Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,476
- 4,250
Nahisi huyu mama ni mgonjwa. Hivi ni Dr. wa nini vile. Namshauri aendelee na miradi yake ya kukusanya sadaka.
Uchafu wake tunaujua sana....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi huyu mama ni mgonjwa. Hivi ni Dr. wa nini vile. Namshauri aendelee na miradi yake ya kukusanya sadaka.
Nilikuwa natazama Taarifa ya Habari ya Saa mbili ITV,, nikashangaa kusikia Walokole wa Mama Rwakatale wakisema Wanamshukuru Mungu kwa kuweza kutoa baraka zake kipindi chote cha uchaguzi kwa kufanikisha uchaguzi wa Huru na Wahaki,,
Mimi sina tatizo kwa kupitisha misa ya shukurani kwa Mungu kwani hakukuwa na riots na maandamano ya kijinga kwani uchaguzi umekwisha Salama lakini Hofu kubwa ipo kwenye Haki hapa..
Hivi nikweli hawa walokole wanajitambua kweli kabisa jamani
Nahisi hawajitambui na wala hawajui kuwa Tanzania ninini kinaendelea kuhusu uchaguzi huo
Hivi ni lini na wewe utakua na kuongea points, shame on you.Eti jamani, kwani si hata Dokta Slaa ni mchungaji?
Eti jamani, kwani si hata Dokta Slaa ni mchungaji?
Mchungaji Rwakatare amenakiliwa na gazeti la Uhuru linalomilikiwa na CCM akirejea kauli yenye utata ya kuwa JK ni chaguo la Mungu..........kauli hii ni tata ukizingatia upo ushahidi wa ya kuwa NEC haikufuata katiba ya JMT katika kumtangaza JK kuwa ni Raisi wetu..........Ibara ya Na. 41(5) inayoitaka NEC kufuata taratibu za sheria ya uchaguzi haikufuatwa.................................swali kwa kada wa CCM ambaye amejibanza kwenye viti maalumu ni je hivi Mungu anachagua watu ambao wanawadhulumu wapigakura haki yao ya kimsingi ya kuchagua viongozi wawatakao?
Kwa lugha nyingine, je Mwenyezi Mungu anaafiki dhuluma kwenye jamii............huyo ni Mungu wa wapi huyo? Na Mchungaji Rwakatare alikutana lini na Mungu kama siyo anajikomba kwa JK kwa kumkashifu Mwenyezi Mungu pale ambapo anapomwingizia maneno kinywani mwake ambayo hakuyasema.............
Ushauri wangu kwa Rwakatare..........mpe Kaisari yaliyo yake lakini hakikisha kwanza unampa Mwenyezi Mungu yaliyo yake na haya elezea ukweli kuwa ulijitungia..........
KULINGANA NA MAANDIKO MATAKATIFU MAMA RWAKATARE SIYO MCHUNGAJI . ANACHOFANYA MAMA RWAKATARE NI KUPINGANA NA NENO LA MUNGU. KWA HIYO ANACHOONGEA NI PUMBA TUPU. RAIS KIKWETE ATAKUWAJE CHAGUO LA MUNGU WAKTI AMEINGIA KWA KURA ZA WIZI? ASIDANGANYE WATU HAPA. PAMBAF KABISA! SINA HAKIKA KAMA ANA MUME.
BIBLIA INASEMA ,''SIMPI RUHUSA YA MWANAMKE KUFUNDISHA WALA KUMTAWALA MWANAMME............''.....MWANAMKE NA ANYAMAZE KATIKA KANISA..........''KAMA KUNA NENO NA AMWULIZE MME WAKE NYUMBANI MAANA NI AIBU KWA MWANAMKE KUNENA NDANI YA KANISA.....'' TUNASOMA BIBLIA TAKATIBU KUTOKA VITABU VYA 1 TIMOTHEO 2:11-14 NA 1 CORINTHIANS 14:34-38...
1 TIMOTHY 2:11-15
[11] Let the woman learn in silence with all subjection.
[12] But I suffer not a woman to teach, nor to usurp authority over the man, but to be in silence.
[13] For Adam was first formed, then Eve.
[14] And Adam was not deceived, but the woman being deceived was in the transgression.
[15] Notwithstanding she shall be saved in childbearing, if they continue in faith and charity and holiness with sobriety.
1 CORINTHIANS 14:34-37
[34] Let your women keep silence in the churches: for it is not permitted unto them to speak; but they are commanded to be under obedience, as also saith the law.
[35] And if they will learn any thing, let them ask their husbands at home: for it is a shame for women to speak in the church.
[36] What? came the word of God out from you? or came it unto you only?
[37] If any man think himself to be a prophet, or spiritual, let him acknowledge that the things that I write unto you are the commandments of the Lord.
Jamani tumuache mama wa watu ana haki ya kutoa shukrani kwa uteuzi wake, nadhani atakuwa kajichanganya kidogo si unajua ulimi hauna mfupa?
Aagh! Mama Lwakatare tena, we mama, give us a break plz! huyu si ndiyo yule aliwalipa pesa wale watoto wawili waliojifanya wameanguka pale kanisani kwake kutoka kwenye ungo eti walikuwa na bibi yao wanaenda kuwanga wakitokea Kilwa, uchunguzi baadae ukabaini kumbe ni watoto wa hapo mwananyamala na walikula dili na mama Lwakatare....sh****type! Huyu mama hana lolote wala msimshangae kumfagilia JK, nae ni walewale tu! anaishi kwa ujanja ujanja tu hapa mjini, anatumia advantage ya ujinga na kukata tamaa kwa waumini wake kuendeleza porojo na dhulma kwa mgongo wa INJILI, mie nasema siku Mungu akishuka halafu akaweka maovu yetu wazi, watu wengine sijui tutasimamia wapi! God have mercy on us!