kagumyamuheto
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 286
- 2
huyu mama vipi??? Au labda anachukua mfano wa yakobo aliyejitwalia baraka za esau mzaliwa wa kwanza na akabarikiwa!!
kama ndio ndivyo basi licha ya kuwa mwanamke hafai kuwa mchungaji, lakini kama ni kwa mfano huo basi hata wakristo wa leo wanamkubali yakobo mwana wa isaka na ameambatanishwa na kizazi cha yesu. Na ni kweli mungu alimbariki.
natoa hoja.
kama ndio ndivyo basi licha ya kuwa mwanamke hafai kuwa mchungaji, lakini kama ni kwa mfano huo basi hata wakristo wa leo wanamkubali yakobo mwana wa isaka na ameambatanishwa na kizazi cha yesu. Na ni kweli mungu alimbariki.
natoa hoja.