Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
How could you not distinguish between informal language, official language and national language?
Unataka wawakilishi wawe wanatembea na mashine za kutafsiri lugha na dictionary?
I have confirmed once a rattle snake always a rattle snake!
========
Kilichojiri ni kwamba January Makamba ametoa taarifa kwa Spika kwamba kiswahili ni lugha ya taifa na pia moja ya lugha ya AU tujivunie na kutaka wagombea wa uwakilishi wa Bunge la Africa wajieleze kiswahili na si kiingereza kama kanuni inavyoelekeza.
Membe akasema uzoefu na kanuni vifuatwe. Wajieleze kiingereza kwa sababu kiswahili ni wakati wa mkutano, nje wajumbe watakuwa wanatumia kiingereza kuinteract.
Halima Mdee alitoa hoja kwamba kanuni ni kujieleza kwa kiingereza. Hoja ikapita
Unataka wawakilishi wawe wanatembea na mashine za kutafsiri lugha na dictionary?
I have confirmed once a rattle snake always a rattle snake!
========
Kilichojiri ni kwamba January Makamba ametoa taarifa kwa Spika kwamba kiswahili ni lugha ya taifa na pia moja ya lugha ya AU tujivunie na kutaka wagombea wa uwakilishi wa Bunge la Africa wajieleze kiswahili na si kiingereza kama kanuni inavyoelekeza.
Membe akasema uzoefu na kanuni vifuatwe. Wajieleze kiingereza kwa sababu kiswahili ni wakati wa mkutano, nje wajumbe watakuwa wanatumia kiingereza kuinteract.
Halima Mdee alitoa hoja kwamba kanuni ni kujieleza kwa kiingereza. Hoja ikapita