Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Mimi sioni haya kila kundi kuwa na mwakilishi .Hii ni dhana mufilishi sana .Kazi moja Mbunge achaguliwe na achapa kazi awakilishe watu wote .Tabia za kusema mara Ma Albino mara akina Mama ni upuuzi Nchi ama Bunge haliwezi kuwa la namna hiyo na mwisho tunakuwa kama UK kuwapata wajanja kama akina Abuu na kuutumia Umoja wa TZ kwa maslahi yao .Ma albino ni watu walindwe kisheria watu wafikishwe polisi na baadaye Mahakamani .Soon tutakuwa na mashoga nao sijui wakisha tambulika kisheria mtawapa haki wapi .