Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Kwamba kama zitto ana uwezo mkubwa hilo halina mjadala......Ila jinsi magazeti yalivyoaandika katika mtazamo wa kuleta mtafaruku kuelekea 2015 ni tatizo
Hao wabunge niliwaweka katika kundi la waliofilisika kisiasa.....bora kama kuna waliokana.Ni wakati wa umoja ndani ya chama kuelekea 2015.
Jana Niliandika
Kama hao wabunge wamemu-endorse kwa sababu ya ujana na ushkaji tu basi 'WAMEFILISIKA KIMAWZAZO/KISIASA'
Wabunge vijana wa aina hiyo ni janga na ni embarrasement kwa vijana wote.Vijana ni jobless,hawana clear future na wanasiasa wanataka kuwatumia kumaliza game zao.Ipo siku tutaamua hatima yetu kwa mtu wa bunduki badala ya sanduku la kura katika mazingira yenye hila za mafisadi na usalama wa Taifa uliokosa intergrity.Sijutii/sitajutia kauli hii.....
We donn't give a damn wheather the president is young or Old.what we need is maturity and guts to step on thug's toes...
Maswala ya kutumia vijana kama mtaji hayatakubalika.Tunachohitaji ni focus kama chama cha Siasa kwa jinsi gani tuiondoe CCM madarakani 2015 kwa umoja wetu.
What's so special?hao waliomu-endorse wamefanya nini hadi iwe issue?
This is where we make mistakes, a young man ruling doesnt imply a change, come to think of it a great population of our young men are into fraudulent activities., what Tanzania need is a man with vision. Either young or old. We need someone that will spark up some changes via critical decisions. There is just a botton of ingenuity that needs to be pushed in this country.
The average Tanzania youth has over the past 2 decades been pushed down and stripped of all forms of responsibility that they have started thinking, acting and communicating as children. If we don't get our act right and take control of our future; our destiny, which is our country, we'll soon be further demoted to the level of toddlers.
All Tanzania need is a good man who is not afraid to step on toes and of course with a clear focus.
Talking about a young man ruling this country, well, i think that might just be me, hahaha
Mkuu nilihifadhi andiko lako la jana, hakika uliliona kwa macho ya tatu, watu makini wametuonyesha udhaifu wa wale tunaowategemea upo wapi!
Najaribu kushawishika na moja ya andiko la mdau mmoja kuwa baadhi ya wanahabari hupewa fedha na kushurutishwa waandike kwenye magazeti yao kile wanasiasa wetu wakitakacho, na zaidi ikadaiwa kuwa mwanasiasa huiandika yeye mwenyewe habari ka moja kwa moja gazetini na kushawishi itolewe!
Sasa mpaka hapa picha sio la kihidi tena lisiloisha bali ni la kizungu na steringi kesha uawa!