Mchanganuo wa gharama ya Safari ya Rais Kikwete huko Brazil huu hapa

OOh gooosh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! sijui kwanini nimeharibu anniversary yangu kwa kuisoma hii.........

nahis kushinndwa ku ........................................
 
Na tuingoje asubuhi iliyo njema kwani kwa sasa tupo katikati ya usiku tukisubiri kuifikia 2015 AMBAYO yaweza kuwa njema kwetu.MWENYEZI MUNGU ATUSAIDIE TUCHAGUE KWA BUSARA na hawa MAGAMBA wasahau KUIBA KURA.Amen
 
Inabidi ifike wakati hawa maraisi watambue kuwa nchi hii ni maskini na wajifunze kubana matumizi; sioni umuhimu wa kuwa na waandishi wa habari watatu, mpiga picha! Mke hawezi kupiga pasi? Mpishi inaweza kuwa suala la kiusalama zaidi lakini kazi hiyo anaweza kufanya mtu wa usalama wa taifa kwa sanabu siddhani kama anapika huyu mtu zaidi ya kukagua maandalizi ya chakula! Na hizo padiem kubwa hivyo za kazi gani?...aaaaaaargh!
 
WAMA, shule ambayo ipo chini ya huyo mama Salma, imekwenda kutembeza bakuli kule USA, kuomba msaada wa vitabu, wakati wao wana beba mpaka mnyosha nguo za mume wake kazi ambayo yeye angeweza kuifanya kama angebeba pasi, sababu hana kazi yoyote ya maana katika hiyo ziara, kisha hizo fedha wangenunua hivyo vitabu kuepusha aibu ya omba omba. Hawaja ona Obama na mke wake wanafanya shopingi ya vyakula, pengine hao wana mtu a watu wanawalipa kufanya kazi hiyo hiyo.
 
Sasa kitanda kimoja kinapata posho mara mbili, tena za kiwango cha juu, imefika muda hilo nalo liangaliwe, mtu au kiongozi akisafiri na mke wake swala la posho litaangaliwa vipi?
 
Mimi ninavyo jua hapo kwenye posho pia kuna kuwa na fedha ya malazi, inamaana mheshiwa rais na mke wake watalala chumba tofauti, na kama kimoja vipi kuhusu riceipt ya kurejesha malipo, huo nao ni ufisadi ulio jificha
 
Wana JF na wananchi wote, rais wetu akirudi tumwambie tufanye majaribio kwa mwaka mzima ya kumzuia rais wetu asisafiri kabisa akae pale magogoni achape kazi ya urais, kisha tufanye tathmini endapo Tanzania itapata madhara au faida gani kwa kutosafiri kwake nje au hata kwenda mikoani...tumpe kifungo cha ndani endapo hajazoea kutotoka Dar. Maana hata kama Salma naye analipwa kiasi sawa na rais wetu basi hili taifa kama alivosema mheshimiwa Zambi ni shamba la bibi... kila mtu anavuna anavyotaka.

Kuna sababu gani ya watu wote hawa kwenda huko alikoenda...vitu vingine vinaudhi sana.... na kwa mtizamo wangu hakuna uchochezi mbaya kama huu unaofanywa na viongozi wetu walio madarakani...kila kukicha utasikia matumizi makubwa na ufisadi kila kona ya tanzania yetu hii maanake nini...Anyway Ukombozi wa kweli hauko mbali...ukiona hivi ujue lile shina la uharibifu li karibu kukatwa na ole wao wasababishao uharibufu huu
 
huu ni ubadhilifu wa mali ya watanzania.nn umuhim wa ziara hii? je ni maxio maximo afundishe taifa stars? Au utalii? Huyu nae aungane na wm,mawazri wajiuzulu,eee mungu epushia mbali mafisadi, amina
 
Hatupingi raisi kwenda nje tatizo huyu wa kwetu JK hata jambo lisilokuwa la lazima kwenda yeye huwa anaenda.Huyo ni raisi tu bado makamu wake,kuna waziri mkuu/mawaziri ktk wizara mbalimbali/makatibu wakuu/wakuu wa majeshi yote,,,,,,
 
naomba kama kuna waandishi wa magazeti jf..nikimaanisha wenye akili nasiyo vibonde kama kibonde waipaishe kesho asubuhi nakuwafikia wale wapigakurq wakule kijijini wanaopata taharifa kwa kutumia radio...
plz naombaaaaaaa...
huniufisadi mkubwa kimatumizi...
 
Kikwete Appoints Mulamula Senior Diplomatic Adviser

15 March 2012

RESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Ambassador
Liberata Mulamula to be his Senior Adviser in Diplomatic Affairs. A statement issued by Chief Secretary Ombeni Sefue in Dar es Salaam on Wednesday said Ambassador Mulamula's appointment takes effect from February 28th this year. Mulamula, the former Executive Secretary of the International Conference on Great Lakes Region (ICGLR), returned home recently after almost six years of distinguished services that had spurred the region to peace.

Late last month she visited Tanzania Standard Newspapers Ltd (TSN) offices where she said lack of good leadership and failure to push for development agenda were the major sources of conflicts and instability in the Great Lakes Region (GLR)."All that has happened (conflicts and poverty) in the region is down to lack of good governance and poor management of natural resources," she said. Mulamula joined ICGLR as the First Executive Secretary of the institution in December 2006.

Before her appointment Ambassador
Mulamula served as the National Co-ordinator of the United Republic of Tanzania for the ICGLR.A career diplomat, she joined the Tanzania Ministry of Foreign Affairs in 1981 and served in the Permanent Mission to the United Nations in different capacities from 1985-1992 and 2002-2003, and in the Tanzania High Commission to Canada, from 1999-2002.

From 2003-2006 she was Director of Multilateral Cooperation in the Department of the Tanzania Ministry of Foreign Affairs. From 1992-1994, Ambassador Mulamula participated in the Rwandese Peace talks in Arusha, Tanzania, as part of the facilitators team. Ambassador Mulamula holds a Master of Arts (St. John's University, USA, 1989), Diploma International Law (1989), Bachelor of Arts (Hons) and a Post-Graduate Diploma in International Relations (1983).

aise asante kwa hii informationa maana kdg na mi niulize,
 
Back
Top Bottom