MVUA GAMBA
Senior Member
- Apr 13, 2011
- 102
- 63
Vijana wa Membe kuweni na subira humu yaani mtu wenu asiguswe ila ninyi kazi kushambulia wengine humu.
sasa ukivua magamba kama kobe si utabaki uchi?Weweeeee,ebu muaache afanye kazi zake bana!
Sasa ajilekibishe ili iweje?
ionekane mmevua gamba kweli?
Kazana kijana,i hope mzee kakurithisha kila kitu
kamanda unazungumza jibu huku ukiligeuza kuwa swali?
kweli tupu mkuu, kichwa cha JM hakina tofauti na cha YM babake.
Ukweli unabaki, January just didnt think. His support to kiswahili was ill timed!
Ama kweli mtoto wa nyoka ni nyoka
Hivi kweli unamshutumu Januari kwa jitihada za kukuza lugha ya Taifa? Suala sio kwamba hakuelewa Kanuni za kuchagua wabunge wa AU (hilo lazima analifahamu). Suala ni kutaka Kanuni itazamwe upya ili kukuza lugha yetu ndani ya shughuli za kimataifa. Na hiyo ni hoja sahihi kuitoa. Badala ya kujadili hili la kukuza lugha yetu nje, mnajadili nani kati ya Januari na Membe mwenye akili na nani kamuumbua mwenzake! The Home of great thinkers. Chuki ikizidi maarifa bwana...
Ameanza na nafasi za chama, bado uwaziri na huenda urais huko mbeleni!!Huyu JM naona anapandishwa ngazi kwa kasi ya ajabu; nahisi atakuwa anaandaliwa post nzito sana ndani ya dola in the near future
Safi sana Mbegu. Lugha yetu ni nzuri sana na nashindwaga kabisa kuelewa kwa nini hatuikuzi na badala yake tunashobokea lugha ya kigeni. Januari alikuwa sawa kabisa na kwa hilo mimi namuunga mkono. Tutaendelea kuathirika na ukoloni mamboleo hadi lini?