Babu Ubwete
Senior Member
- Jan 26, 2008
- 169
- 29
Babu Ubwete karibu tena jamvini...........pole na majukumu..........na heshima mbele sana..........
Ahsante sana Ogah. hapa ni nyumbani lazima tupite japo mara ingine tunasoma tu na kuongeza maarifa, Mimi na Mke wangu bila kujijua wote ni active member wa JF maana kila anapobreak down issues naona zinafanana na JF