Membe vs January Makamba

Albert Msando

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
1,019
171
How could you not distinguish between informal language, official language and national language?

Unataka wawakilishi wawe wanatembea na mashine za kutafsiri lugha na dictionary?

I have confirmed once a rattle snake always a rattle snake!

========

Kilichojiri ni kwamba January Makamba ametoa taarifa kwa Spika kwamba kiswahili ni lugha ya taifa na pia moja ya lugha ya AU tujivunie na kutaka wagombea wa uwakilishi wa Bunge la Africa wajieleze kiswahili na si kiingereza kama kanuni inavyoelekeza.

Membe akasema uzoefu na kanuni vifuatwe. Wajieleze kiingereza kwa sababu kiswahili ni wakati wa mkutano, nje wajumbe watakuwa wanatumia kiingereza kuinteract.

Halima Mdee alitoa hoja kwamba kanuni ni kujieleza kwa kiingereza. Hoja ikapita
 
Membe kagongelea msumari wa mwisho.. hawa watu bana sijui wamelogwa?
 
Nimefanya kazi ikulu...na kabla nilikuwa wizara ya mambo ya nje....crap!!!! Je membe yeye ajielezeeje????? huyu kijanaa ajaribuu kuwa makini zaidi.
 
Januwari wamethibitisha kwamba bado fikra ndani ya bunge ni baina ya CHADEMA na CCM. Mantiki ilimshinda kabisa akawa bize kutetea msimamo wa CCM kwa sababu tu alisikia CCM wakipiga makofi kwa wingi.

On another note, alichofanya Membe ku-support hoja ya upinzani katika bunge letu is very ver rare. Will it cost him?
 
  • Thanks
Reactions: Iza
Imedhihirikaa wazi kuwa Waziri Membe hakubaliani na Kijana January Makamba wakati wa mjadala wa uchaguzi wa wabunge wawakilishi katika bunge la Afrika.

Baada ya maelezo ya kikadaa zaidii ya JM kuhusu kupinga kanuni inayotaka lugha ya Kiingereza kuwa rasmi katika kuwahoji wagombea, Membe alimtoleaa uvivu kwa kupinga hoja yake na hatimaye spika kukubaliana na Membe.

Je ni msuguano wa uteuzi wa kijana kuwa katibu wa sekretariati ya CCM,Siasa na Uhusiiano wa Kimataifa na kumwondoa Membe kama waziri wa mambo ya nje na mjumbe wa sekretariati hiyo?????

Kwa kiasi Membe amekuwa ethical kutetea kanuni kama sio bifu la chini kwa chini...
 
One can conclude sasa January vs Membe for MFAIC! Hivi tetesi za cabinet reshufle zina ka-ukweli hivi?
 
One can conclude sasa January vs Membe for MFAIC! Hivi tetesi za cabinet reshufle zina ka-ukweli hivi?

Hata kama ikiwa kesho hiyo reshufle. Januari hawezi kuwa waziri tena kwa kuwa wajumbe wa secretariat ya CCM hawewezi kupewa kazi nyingine kwakuwa nafasi ya secretariat kwa sasa ni full time.
 
of course MEMBE NI MUUNGWANA na ndio maana kwenye ukweli yeye anasimamia ukweli,pia yeye ni waziri wa mambo ya nchi za nje na hiyo haikuhitaji propaganda tena.
JANI-UWARI ni mpropaganda ccm nchi za nje na ukichanganya na utoto,u-be show!, basi ndio hayo tunayaona anataka KUMFUNIKA MEMBE MAPEMA.......
 
Hata kama ikiwa kesho hiyo reshufle. Januari hawezi kuwa waziri tena kwa kuwa wajumbe wa secretariat ya CCM hawewezi kupewa kazi nyingine kwakuwa nafasi ya secretariat kwa sasa ni full time.

Kwa kanuni mpya za CCM iliyojivua gamba au zipi? Kama ni kanuni zao hawachelewi kuchakachua. Si unajua tena mtu akiwa waziri halafu akawa kwenye sekretariati ni kupunguza makali ya bajeti kwa ccm. Akienda safari za kichama anachomekea kwenye safari za sirikali
 
Membe ni zao la elimu ya kanisa katoliki, mzoefu wa TISS na mwana diplomasia pia ana una ufahamu kuhusu wabunge wa TZ ambao ni vihiyio wa lugha wanaposhindwa kuongea katika vikao muhimu. January ni mtoto wa Yusuf Makamba ambae ni zero, alikuwa muandaji wa hotoba za JK hapo utapima uwezo wake. Pia ni zao la UFISADI
 
Back
Top Bottom