Membe vs January Makamba

Bunge ni la Tanzania lugha ya kwetu Kiswahili full spot, January was very right ni vibaraka uchwara wa lugha za wageni ndio wanamuona hakutumia busara. Yeye alitaka hata wananchi wa Bubumbuli wajue wabunge wao wanazungumza nini hilo la kupima uwezo wao wa ngeli nis suala la vyama vilivyowapitisha kuwa wabunge. Full Stop.
 
Makamba kavaa gamba baya zaidi kwa watz..............tusubiri maumivu zaidi tusipobadilika
 
kamanda hebu tujuzee hizoo deal za membe.....

Mkuu jenga subira Januari hajaanza kazi na wala kazi yake sio full time maana kwenye chama ni kujitolea. Ila katika deal hizi ipo ile ya foreign exchange kwenye balozi zetu aliyokabidhiwa Ridhwan mpwa wa Membe
 
hahahahahahaha this Msando again attacking others on his way for generating fame from JF

I think you are just another bunch of ignorant! Sasa kama Msando angekuwa ameingia na ID fake kama yako ungejuaje na ungekuwa na huu upuuzi ulioleta hapa. Nyie ndo wale watu wakati wengine tunasonga mbele nyie inabidi tuwa-IGNORE!
 
Ni faraja kuona wanatibuana wenyewe kwa wenyewe, wakivurugana watu watazidi kujua kweli magamba yanahitajika kuvuliwa
 
Mkuu jenga subira Januari hajaanza kazi na wala kazi yake sio full time maana kwenye chama ni kujitolea. Ila katika deal hizi ipo ile ya foreign exchange kwenye balozi zetu aliyokabidhiwa Ridhwan mpwa wa Membe

ok mkuu najenga subira...
 
na mi nimevua gamba.

oh bai ze wei, JM atajiuzulu kwenye kamati ya nishati au?......maana nasikia ukatibu siku hizi ni fulltime
 
I think you are just another bunch of ignorant! Sasa kama Msando angekuwa ameingia na ID fake kama yako ungejuaje na ungekuwa na huu upuuzi ulioleta hapa. Nyie ndo wale watu wakati wengine tunasonga mbele nyie inabidi tuwa-IGNORE!

Mkuu nakuunga mkono!!
 
Bunge ni la Tanzania lugha ya kwetu Kiswahili full spot, January was very right ni vibaraka uchwara wa lugha za wageni ndio wanamuona hakutumia busara. Yeye alitaka hata wananchi wa Bubumbuli wajue wabunge wao wanazungumza nini hilo la kupima uwezo wao wa ngeli nis suala la vyama vilivyowapitisha kuwa wabunge. Full Stop.


Join Date : 13th April 2011
Posts : 8
Thanks
0
Thanked 1 Time in 1 PostGroan0Groaned 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0

Hata hodi hupigi, ukikuta wakubwa zako tunapeana mambo yetu ya kikubwa....ebo!!!
Tumeelewa wewe kwli mvua gamba. :rip:
 
Bunge ni la Tanzania lugha ya kwetu Kiswahili full spot, January was very right ni vibaraka uchwara wa lugha za wageni ndio wanamuona hakutumia busara. Yeye alitaka hata wananchi wa Bubumbuli wajue wabunge wao wanazungumza nini hilo la kupima uwezo wao wa ngeli nis suala la vyama vilivyowapitisha kuwa wabunge. Full Stop.

Pale alikuwa anazungumza kuhusu Bumbuli au alikuwa anaomba kura kwa ajili ya uwakilishi kwenye Bunge la Afrika? wapiga kura ni wale waliokuwepo kule Bungeni na wale wote ambao hawajui kiingereza (unawafahamu) hawakusikia wagombea walichoongea hivyo wamepiga kura kwa kuangalia sura. Leo umeshuhudia uwezo wa baadhi ya wabunge linapokuja suala la lugha.

Hakuna anayepinga Kiswahili ni lugha yetu, ila kama january anataka kusimamia basi aende mbele zaidi, apeleke muswada binafsi bungeni kwamba Kiswahili kitumike shule za sekondari masomo yote na asimamie hapo. Ila kuweka msimamo kwenye suala la kujieleza pekee narudia was ill timed.

Hoja ya lugha ya kiswahili na matumizi yake sio ndogo hata kidogo. Kwa nafasi yake tunategemea aende mbali zaidi ya kutoa taarifa kwamba alifanya kazi ikulu na mambo ya nje na Kiswahili ni lugha ya AU. Mbona mimi najua na sijafanya kazi Ikulu au Mambo ya Nje? au ni kejeli na sifa zisizo na msingi?
 
Msando acha hizo za kushabikia utumwa wa lugha za kigeni, kwani hujui January anafahamu ngeli vema lkn anataka utaifa kwanza? Mimi ndio Mvua Gamba bwana!
 
Kijana February Ma-ropes inaonekana anapenda sana aonekane, kitu ambacho hajui kwamba ndo chanzo cha kuangamia kwake. Ni dhahiri ameingilia utendaji wa waziri wa Nishati pamoja na Waziri wa mambo ya nje....Baada ya kupewa uwenyekiti bungeni na ukatibu CCM February anakuwa na tabia ambazo zinaashiria kukivuruga Serikali pamoja na Chama. Amemvavia ngeleja na leo Waziri Membe na hoja hata tahira hawezi kutoa, alichokipata ni aibu tupu. Ama kweli mtoto wa nyoka ni nyoka

Kama ni kujenga jina, kijana angejaribu kwenda taratibu. February punguza kimbelembele na uropokaji, unaropoka mno kama mzee maropes. UVCCM tunakuangalia tu
 
Katibu Mkuu wa CCM aliyejiuzulu (mstaafu?) Yusuph Makamba amenukuliwa akisema aachwe apumzike. Ameitumikia hii nchi miaka 50 na kazi aliyofanya ni kubwa......Mwananchi Uk. 4, Jumatano April 13, 2011.

Pole sana Mzee Makamba, miaka 50 na bado ukalazimika kujiuzulu baada ya kuonekana umekuwa gamba. Huu ni wakati mgumu sana kwako. Naamini kabisa ulianza kama ngozi na muda ulivyozidi kwenda ukageuka gamba (kama wanavyosema umekuwa gamba ni kweli).

Lakini, January nae ameingia wakati wewe unatoka. Tunamuombea Mungu miaka 50 ijayo tena na yeye gamba lake liwe gumu kama lako lakini isiwe vigumu kulivua.

Haya yote ni mapito. Ndani ya nafsi yako utakuwa na huzuni kwamba miaka yako 50 haijamalizika kwa shangwe na hakuna uwezekano wa kutukuzwa kwa miaka hiyo mingi ya utumishi kwa nchi na chama.

Kwa nchi yetu lolote linawezekana.
 
Msando acha hizo za kushabikia utumwa wa lugha za kigeni, kwani hujui January anafahamu ngeli vema lkn anataka utaifa kwanza? Mimi ndio Mvua Gamba bwana!

Tatizo MG unaweka ligi. Sijakataa January anajua lugha. Pale ilikuwa wagombea wajieleze kwa kiingereza tuwasikie. Na umewasikia. Kiswahili ni lugha yetu na ninajisikia fahari kukizungumza. Lakini inapotokea kwamba mtu anataka uwakilishi kwenda Bunge la Africa basi kiingereza kina umuhimu wake. Ukiwa unajua lugha zote mbili kwa ufasaha ni added advantage!
 
Back
Top Bottom