Waoaji wa siku hizi mwe waangalifu kuliko kawaida kwa sababu licha ya kutoka familia za kishirikina, vibinti vingi siku hizi vinajishirikisha na vitendo vya kishirikina ili maisha yavinyookee.
mie nilidhani umemkamata live na kumbe ni kwao???? hizo hadithi za kizamani. by the way ni mfipa nini???
Unamtafutia dada wa watu sababu. Kama humpendi muambie tu. heading: mchumba wangu mchawi. Story: kwao wachawi
endelea kuchunguza kama ana hata ibi yake aliezaa na mume wa mtu ujue kwao wahuni, kama kakake ama binamu keshawahi kukwiba ujue kwao wezi.
we mfipa?
It might be....why askin?
nimeuliza sababu mtu kazungumzia ushirikina umetaja wafipa
typical stereo type
na kwa hiyo wa nigeria pia wote wachawi?
Vumilia tu mkuu, ukimmwaga wafa.Ndg wana Jf najitokeza leo,naombeni ushauri wenu,nimepata mchumba ambaye ni mzuri,mpole na tunaependana sana.LAKINI tatizo nina taarifa kutoka kwa wazee,kuwa kwao ni wachawi.NAOMBENI ushauri wenu,,najaribu kumwacha nashindwa maana nampenda,,nisaidieni
Ashakuloga ndio maana unampenda sana!!
\\hizi eti eti hizi,zinaharibu mapenzi ya watu mpaka basi!
huyo anayekwambia mchumba wako mchawi kwa sababu tu eti kijijini inasemekana hvo ana nafasi gani lkatika maisha yako!
thats ur life bana!wapo watu mama zao waganga wa kienyeji na hawajwahi kuchanjwa chale toka wazaliwe!wapo watu baba zao wachungaji lakini hawajui hata kabla ya mathayo kinaanza kitabu gani!
nimeuliza sababu mtu kazungumzia ushirikina umetaja wafipa
typical stereo type
na kwa hiyo wa nigeria pia wote wachawi?
Wazee wanatoa maelezo ambayo yananiumiza,,mfano wanasema babake aliuwawa na mama yake,mama yake mdogo hana mume nae wanasema aliuwawa,,bibi yake alishatishiwa kutimuliwa na wanakijiji
KWA NINAVYOMPENDA CHOZI LINANITOKA serious issue