MVUA GAMBA
Senior Member
- Apr 13, 2011
- 102
- 63
Bunge ni la Tanzania lugha ya kwetu Kiswahili full spot, January was very right ni vibaraka uchwara wa lugha za wageni ndio wanamuona hakutumia busara. Yeye alitaka hata wananchi wa Bubumbuli wajue wabunge wao wanazungumza nini hilo la kupima uwezo wao wa ngeli nis suala la vyama vilivyowapitisha kuwa wabunge. Full Stop.