Mbunge MARTHA MLATA

Status
Not open for further replies.
huyo mbunge hamna kitu, kuna rafiki yangu alikuwa naye anasoma huko. kila kukicha anapigiwa simu na huyo mama akitaka asaidiwe kujibu essays/homeworks. hamna kitu!!!

Linahusiana vipi na thread husika?

Akili ni nywele ndugu yangu kila mtu ana zake, na kukosa akili za darasani, sio kwamba hana akili za maisha na sio kwamba hawezi kuongoza. And may be ni katika mambo ya Team work na sio kwamba anaomba majibu kama unavyosema wewe.

MAJUNGU HAYAJENGI NA HAYATUFIKISHI POPOTE!
 
Namfahamu sana huyu mama personal na ninakubaliana nayi kuwa ni optimistic wa kutupwa.
Ilibidi ajikombe kwenye ziara za viongozi mkoani kwake ili apate kuteuliwa ktk race ya viti maalum. Naambiwa na nikachunguza kuwa aliteuliwa kuwa mjumbe wa bodi ktk taasisi fulani nyeti ambapo alipopata ubunge akaitupa nafasi yake bila hata ya taarifa hivyo naweza kusema hana nidhamu hata kidogo.
Kingine ukimwangalia umbo lake utapata jibu kwa nini amepata nafasi ya ubunge wa viti maalum kutoka kwa watu maalum.

Haya natoka tutaonana baada ya miezi miwili tena

....duh, kaaaaazi kweli kweli!!
 
Good point Lunyungu!!!,

Kama hataki kujihusisha na masuala ya kijamii yanayowahusu wa-tz wenzake why don't you tell her direct??? Msiwe wepesi wa kusemea pembeni kuwa bibi amekaa uchi haisaidii huenda yeye kwa akili yake haoni kama ni kitu kibaya na kwa kuongea ongea pembeni haijengi tell her bibi umekaa vibaya rekebisha mkao hayo ndio mambo vijana... Punguzeni talalila sizizo na maana..Kama ni kilaza ni matatizo yake na aliyempeleka huwezi kulazimisha awe genius hata kama betri yake iko low kudaka full net work.

Una sound kama BALOZI MWANAIDI kwenye mkutano wa DIASPORA eti tukitaka kuzungumza yetu kukaongelee ofisini kwake au TA

acha hizo
 
hivi huyu mama ametumwa na nani? kwenda kufungua matawi ya ccm chama kinachochungulia kaburi huko uingereza? aje hapa asaidiane na wana kijiji wenzake wa ilongero, misughaa, makiungu
 
Mimi sioni haya kila kundi kuwa na mwakilishi .Hii ni dhana mufilishi sana .Kazi moja Mbunge achaguliwe na achapa kazi awakilishe watu wote .Tabia za kusema mara Ma Albino mara akina Mama ni upuuzi Nchi ama Bunge haliwezi kuwa la namna hiyo na mwisho tunakuwa kama UK kuwapata wajanja kama akina Abuu na kuutumia Umoja wa TZ kwa maslahi yao .Ma albino ni watu walindwe kisheria watu wafikishwe polisi na baadaye Mahakamani .Soon tutakuwa na mashoga nao sijui wakisha tambulika kisheria mtawapa haki wapi .

Sasa ndugu yangu unangojea nini opportunity hiyo nenda ukawawakilishe hao mashoga
 
Mbunge wetu huyo kaacha kuimba nyimbo za kwaya kaingia TWANGA PEPETA...
SANY4951.jpg


http://3.bp.blogspot.com/_HO8ijU76ZcQ/SvpLANni9RI/AAAAAAAA0Og/sZ2uUw1fJxA/s1600-h/SANY4951.jpg

Mbunge wa viti maalumu (CCM, Singida) Mh. Martha Mlata akiimba pamoja na Twanga Pepeta wakati wa hafla ya kumaliza mafunzo ya manunuzi kwa wabunge yaliyoandaliwa na chuo cha manunuzi na ugavi kwenye ukumbi wa ubongo plaza usiku wa kuamkia leo

Source: michuzi blog
 
Mzushi tu huyo. Alishindwa ndoa(alikuwa mke wa prof mmoja wa mlimani anakaa mbezi), akawatelekeza watoto akaamua kujichanganya na sisiem. Chakula ya wakubwa hiyo. Kuweni makini mnaomwandama.
 
Mzushi tu huyo. Alishindwa ndoa(alikuwa mke wa prof mmoja wa mlimani anakaa mbezi), akawatelekeza watoto akaamua kujichanganya na sisiem. Chakula ya wakubwa hiyo. Kuweni makini mnaomwandama.

Tangu mwanzo wa thread hii mpaka hapa hakuna jipya ila umbea. Hivi kwa mtu uliye busy na masuala ya maisha una muda wa kuleta picha za kutuambia alikua anaimba kwaya sasa anaimba twanga pepeta? Kuna ISSUE gani hapo ambayo unataka tuione au tuijadili. Kama mmegombana naye nendeni mkamalizane naye, msilete umbea. Au wewe ndiye mumewe roho inakuuma alikuacha?
 
Namfahamu sana huyu mama personal ukimwangalia umbo lake utapata jibu kwa nini amepata nafasi ya ubunge wa viti maalum kutoka kwa watu maalum



Hapa alimaliza na aligraduate.

Mwacheni Mama wa watu, kwanza amejaaliwa sana tuu mpaka leggyline na haringi, anajichanganya na watu wa aina zote, kwa kifupi she is down to earth.

Mbona kuna wabunge wengi tuu wanaingia mjengoni kupendezesha tuu jengo, lakini hamuwaulizii, whats so special about Martha?.
 

Attachments

  • Mhe. Martha Mlata, Mmoja wa Wabunge waliojaliwa!.jpg
    Mhe. Martha Mlata, Mmoja wa Wabunge waliojaliwa!.jpg
    17.9 KB · Views: 207
chakula cha wakubwa.viti maalum?
how comes ni mbunge ,wakati anasoma full time ughaibuni?
ndio demokrasia ya tanzania
 
Mzushi tu huyo. Alishindwa ndoa(alikuwa mke wa prof mmoja wa mlimani anakaa mbezi), akawatelekeza watoto akaamua kujichanganya na sisiem. Chakula ya wakubwa hiyo. Kuweni makini mnaomwandama.

ahhh bwana weeee

duh!
 
Katika utamaduni wa maisha ya kawaida ya Mtanzania, kushirikiana na wenzako katika masuala ya kijamii kama ugonjwa na vifo ni kitu muhimu sana. Iwapo utamuona mtu hashiriki katika masuala hayo, bila ya kuwa na sababu ya msingi, hasa akiwa ughaibuni ambako watanzania wote huwa ni ndugu moja, basi kuna tatizo fulani.
Tena, iwapo atakuwa anapata nafasi ya kufika kwenye shughuli fulani tu na kushindwa kufika kwenye shughuli nyingine muhimu kijamii, kuna mushkemli mkubwa hapo.

Uonevu mtupu! huko UK kuonekana ktk misiba na harusi ndyo kipimo cha utu?
 
Uonevu mtupu! huko UK kuonekana ktk misiba na harusi ndyo kipimo cha utu?

Kwanza bora alivyokuwa haendi kwa watu, maana huko ughaibuni ukitafuta watanzania ni kujitafutia matatizo. Si wanawake si wanaume wote ni umbea na majungu tu ughaibuni.
 
Mkichunguza wakina Martha mlatta bungeni ni wengi sana.Wanayostahili kuwa wabunge ni wachache sana pale.Kuna jamaa kashangaa mtu wa form 4 wako wa darasa la saba
 
Sumaye mhuni sana unajua


Ehe, tupe story ya Sumaye na Martha, may be hiki ndicho chanzo cha hii thread. Wataje ma girlfriend zake wote, waanzishie thread hapa JF. Halafu wataje wa Rais, Waziri Mkuu, Lowassa, Sitta, nk nk nk, waanzishie thread zote, shughuli wanazofanya, wanaimba nini, elimu yao, nk. If you cannot do that, then leave Martha alone. Hapa JF kuna thread msururuuuu, ongeza tuu, wenye kusoma wasome, kama sisi tulioko hapa. Ehe.....
 
hhaha yaani nimesoma weee mwisho wa thread nimevuta pumzi na kukosa la kuchangia
ngoja nianze kumchunguza huyu mama kwa sasa No data
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom