Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,045
yaah,,atajibu kupitia twitter au FB muda si mrefu.
Zitto aliwahi kusema hivi
kwenye uzi https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/91628-zitto-anataka-kusaliti-chadema-33.htmlZitto
Nilisimama kabisa kuja hapa nikadhani itapunguza chuki za watu. Hata hivyo haikukoma.
Sasa kwa nini na zamu hii asirudi kujibu huku huku zinakopolomoshwa na kujadiliwa tuhuma juu yake?