Elections 2010 Mbunge wa Sumbawanga mjini akiwa chini ya ulinzi baada ya kuvamia ofisi za CHADEMA Igunga


Chonde chonde baba muulizeni kwanza ni wadini gani maana....!

Huyo ni muislamu mfu anayekula kitimoto kwa kwenda mbele, nilichangia jana kwa kina kuwa namfahamu tangu primary, alifukuzwa shule kaniacha, kesi ya kupinga matokeo yake iliunguruma jana hapa Sumbawanga, chakusikitisha baba yake mzazi yuko hoi na Kisukari kinammaliza, yeye anafanya ujinga ujinga tu huko! Pumbafu zake.Walitakiwa wamhasi, jeuri itaisha ili amkose hata huyo Easta Bulaya!
 
Kwa nn Dr. Slaa amekubali kuongea na hao vicheche? Hawana lolote hao, njaa tu!
 
Tukio lenyewe liko hivi - Ni kwamba Bashe aliomba kuja kuongea na Viongozi wa CDM kuhusu hali ya hatari iliyopo hapa Igunga. Akaja na Beno Malisa. Wakati mazungumzo yanaendelea ndipo ghafla akaingia mbunge Aeishi bila kualikwa. Vijana walipomwona adui namba moja aliyewarushia risasi majuzi tu wakaamua kumweka chini ya ulinzi. Kama sio Dr Slaa kuwa karibu sijui wangemwokotea wapi leo.

Huyo ilitakiwa agombaniwe na kuchezea kichapo arudi Swanga akakandwe na mkewe
 
Jamani hii hatari sasa ina maana watu wanataka kutoana macho kwa sababu ya uchaguzi mmbunge wa sumbawanga anafanya nini Igunga. Its one thing to campaign for votes but its another thing to attack each others because of winning votes. Inashangaza sana kuona the amount of political big-wigs waliojaa huko in the name of election. Something is not right in our politics.

mdau safar zina posho hizo,,,,,si wanalipwa na chama?????nani atakaekwenda bila posho????
 
Huyo ni muislamu mfu anayekula kitimoto kwa kwenda mbele, nilichangia jana kwa kina kuwa namfahamu tangu primary, alifukuzwa shule kaniacha, kesi ya kupinga matokeo yake iliunguruma jana hapa Sumbawanga, chakusikitisha baba yake mzazi yuko hoi na Kisukari kinammaliza, yeye anafanya ujinga ujinga tu huko! Pumbafu zake.Walitakiwa wamhasi, jeuri itaisha ili amkose hata huyo Easta Bulaya!

mkuu hapo sijaelewa kitu,

hata mimi naunga mkono hoja wamshike kalio.
 

Mi hilo kombati la CCM limeniacha hoi. Hawa jamaa wamefiliska hadi kiakili sio fikra pekee. Waliyaponda Makombati ya Chadema sasa wametengeza ya kwao. Waliziponda helkopta za Chadema sasa wao wamekuja na mbili. Waliziponda stori za Ufisadi sasa wanavuana magamba.

Hawa jamaa hawana jipya kwani ni kukopi na kupesti kutoka Chadema. Muda umefika waondoke ili Chadema wachape (Wa-type) wenyewe badala ya kutype halafu CCM wanasubiri kukopi na kupest
 
Bora huyu Jamaa Wa Chadema angemn'oa hiyo reception,ccm kitu gani kazi kupandikiza mbegu mbaya ya udini tu huku utaifa wetu ukiangamia.
 
hii imetokea lini na polisi wamefanya nini?
wasi wasi wangu asije sema alitekwa na kupelekwa huko sio yeye aliye vamia

Hapa tunguli zimekwama kufanya kazi. Halafu tunaokumbuka sawasawa huyu jamaa aliponea tundu la sindano kugaragazwa na mgombea wa CDM wakati wa uchaguzi mkuu mpaka akaita msaada wakachakachua akapita. Hapa anataka kulipa waliomweka madarakani fadhila ila inaweza kula kwake
 
Tukio lenyewe liko hivi - Ni kwamba Bashe aliomba kuja kuongea na Viongozi wa CDM kuhusu hali ya hatari iliyopo hapa Igunga. Akaja na Beno Malisa. Wakati mazungumzo yanaendelea ndipo ghafla akaingia mbunge Aeishi bila kualikwa. Vijana walipomwona adui namba moja aliyewarushia risasi majuzi tu wakaamua kumweka chini ya ulinzi. Kama sio Dr Slaa kuwa karibu sijui wangemwokotea wapi leo.

Sijaona mantiki ya viongozi wa chadema kupoteza muda wao kuzungumza na hao wanamagamba.

Kwani bashe na beno wamekuwa igp mwema na dci manumba hadi wakaongelee hali ya usalama wa igunga?

Juzi tumesikia yule kamanda ambaye hajawahi kusifiwa na mtu yeyote zaidi ya bosi wake pamoja na kutumikia jeshi la polisi kwa miaka 40 kwamba wamejipanga vizuri kuimarisha ulinzi wilayani igunga, sasa kwanini asiende yeye kuongea na viongozi wa chadema kama kweli hali ya usalama igunga ni ya hatari?

Hawa magamba lazima watakuwa wanatafuta namna ya kutengeneza tukio la dakika za lala salama, si bure hawa watu.
 
Tukio lenyewe liko hivi - Ni kwamba Bashe aliomba kuja kuongea na Viongozi wa CDM kuhusu hali ya hatari iliyopo hapa Igunga. Akaja na Beno Malisa. Wakati mazungumzo yanaendelea ndipo ghafla akaingia mbunge Aeishi bila kualikwa. Vijana walipomwona adui namba moja aliyewarushia risasi majuzi tu wakaamua kumweka chini ya ulinzi. Kama sio Dr Slaa kuwa karibu sijui wangemwokotea wapi leo.
Inaonekana huyo mh Aeishi ana kiherehere sana,mtu hajaalikwa anakwenda kufanya nini?
 
Back
Top Bottom