CCM Mkoa wa Rukwa mmeshindwa kutetea Wananchi wenu subirini hasira zao Oktoba 2024/25

Bila bila

JF-Expert Member
Dec 20, 2016
21,496
37,789
Niko Rukwa kwa kazi zangu za uandishi wa habari za mazingira siku 5 Sasa. Hapa naongea toka kijiji cha Kabwe wilaya ya Nkasi.

Hapa Niko Jimbo la Nkasi kaskazini Kwa Mbunge pekee wa kuchaguliwa wa Chama cha demokrasia na maendeleo mh. AIDA KENANI. Nina Jambo nimelishudia Sumbawanga mjini juzi jumatatu acha niliweke hapa.

Kwanza nitoa mfano wa mkoa wa Mbeya unavyoendesha Mambo yake. Mbeya Jiji ina stendi 2 na zote zinafanya kazi, yaani stendi ya zamani ya mjini Kati na Nanenane.

Mbeya ni jiji kubwa na pilika zake ni mara 3 au zaidi Kwa Sumbawanga. Hali hiyo ya stendi mbili imewarahisishia Wananchi kuingia na kutoka Mbeya bila bughudha wala kutumia gharama kubwa.

Lakini Sumbawanga mji mdogo viongozi wa serikali wameona Hilo haliwezekani wamefunga stendi ya mjini Kati hata Kwa mabasi yanayofanya safari ndani ya wilaya ya Sumbawanga na ndani ya mkoa na yote wanataka yaanzie safari Stendi mpya ya Katumba km 14 toka mjini.

Hebu fikiria akili za hawa watendaji. Mwananchi mgonjwa aliyepeapa rufaa kwenda hospitali ya mkoa atoke Matai Makao makuu ya wilaya ya Kalambo km 36 toka Sumbawanga aipite hospitali maana hairuhusiwi kushusha abiria stendi za daladala, aende Katumba km 14, kisha apande bajaj alipe 3000/- arudi tena km 14 kufuata hospitali mjini akimaliza kutibiwa achukue bajaj aende Katumba km 14 apande basi la kwenda Matai apite hapohapo alipokuwa anatibiwa ndo aende Matai. Huu ni uhuni na kusumbua Wananchi. Ni kuwapa gharama na mateso yasiyo na sababu.

Mwaka jana alipokuja Waziri Mkuu Majaliwa alielezwa Jambo hili na Diwani wa CCM na akaamuru stendi zote mbili zitumike kama ilivyo Mbeya, alipoondoka baada ya mwezi wakafunga stendi CCM wakamwambia Waziri ikafunguliwa, alipokuja KM Chongolo akaelezwa akasema Chama kimetoa amri Wananchi wasisumbuliwe.

Ameondolewa Chongolo madarakani miezi michache tu wamefunga stendi ya mjini na safari hii CCM wamekaa kimya naambiwa wananchi wanataka kupeleka Kadi ofisi ya CCM mkoa.

Hivi kama chama mnajinasibu kila siku nyie ndo Wenye serikali maana yake nini kama mkurugenzi mmoja anaweza kuwatetemesha kiasi hiki na mkaufyata? Au na nyie mmeungana naye kutesa wapiga Kura wenu?

Nadhani hamjasahau taabu mliyopata Nkasi kaskazini 2020 Wananchi walipomkataa mgombea wenu na wakalinda Kura wakiwa na chupa zenye petrol tayari kuchoma jengo la mkurugenzi akithubutu kupindua matokeo. Mmesahau Polisi walivyosaidia kupiga mabomu zaidi ya 100 na bado Wananchi hawakuondoka hadi matokeo halali yalipotangazwa?

Wafipa ni wapole, lakini wakikasirika hamuwezi kuwarudisha.

Chelleeni Mwana kulia Oktoba mtalia ninyi.
 
Mkuu upo sahihi 100% Rukwa miji yake imekuwa na kasumba hiyo si tu stendi bali pia minada yote muhimu huwekwa nje ya mji kama Namanyere Nkasi pia ilikuwa hivyo ktk stendi lkn ilikuwa hivyo ktk Mnada na hospitali kwa utafiti usio rasmi lengo ni kupanua na kukuza mji njia hii imekuwa ndio chaguo lao la kwanza lkn wananchi wanateseka sana kuzifikia huduma hizo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Niko Rukwa kwa kazi zangu za uandishi wa habari za mazingira siku 5 Sasa. Hapa naongea toka kijiji cha Kabwe wilaya ya Nkasi.

Hapa Niko Jimbo la Nkasi kaskazini Kwa Mbunge pekee wa kuchaguliwa wa Chama cha demokrasia na maendeleo mh.
Usistutishe kabisa. Hata ukipigia kura upinzani tutatangaza ccm ndo washindi kama kipindi kile Cha jpm. Nyie timizeni wajibu wa kupiga kura ila sisi ndo waamizi wa kumtangaza mshindi
 
Mkuu upo sahihi 100% Rukwa miji yake imekuwa na kasumba hiyo si tu stendi bali pia minada yote muhimu huwekwa nje ya mji kama Namanyere Nkasi pia ilikuwa hivyo ktk stendi lkn ilikuwa hivyo ktk Mnada na hospitali kwa utafiti usio rasmi lengo ni kupanua na kukuza mji njia hii imekuwa ndio chaguo lao la kwanza lkn wananchi wanateseka sana kuzifikia huduma hizo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mji haukuzwi Kwa kutesa watu. Mtu atoke mjini aende km14 bila kazi harafu achukue usafiri mwingine kurudi mjini? Kutoka Matai Hadi Sumbawanga ni sh.2000/-, kutoka Katumba Hadi mjini Kati Kwa bajaj ni 2500-3000. Huu ujinga wa Karne na mateso yasiyo ya lazima Kwa Wananchi.
 
Niko Rukwa kwa kazi zangu za uandishi wa habari za mazingira siku 5 Sasa. Hapa naongea toka kijiji cha Kabwe wilaya ya Nkasi.

Hapa Niko Jimbo la Nkasi kaskazini Kwa Mbunge pekee wa kuchaguliwa wa Chama cha demokrasia na maendeleo mh. AID
mpaka kufikia August mwaka huu wa uchaguzi serikali za mitaa, changamoto hiyo na nyingine ambazo umesahau kuzielezea zitakua zimetatuliwa 🐒

hapata kua na mtanzania wa kulialia baada ya uchaguzi wa baadae 2024 au uchaguzi mkuu 2025.

Ile ya muhimu zaidi ni kujitokeza kwa wingi sana kupiga kura. Kwani uchaguzi huo utakua wa amani sana, huru, wazi na wa haki mno, kuliko chaguzi zote zilizowahi kufanyika Tanzania 🐒

Jambo la kuzingatia,
Ukipiga kura kwendra nyumbani kusubiri matokeo kupitia vyombo vya habari.

Kumbuka yeyote atakae shinda ni Tanzania imeshinda, hapana kulia.🐒

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
 
Niko Rukwa kwa kazi zangu za uandishi wa habari za mazingira siku 5 Sasa. Hapa naongea toka kijiji cha Kabwe wilaya ya Nkasi.

Hapa Niko Jimbo la Nkasi kaskazini Kwa Mbunge pekee wa kuchaguliwa wa Chama cha demokrasia na maendeleo mh.

Chelleeni Mwana kulia Oktoba mtalia ninyi.
Hilo si tatizo kwa mtanzania na wala usihangaike kumtetea kwani akili yake imeganda.
 
Hebu fikiria akili za hawa watendaji. Mwananchi mgonjwa aliyepeapa rufaa kwenda hospitali ya mkoa atoke Matai Makao makuu ya wilaya ya Kalambo km 36 toka Sumbawanga aipite hospitali maana hairuhusiwi kushusha abiria stendi za daladala, aende Katumba km 14, kisha apande bajaj alipe 3000/- arudi tena km 14 kufuata hospitali mjini akimaliza kutibiwa achukue bajaj aende Katumba km 14 apande basi la kwenda Matai apite hapohapo alipokuwa anatibiwa ndo aende Matai. Huu ni uhuni na kusumbua Wananchi. Ni kuwapa gharama na mateso yasiyo na sababu.
Huu ujinga upo Songea, Njombe, Iringa na Dodoma ila yote haya ni kwasababu ya kuneemesha bajaj za wakubwa kwenye hizo halimashauri
 
Niko Rukwa kwa kazi zangu za uandishi wa habari za mazingira siku 5 Sasa. Hapa naongea toka kijiji cha Kabwe wilaya ya Nkasi.

Hapa Niko Jimbo la Nkasi kaskazini Kwa Mbunge pekee wa kuchaguliwa wa Chama cha demokrasia na maendeleo mh. AIDA KENANI. Nina Jambo nimelishudia Sumbawanga mjini juzi jumatatu acha niliweke hapa.

Kwanza nitoa mfano wa mkoa wa Mbeya unavyoendesha Mambo yake. Mbeya Jiji ina stendi 2 na zote zinafanya kazi, yaani stendi ya zamani ya mjini Kati na Nanenane.

Mbeya ni jiji kubwa na pilika zake ni mara 3 au zaidi Kwa Sumbawanga. Hali hiyo ya stendi mbili imewarahisishia Wananchi kuingia na kutoka Mbeya bila bughudha wala kutumia gharama kubwa.

Lakini Sumbawanga mji mdogo viongozi wa serikali wameona Hilo haliwezekani wamefunga stendi ya mjini Kati hata Kwa mabasi yanayofanya safari ndani ya wilaya ya Sumbawanga na ndani ya mkoa na yote wanataka yaanzie safari Stendi mpya ya Katumba km 14 toka mjini.

Hebu fikiria akili za hawa watendaji. Mwananchi mgonjwa aliyepeapa rufaa kwenda hospitali ya mkoa atoke Matai Makao makuu ya wilaya ya Kalambo km 36 toka Sumbawanga aipite hospitali maana hairuhusiwi kushusha abiria stendi za daladala, aende Katumba km 14, kisha apande bajaj alipe 3000/- arudi tena km 14 kufuata hospitali mjini akimaliza kutibiwa achukue bajaj aende Katumba km 14 apande basi la kwenda Matai apite hapohapo alipokuwa anatibiwa ndo aende Matai. Huu ni uhuni na kusumbua Wananchi. Ni kuwapa gharama na mateso yasiyo na sababu.

Mwaka jana alipokuja Waziri Mkuu Majaliwa alielezwa Jambo hili na Diwani wa CCM na akaamuru stendi zote mbili zitumike kama ilivyo Mbeya, alipoondoka baada ya mwezi wakafunga stendi CCM wakamwambia Waziri ikafunguliwa, alipokuja KM Chongolo akaelezwa akasema Chama kimetoa amri Wananchi wasisumbuliwe.

Ameondolewa Chongolo madarakani miezi michache tu wamefunga stendi ya mjini na safari hii CCM wamekaa kimya naambiwa wananchi wanataka kupeleka Kadi ofisi ya CCM mkoa.

Hivi kama chama mnajinasibu kila siku nyie ndo Wenye serikali maana yake nini kama mkurugenzi mmoja anaweza kuwatetemesha kiasi hiki na mkaufyata? Au na nyie mmeungana naye kutesa wapiga Kura wenu?

Nadhani hamjasahau taabu mliyopata Nkasi kaskazini 2020 Wananchi walipomkataa mgombea wenu na wakalinda Kura wakiwa na chupa zenye petrol tayari kuchoma jengo la mkurugenzi akithubutu kupindua matokeo. Mmesahau Polisi walivyosaidia kupiga mabomu zaidi ya 100 na bado Wananchi hawakuondoka hadi matokeo halali yalipotangazwa?

Wafipa ni wapole, lakini wakikasirika hamuwezi kuwarudisha.

Chelleeni Mwana kulia Oktoba mtalia ninyi.
Eti wewe naye ni Mwandishi wa Habari, umejaa mihemko na Hasira huna hata hoja. Kwa hisia zako unapaswa uwe fundi baiskeli tuu.
Wenye akili zako Walipinga Iringa, wakapinga Mbezi nk nk leo kadri Muda unavyoenda mnaopinga kuweka Stendi nje ya Mji mnaonekana watu msio na Exposure na wenye akili fupi.
Mwalala uri Mkuu, Ya Sumbawanga tuachie Wafipa
 
Trash
Eti wewe naye ni Mwandishi wa Habari, umejaa mihemko na Hasira huna hata hoja. Kwa hisia zako unapaswa uwe fundi baiskeli tuu.
Wenye akili zako Walipinga Iringa, wakapinga Mbezi nk nk leo kadri Muda unavyoenda mnaopinga kuweka Stendi nje ya Mji mnaonekana watu msio na Exposure na wenye akili fupi.
Mwalala uri Mkuu, Ya Sumbawanga tuachie Wafipa
🤯🤧trash 🚮🚮
 
Mkoa mzima wa Rukwa,sehemu ambazo CCM imekataliwa kwa kila jambo ni Kirando Republic na Kabwe.Sehemu zingine zote ni nyumbu,hasa hapo Swax.

Mbona gari zinazo toka Kirando Republic,huwa zinashusha abiria na kupakia pale stendi ya zamani na abiria wengine hupandia pale kwa Kanyau kuja kirando Republic na kwenda Karungu na Ninde.

NB: Environmental journalism ni kitu nyeti sana,wale wahitimu wa shahada ya kwanza ya uandishi,hasa kwenye print media huwa wanasoma hiyo course na kufanya shughuli mbalimbali za kuweka mazingira Sawa.
 
Niko Rukwa kwa kazi zangu za uandishi wa habari za mazingira siku 5 Sasa. Hapa naongea toka kijiji cha Kabwe wilaya ya Nkasi.

Hapa Niko Jimbo la Nkasi kaskazini Kwa Mbunge pekee wa kuchaguliwa wa Chama cha demokrasia na maendeleo mh. AIDA KENANI. Nina Jambo nimelishudia Sumbawanga mjini juzi jumatatu acha niliweke hapa.

Kwanza nitoa mfano wa mkoa wa Mbeya unavyoendesha Mambo yake. Mbeya Jiji ina stendi 2 na zote zinafanya kazi, yaani stendi ya zamani ya mjini Kati na Nanenane.

Mbeya ni jiji kubwa na pilika zake ni mara 3 au zaidi Kwa Sumbawanga. Hali hiyo ya stendi mbili imewarahisishia Wananchi kuingia na kutoka Mbeya bila bughudha wala kutumia gharama kubwa.

Lakini Sumbawanga mji mdogo viongozi wa serikali wameona Hilo haliwezekani wamefunga stendi ya mjini Kati hata Kwa mabasi yanayofanya safari ndani ya wilaya ya Sumbawanga na ndani ya mkoa na yote wanataka yaanzie safari Stendi mpya ya Katumba km 14 toka mjini.

Hebu fikiria akili za hawa watendaji. Mwananchi mgonjwa aliyepeapa rufaa kwenda hospitali ya mkoa atoke Matai Makao makuu ya wilaya ya Kalambo km 36 toka Sumbawanga aipite hospitali maana hairuhusiwi kushusha abiria stendi za daladala, aende Katumba km 14, kisha apande bajaj alipe 3000/- arudi tena km 14 kufuata hospitali mjini akimaliza kutibiwa achukue bajaj aende Katumba km 14 apande basi la kwenda Matai apite hapohapo alipokuwa anatibiwa ndo aende Matai. Huu ni uhuni na kusumbua Wananchi. Ni kuwapa gharama na mateso yasiyo na sababu.

Mwaka jana alipokuja Waziri Mkuu Majaliwa alielezwa Jambo hili na Diwani wa CCM na akaamuru stendi zote mbili zitumike kama ilivyo Mbeya, alipoondoka baada ya mwezi wakafunga stendi CCM wakamwambia Waziri ikafunguliwa, alipokuja KM Chongolo akaelezwa akasema Chama kimetoa amri Wananchi wasisumbuliwe.

Ameondolewa Chongolo madarakani miezi michache tu wamefunga stendi ya mjini na safari hii CCM wamekaa kimya naambiwa wananchi wanataka kupeleka Kadi ofisi ya CCM mkoa.

Hivi kama chama mnajinasibu kila siku nyie ndo Wenye serikali maana yake nini kama mkurugenzi mmoja anaweza kuwatetemesha kiasi hiki na mkaufyata? Au na nyie mmeungana naye kutesa wapiga Kura wenu?

Nadhani hamjasahau taabu mliyopata Nkasi kaskazini 2020 Wananchi walipomkataa mgombea wenu na wakalinda Kura wakiwa na chupa zenye petrol tayari kuchoma jengo la mkurugenzi akithubutu kupindua matokeo. Mmesahau Polisi walivyosaidia kupiga mabomu zaidi ya 100 na bado Wananchi hawakuondoka hadi matokeo halali yalipotangazwa?

Wafipa ni wapole, lakini wakikasirika hamuwezi kuwarudisha.

Chelleeni Mwana kulia Oktoba mtalia ninyi.
MKOA wa Rukwa ina Viongozi wa hovyo Kuanzia Mkuu wa Mkoa kwenye Chama ndio uozo mtu Mbunge form 2 unatarajia kipata Maendeleo mwenyekiti wa Mkoa na Wilaya zote za mkoa Wenyeviti darasa la 7
 
Niko Rukwa kwa kazi zangu za uandishi wa habari za mazingira siku 5 Sasa. Hapa naongea toka kijiji cha Kabwe wilaya ya Nkasi.

Hapa Niko Jimbo la Nkasi kaskazini Kwa Mbunge pekee wa kuchaguliwa wa Chama cha demokrasia na maendeleo mh. AIDA KENANI. Nina Jambo nimelishudia Sumbawanga mjini juzi jumatatu acha niliweke hapa.

Kwanza nitoa mfano wa mkoa wa Mbeya unavyoendesha Mambo yake. Mbeya Jiji ina stendi 2 na zote zinafanya kazi, yaani stendi ya zamani ya mjini Kati na Nanenane.

Mbeya ni jiji kubwa na pilika zake ni mara 3 au zaidi Kwa Sumbawanga. Hali hiyo ya stendi mbili imewarahisishia Wananchi kuingia na kutoka Mbeya bila bughudha wala kutumia gharama kubwa.

Lakini Sumbawanga mji mdogo viongozi wa serikali wameona Hilo haliwezekani wamefunga stendi ya mjini Kati hata Kwa mabasi yanayofanya safari ndani ya wilaya ya Sumbawanga na ndani ya mkoa na yote wanataka yaanzie safari Stendi mpya ya Katumba km 14 toka mjini.

Hebu fikiria akili za hawa watendaji. Mwananchi mgonjwa aliyepeapa rufaa kwenda hospitali ya mkoa atoke Matai Makao makuu ya wilaya ya Kalambo km 36 toka Sumbawanga aipite hospitali maana hairuhusiwi kushusha abiria stendi za daladala, aende Katumba km 14, kisha apande bajaj alipe 3000/- arudi tena km 14 kufuata hospitali mjini akimaliza kutibiwa achukue bajaj aende Katumba km 14 apande basi la kwenda Matai apite hapohapo alipokuwa anatibiwa ndo aende Matai. Huu ni uhuni na kusumbua Wananchi. Ni kuwapa gharama na mateso yasiyo na sababu.

Mwaka jana alipokuja Waziri Mkuu Majaliwa alielezwa Jambo hili na Diwani wa CCM na akaamuru stendi zote mbili zitumike kama ilivyo Mbeya, alipoondoka baada ya mwezi wakafunga stendi CCM wakamwambia Waziri ikafunguliwa, alipokuja KM Chongolo akaelezwa akasema Chama kimetoa amri Wananchi wasisumbuliwe.

Ameondolewa Chongolo madarakani miezi michache tu wamefunga stendi ya mjini na safari hii CCM wamekaa kimya naambiwa wananchi wanataka kupeleka Kadi ofisi ya CCM mkoa.

Hivi kama chama mnajinasibu kila siku nyie ndo Wenye serikali maana yake nini kama mkurugenzi mmoja anaweza kuwatetemesha kiasi hiki na mkaufyata? Au na nyie mmeungana naye kutesa wapiga Kura wenu?

Nadhani hamjasahau taabu mliyopata Nkasi kaskazini 2020 Wananchi walipomkataa mgombea wenu na wakalinda Kura wakiwa na chupa zenye petrol tayari kuchoma jengo la mkurugenzi akithubutu kupindua matokeo. Mmesahau Polisi walivyosaidia kupiga mabomu zaidi ya 100 na bado Wananchi hawakuondoka hadi matokeo halali yalipotangazwa?

Wafipa ni wapole, lakini wakikasirika hamuwezi kuwarudisha.

Chelleeni Mwana kulia Oktoba mtalia ninyi.
CCM ni janga.
 
Back
Top Bottom