Hii kali sasa kwani huyu Kilumbe Ngenda si alisema amepita matawi yote ya chama chao DSM hajaona jina la uwanachama la Mengi sasa iweje akakiri? alitumwa na nani kuropoka bila kuwa na uhakika?
Not sure nani kamtuma, but any of these guys
1. RA
2.EL
3.SS (aka Sofia Si-mba)
4
5
6
Add to the list