Lazima sasa kutakuwa na bifu la Membe na January lakini kwa uwezo na ujuvi wa mambo January is far ahead
This guy has built a reputation of being a boot licker and syconphant! Huo uwezo unaouzungumzia labda ni wa mambo ya siri lakini siyo elimu na utumishi wa umma. Kwa vile wewe ni mpagazi wa mafisadi kutokana na njaa zako, you are entitled to your stupid opinion.