Kuna taarifa kwamba mfanyabiashara maarufu wa Dar es Salaam Ajulikanaye kwa jina la Mzamir hivi sasa hana tena uume baada ya kufanyiwa unyama wa kutisha huko China. Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa mfanyabiashara huyo, Mzamir alitekwa na watu ambao inadaiwa aliwahi kuwatapeli madini huko Dar na baadaye wakamuwekea mtego ili aende China ambako alijikuta theatre akiwa hana uume. Aliokotwa akiwa hajitambui akakimbizwa hospitali ambako jamaa walichofanya ni kuzuia bleeding na kutibu kidonda. Naambiwa sasa hivi hana raha na nyodo zote zimemuishia.