Hapo tumeapproximate siku kumi tu Mkuu!
Nilitarajia kukuta Cost-Benefit Analysis.......!!!
Hapo tumeapproximate siku kumi tu Mkuu!
Source?
Mpiga pasi, mpishi ok sawa. sasa Salma {wife} kazi yake nini hasa
JK kakaa nje kama siku 5 hivi, iweje walipane siku kumi???sio WIZI huo??? Air ticket ya nini wakati hawa ni convoy na ticket zishalipiwa na wizara???Outfit allowance watumish wengine ni laki 300,000 hawa iweje iwe $ 1,323??? Je mpishi hawezi kupiga pasi??? Mwandish wa habari wa Rais kwann asiwe mpiga picha???Kweli kwa viongoz hawa majuha hatutafika.Hapo tumeapproximate siku kumi tu Mkuu!
kwa jinsi kikwete anyopenda kusafiri huyo mpiga pasi na mpishi wamelamba bingo, hayo marupurupu hata doctor or engineer hakamati hapo
Wanabodi,
Ufuatao ni mchanganuo wa gharama ya safari ya Rais Kikwete huko Brazil. Gharama za posho vimezingatia viwango vya posho kama zinavyoelekeza kwenye waraka wa serikali wa Malipo ya posho Safari kwa Viongozi na Watendaji wa Serikali. Katika mchanganuo huu imekadiriwa gharama ya tiketi ya ndege kwenda na kurudi Brazil ni US$ 590.
MCHANGANUO WA GHARAMA ZA SAFARI YA RAIS KIKWETE HUKO BRAZIL No NAME DAYS PERDIEM RATE ON TRANSIT TOTAL PERDIEM OUTFIT ALLOWANCE AIR TICKET TOTAL (a) (b) (c ) (d) (e) (f) (d) + (e) + (f) 1/2 x (b) (a) x (b) + (c ) 30 % X (d) US$ US$ US$ US$ US$ US$ 1 Afisa Usalama wa Taifa 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 2 Aloyce Masanja 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 3 Anna Nkinda 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 4 Body guard 1 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 5 Body guard 2 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 6 Daktari wa Rais 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 7 Gerson Msigwa 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 8 Jakaya Mrisho Kikwete 10 520 260 5,460.00 1,638.00 590.00 7,688.00 9 Katibu / Msaidizi wa First Lady 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 10 Katibu / Msaidizi wa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 11 Katibu / Msaidizi wa Rais 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 12 Katibu / Msaidizi wa Waziri wa Zanzibar 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 13 Mpiga Pasi 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 14 Mpiga picha 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 15 Mpishi 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 16 Mulamula 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 17 Mwandishi wa Habari wa Rais 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 18 Mwandishi wa Hotuba wa Rais 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 19 Naibu Waziri Mambo ya Nje 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 20 Protocal Officer 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 21 Salma Kikwete 10 520 260 5,460.00 1,638.00 590.00 7,688.00 22 Susan Mlawi 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 23 Waziri wa Zanzibar 10 420 210 4,410.00 1,323.00 590.00 6,323.00 TOTAL IN US$ 148,159.00 Exchange rate (TZS/US$) 1,700.00 TOTAL IN TZS 251,870,300.00
JK kakaa nje kama siku 5 hivi, iweje walipane siku kumi???sio WIZI huo??? Air ticket ya nini wakati hawa ni convoy na ticket zishalipiwa na wizara???Outfit allowance watumish wengine ni laki 300,000 hawa iweje iwe $ 1,323??? Je mpishi hawezi kupiga pasi??? Mwandish wa habari wa Rais kwann asiwe mpiga picha???Kweli kwa viongoz hawa majuha hatutafika.
JK kakaa nje kama siku 5 hivi, iweje walipane siku kumi???sio WIZI huo??? Air ticket ya nini wakati hawa ni convoy na ticket zishalipiwa na wizara???Outfit allowance watumish wengine ni laki 300,000 hawa iweje iwe $ 1,323??? Je mpishi hawezi kupiga pasi??? Mwandish wa habari wa Rais kwann asiwe mpiga picha???Kweli kwa viongoz hawa majuha hatutafika.
JK kakaa nje kama siku 5 hivi, iweje walipane siku kumi???sio WIZI huo??? Air ticket ya nini wakati hawa ni convoy na ticket zishalipiwa na wizara???Outfit allowance watumish wengine ni laki 300,000 hawa iweje iwe $ 1,323??? Je mpishi hawezi kupiga pasi??? Mwandish wa habari wa Rais kwann asiwe mpiga picha???Kweli kwa viongoz hawa majuha hatutafika.
Japo ume overstate exchange rate, and if all are true kuhusu huo wraka thats too much. Halafu huko anaenda kupiga stori na maximo na kukagua kilimo cha nyanya.