Nimefikiri umemshika uchawi.hao wazee nao wachawi
Ndg wana Jf najitokeza leo,naombeni ushauri wenu,nimepata mchumba ambaye ni mzuri,mpole na tunaependana sana.LAKINI tatizo nina taarifa kutoka kwa wazee,kuwa kwao ni wachawi.NAOMBENI ushauri wenu,,najaribu kumwacha nashindwa maana nampenda,,nisaidieni
Ndg wana Jf najitokeza leo,naombeni ushauri wenu,nimepata mchumba ambaye ni mzuri,mpole na tunaependana sana.LAKINI tatizo nina taarifa kutoka kwa wazee,kuwa kwao ni wachawi.NAOMBENI ushauri wenu,,najaribu kumwacha nashindwa maana nampenda,,nisaidieni
Ndg wana Jf najitokeza leo,naombeni ushauri wenu,nimepata mchumba ambaye ni mzuri,mpole na tunaependana sana.LAKINI tatizo nina taarifa kutoka kwa wazee,kuwa kwao ni wachawi.NAOMBENI ushauri wenu,,najaribu kumwacha nashindwa maana nampenda,,nisaidieni
Fanya uchunguzi wa uhakika juu ya hilo. Amini nakuambia, uchawi upo, watu wanakufa kwakulogwa kwahiyo kuwa makini na hilo. Ukibaini na kujiridhisha nafsi yako kuwa hilo ni kweli huna haja ya kuwa na mapenzi ya kijinga na ya kipumbavu ya kuendelea kumpenda huyo mwanamke, wewe mmwage papohapo na utapata mwingine na utampenda tu. Hatuishi kwenye Dunia ya kinadharia bali ya vitendo, hayo yanatokea. Fanya maamuzi magumu sasa kuokoa maisha yako na ya watoto wako baaade kama Mungu atakujaalia hilo. Hata kama mwanamke yeye si mchawi, wazazi wake ni tishio kwa kizazi chenu, kama uniamini wewe endelea naye hali ukiamini kuwa ni mchawi. Amini nakuambia kama wazazi hao ni kweli wachawi, familia yako itasambaratika.
Ndg wana Jf najitokeza leo,naombeni ushauri wenu,nimepata mchumba ambaye ni mzuri,mpole na tunaependana sana.LAKINI tatizo nina taarifa kutoka kwa wazee,kuwa kwao ni wachawi.NAOMBENI ushauri wenu,,najaribu kumwacha nashindwa maana nampenda,,nisaidieni
ukiona mtu anayooshea vidole wenzake kuhusu uchawi, ujue kabisa huyo ndio mchawi
umecheki vizuri na wazee wako kama sio washirikina?
Ndg wana Jf najitokeza leo,naombeni ushauri wenu,nimepata mchumba ambaye ni mzuri,mpole na tunaependana sana.LAKINI tatizo nina taarifa kutoka kwa wazee,kuwa kwao ni wachawi.NAOMBENI ushauri wenu,,najaribu kumwacha nashindwa maana nampenda,,nisaidieni
si kweli mkuu mbona hii ni kawaida tu kujulikana ukiish jamii fulan mbona watu mnakuwa mnafahamu ile familia bibi yao ni mchawi wao ni wachawi,
inamaana toka uishi hujawahi sikia watu wanasema yule bibi mchawi au ile nyumba ni wachawi?
so kufaham wale ni wachawi sio mpaka mwingine awe ni mchawi unakuta ni ukweli uliopo kutokana na uchawi wa familia hiyo na kila mtu kujua hapo mtaani
huwa tunathibitishaje kwamba familia fulani ni wachawi?
That sums up everything..... Congratulations:deadhorse::deadhorse:unachukua test tube, ndani unaweka H2SO4 kidogo, unachukua na PKMNO4, unachanganya na kijiko kimoja cha ukwaju, maffi kidogo ya sisimizi, kwato ya mbu, unaweka kwenye Bunsen burner, hakikisha mchanganyiko uchemke kwenye -100C degree. bye
Keep on touch... Mapenzi ya kweli yana nguvu kushinda chochote duniani, afterall umesema kwao ndiyo wachawi...(siyo yeye)! Then jitahidi kumpenda Mungu!
Smile ni ukweli m2pu chakufanya na yeye ajifunze au afundishwe awe mchawa waendelee kuishi na Mpz wake mzuri anaye mpendandege wanaofanana huruka pamoja
hata hao wazee wako ni wachawi ndo maana wakajua na wa mwenzio wachawi
usikubali
Jitahidi na wewe uwe mchawi