Mbona huyo jamaa mwenye shati lenye strips anaonekana kama anataka kumpa ngumi....
Duh!! Mpaka J2 tutaona mengi...
Hiyo Kijani ilivyokunjwa, ningekuwa mm hiyo ngumi ningeipeleka kwenye pua. paaaaah
Tukio lenyewe liko hivi - Ni kwamba Bashe aliomba kuja kuongea na Viongozi wa CDM kuhusu hali ya hatari iliyopo hapa Igunga. Akaja na Beno Malisa. Wakati mazungumzo yanaendelea ndipo ghafla akaingia mbunge Aeishi bila kualikwa. Vijana walipomwona adui namba moja aliyewarushia risasi majuzi tu wakaamua kumweka chini ya ulinzi. Kama sio Dr Slaa kuwa karibu sijui wangemwokotea wapi leo.
Kumbe mbunge wa sumbawanga mjini ni dume?
me nlisikia jina "Aeshi ,sijui aisha" nkahisi mdada.
Ha ha ha miaka yote kila nikisikia AYESHI SIJUI AISHA basi najua ni Jike, kumbe ni dume?? wamtwange tu
Ha ha ha miaka yote kila nikisikia AYESHI SIJUI AISHA basi najua ni Jike, kumbe ni dume?? wamtwange tu
hii imetokea lini na polisi wamefanya nini?
wasi wasi wangu asije sema alitekwa na kupelekwa huko sio yeye aliye vamia
Jamani kuna watu huwa hawafahamiki kabisa hivyo anaanzisha jambo lolote ili kupata attention ya media na watu watamfahamu. Nyie mnafikiri huyu Zuzu nani anamfahamu?
Wanamaker jf sikweli hili jambo Dk Slaa aje atueleze ukweli hajavamia tusipoteshe
Ha ha ha miaka yote kila nikisikia AYESHI SIJUI AISHA basi najua ni Jike, kumbe ni dume?? wamtwange tu
Ni kwamba Bashe aliomba kuja kuongea na Viongozi wa CDM kuhusu hali ya hatari iliyopo hapa Igunga.
Huyu amewahi kusema kuwa anataka CCM washindwe ili waheshimiane. Ametumwa na nani kukutana na viongozi wa CDM?
Hali ya hatari wanayoizungumzia kuwa ipo Igunga ni ipi? wanakuza tu maneno pamoja na hayo magazeti, ukiacha vurugu zinazoanzishwa na CCM Igunga kupo shwari kabisaTukio lenyewe liko hivi - Ni kwamba Bashe aliomba kuja kuongea na Viongozi wa CDM kuhusu hali ya hatari iliyopo hapa Igunga. Akaja na Beno Malisa. Wakati mazungumzo yanaendelea ndipo ghafla akaingia mbunge Aeishi bila kualikwa. Vijana walipomwona adui namba moja aliyewarushia risasi majuzi tu wakaamua kumweka chini ya ulinzi. Kama sio Dr Slaa kuwa karibu sijui wangemwokotea wapi leo.
wanasubiri nini kumchoma moto