyasiwa dada zao na hata kulawitiwa wadogo zao taarifa hizi ni njema kwani wanadhani haki imetendeka hatimaye..
Nimejaribu kuzungumza kwa simu na ndugu pamoja na jamaa kadhaa wa Katunzi (Benedict, Matungwa and a few others), wote wanashangazwa kusikia uzushi huu.
Again and again, tunaomba kuthibitishwa kwa taarifa hizi.
Mpaka sasa hakuna aliyeweza kuthibitisha taarifa hizi za Muzamir Katunzi kukatwa nyeti uchina.
Logocal conclussion ni kuwa this is all Hoax!!
Tuna mambo mengi tunayoweza kujadili kuliko huu uzushi.
Pia inakupasa kujua kuwa kila mti ameguswa na tukio hili kwa jinsi yake kama wewe unadhani ni wakati wa simanzi wengine wakio kuwa wakichukuliwa wake zao, wakinyanyasiwa dada zao na hata kulawitiwa wadogo zao taarifa hizi ni njema kwani wanadhani haki imetendeka hatimaye.Ninaelewa simanzi yako lakini pia naamini na wewe unatakiwa kuelewa hisia za watu wengine.
wapi papa musofee ..wapi papa muzamil ..bill gate..,young millionaire....ndama mtoto wa ngombe!!
wanamuziki wa tanzania njaa sana ....kazi kuwasifu matapeli na wachuna ngozi za albino wimbo nzima...tena mara nyingine wanapiga na kuimba kwenye hafla zinazohudhuriwa na viongozi wakuu..
Mh, BUrn....
Inaonekana una mambo mazito sana kuhusu huyu jamaa...
You do not know the rule of the GAME, uliyoyasema hapo ni kashfa kwa wanamuziki, wao kama wanamuzik wanaangalia maslahi (PESA) na wewe ukitaka uzumbukuku wa kupaishwa hewani leta hela zako tunapokea tunakupaisha then watoto wetu wanakiona choo, watanzania punguzeni kashfa na wivu......
sio kusikiliza majina ya matapeli na vinyozi wimbo mzima....
Kina Bitebowe ni kiboko... nimecheka mpaka basi!! vinyozi tena?