Mchanganuo wa gharama ya Safari ya Rais Kikwete huko Brazil huu hapa

.
Wewe ndio unakuwa narrow-minded! - mtoa habari amesema ameleta "mchanganuo wa Gharama" za posho ambayo imezingatia viwango vya posho kama zinavyoelekeza kwenye waraka wa serikali wa Malipo ya posho Safari kwa Viongozi na Watendaji wa Serikali.

Hata bila source si unapima habari yake kama ina mashiko au haina - kwa kutumia common sense!

Sasa yeye kaleta na majina ya walio kwenye msafara - kwani wewe hao waliokuwa kwenye huo msafara hujawajua kutoka vyanzo vingine vya habari?! ... na kwa taarifa yako hizi ni minimum calculations!

Haya sasa wewe tuletee list yako ya walioenda kutalii huko Brazili + fuata waraka wa posho unasemaje - kokotoa alafu utupe jibu! kama jumla yake haijaja mara mbili ya hii!

Kwanza kwenye hii list wengine hawapo! ... halafu kama hujaridhika na habari si unaruka tu unakwenda kwenye habari zenye source!

Sasa nyie kila siku mnasema source! .. source! kila siku! ... hiyo source (sauce) unataka kulia na chakula gani?

.

Thanks for the explanation.
 
:llama:
naomba kazi ya malumalu,,,,,ila,,,muache wivu mbona sion wa kumpunguza hapo,,,,yet,,wewe unayesoma hapa kweli moyon mwako hutaman mapato haya,,,,,,,sema kweli mungu anaujua moyo wako,,,,,sasa unaguna nini,,,,,,yakitolewa matangazo ya kazi hizo,,,usaili pale uwanja wa soka patatosha,,,,,,hata shart iwe umesilim mashekh siwatakua bze kusilimisha watu,,,,,cheza na bongo wewe,,,,,,,acha wale,,kwani wakiondoka madarakan wataibomoa kisutu,,,,cheza na nguvu ya umma wewe,,,,tz bwana,..........natangaza nia same magharibi,,,,,hariiiiika,,nresari....tuvamwe,,,,,,:peace:
 
So what?

Mbona hizo ni gharama za siku moja tu watu wengine?

Kama unaona donge na wewe kuwa Rais.
 
Siku hizi JF imekuwa hutaki unaacha. Unasoma kitu halafu unaachana nacho. Ikiwa kweli sawa, ikiwa siyo kweli vilevile poa tu. Habari ya mawaziri kujiuzulu tumeisoma usiku kucha lakini imepita kimyakimya. Tushazoea, kila mtu anabandika anachojisikia kubandika ubaoni.
 
'Mpiga pasi'???? aseeeeeeeeeeeeee!! Kweli this is social stratification lol..

If we wont raise the roof, we are wretched of the earth!!
 
Hana cha kupoteza huyo, na haya anafanya maksudi maana anajua hatuwezi kumfanya kitu! Kisrani cha mwenye kichwa cha nazi. Wa-TZ tungekuwa na uwezo tungemtoa kwa maandamano ili na sisi tumkomoe! Nani atuhamasishe tuingie mitaani?
 
Duh! Mbona hizo posho haziachani sana kuanzia rais, 1st lady, waziri mpaka mpiga pasi wanazidiana dola 1000 mpaka 1500 hivi. Sasa mbona haileti maana. Huu ni ujinga.
 
Wabongo kwa wivu siwawezi,
Jana tuu tumeambiwa bungeni matumizi ya serikali ni mara mbili ya mapato yake.
Lakini bado zinapoletwa hoja kama hizi unasema ni wivu.
Unless matumizi yako ni mara mbili ya mapato yako, utakuwa unaumwa.

Hebu niambie nani unataka atoke kwenye hiyo list?
Hilo nalo unahitaji kuambiwa? Kama unahitaji jibu juu ya hili, you must be one of the most useless person whenever you are.
 
Huu mfumo haufai kabisa hizo posho zipunguzwe na kuwepo na gap kubwa kuanzia kwa rais mpaka mpiga pasi.
 
Wewe unashanga hizo, chadema mpaka yaya wa mwanamke wake slaa analipwa posho. Mpaka walinzi wa kanisa lake wanalipwa mshahara unaotokana na kodi zetu. Si bora hao wako kazini.
 
mmmh.....mulamula shughuli yake ni nini....?

Kikwete Appoints Mulamula Senior Diplomatic Adviser

15 March 2012

RESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Ambassador
Liberata Mulamula to be his Senior Adviser in Diplomatic Affairs. A statement issued by Chief Secretary Ombeni Sefue in Dar es Salaam on Wednesday said Ambassador Mulamula's appointment takes effect from February 28th this year. Mulamula, the former Executive Secretary of the International Conference on Great Lakes Region (ICGLR), returned home recently after almost six years of distinguished services that had spurred the region to peace.

Late last month she visited Tanzania Standard Newspapers Ltd (TSN) offices where she said lack of good leadership and failure to push for development agenda were the major sources of conflicts and instability in the Great Lakes Region (GLR)."All that has happened (conflicts and poverty) in the region is down to lack of good governance and poor management of natural resources," she said. Mulamula joined ICGLR as the First Executive Secretary of the institution in December 2006.

Before her appointment Ambassador
Mulamula served as the National Co-ordinator of the United Republic of Tanzania for the ICGLR.A career diplomat, she joined the Tanzania Ministry of Foreign Affairs in 1981 and served in the Permanent Mission to the United Nations in different capacities from 1985-1992 and 2002-2003, and in the Tanzania High Commission to Canada, from 1999-2002.

From 2003-2006 she was Director of Multilateral Cooperation in the Department of the Tanzania Ministry of Foreign Affairs. From 1992-1994, Ambassador Mulamula participated in the Rwandese Peace talks in Arusha, Tanzania, as part of the facilitators team. Ambassador Mulamula holds a Master of Arts (St. John's University, USA, 1989), Diploma International Law (1989), Bachelor of Arts (Hons) and a Post-Graduate Diploma in International Relations (1983).
 
Ngoja kwanza nitarejea baadae ngoja nikasafishe macho kwanza nahisi kama hayaoni vizuri haya maandishi??
Mweeee mwee mwee ama upofu unaninyemelea??



Kumbe siyo Mi mwenyewe!

Mi imebidi niingie bafuni kwanza kwn nilihisi nimekosea kusoma!

Duh!
 
Back
Top Bottom