Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 2,964
- 5,884
nisaidie hili wakili japo liko nje kidogo ya mada.Msiwe vichwa maji.
Nikisema kesi sio vita namaanisha mapambano hayawezi kufikia hatua ya kufanyiana ubaya. That is what I mean. Anayefanya ubaya anakuwa ametafsiri vibaya maana ya kesi ni vita/mapambano.
Sisi huku tunashindana kwa Sheria na Mantiki, sio mtutu wa bunduki.
Na kama ulikuwa hujui, Wanasheria tunahimizwa sana kumaliza kesi nje ya Mahakama, kuendelea na kesi iwe ni last resort. Ndio maana walipotuita hatukusita kwenda kuwaona. Ingawa wao walikuwa na nia ovu.
unawezaje kumtetea mtu aliyefanya uhalifu [tena akakueleza wazi kabisa uhalifu wake alioutenda] let say murder! (sio manslaughter). Mimi kwangu naona kama nashindwa!