Mbunge MARTHA MLATA

Status
Not open for further replies.
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii jamani ni yule shetwani wa engineering???????????????????????????????mmmmmhhh mbona na huyu mama awafanani???????????maskini alikiingia kwenye kichaka///pole mama yangu endelea kumshika mungu yuko pamoja nawe awezi kukuacha

actually neno "shetwani" ni sahihi kabisa kum-describe huyu bwana................kumbe hata huko engineering ni shetwani?..........
 
yuko UK sasa mwaka wa Pili anasoma pale Westminster. Lakini cha ajabu hatumuoni kwenye misiba wala magonjwa lakini anaonekana sana kwenye mikutano ya kufungua matawi ya CCM uingereza nzima.

Swali ninalojiuliza ni je anasoma saa ngapi na saa ngapi anakuwa yuko kwenye shughuli alizochaguliwa kufanya?

GT leo umeamukaje Mkuu wangu, nauliza hivi kwasababu mbona kwenye hii thread umejichanganya sana? maana unasema amekuwa akizunguka UK nzima kufungua matawi ya CCM kwa hiyo uko concerned kuwa hapati muda wa kutosha kusoma na pia hana muda wa kuwawakilisha wanachi wake. Lakini cha ajabu pamoja na kujua kuwa hana muda wa kusoma kutokana na shughuri za Chama bado unataka afike kwenye misiba na kuona wagonjwa, sasa je huo muda wa kufika kwenye misiba na kuona wagonjwa utatoka kwenye bajeti ipi??? Kama mtu hana hata muda wa kusoma, na hapo hajafika misibani, Je akifika si atakosa hata muda wa kupumua??? GT ebu nyosa sentensi zako
 
Kwa hiyo mtu akiwa Mbunge ndiyo mwisho wa kusoma? Msemo wangu ni huu " Ubono wako unazeeka ukiacha kusoma" kama unadhani utani, kamwulize Kingunge Ngombale Mwilu alivyochangia kuvuruga mwafaka kati ya CCM na CUF. Yule mzee alikuwa anakurupuka mbele ya wanahabari akileta makubaliano yao na CUF. Wote si mashahidi alivyopondwa na yule bwana mdogo wa CUF. Ikadhihirika hata minutes za vikao KNM alikuwa hasomi. Ndugu zangu, umbeya si jambo jema. Nauchukia kama sumu ya panya!! Hivi wewe Game Theory unataka kusema mtu akiwa anasoma hawezi kufanya shughuli nyingine? Unafahamu kitu kinaitwa Mult-tasking? Kwani hayo matawi unayozungumzia yanafunguliwa kila siku? Na hiyo shule ya Martha haina hata mapumziko mafupi? Haujaeleza hata kama hizo kazi anazifanya wakati wenzake wapo darasani au anazifanya wakati wa likizo!!. Hivi umesoma mpaka chuo kikuu wewe? Chuo kikuu ni tofauti na shule za msingi na sekondari. Ukishapiga paper ukaingia likizo uka faulu mtihani, inakuwa imetoka hiyo haurudii tena kusoma lile ulilokwisha lifanya!.

Umbea umbea siyo mzuri.

Na ninyi mnaosema aliyeteuliwa na fisadi ni lazima awe fisadi! Huu ni ushamba! Kwani hamkusikia na kusoma na kuona habari za mtoto wa Osama bin Laden akiponda shughuli za ugaidi za baba yake baada ya Sept 11?. Tafadhali tutumie chombo hiki cha JF kwa ustaarabu na maana ya kutupatia manufaa. Umbeya si deal!
 
Nimefuatilia kwa makini thread ya mbunge wa viti maalum, Martha Mlata.

Mimi binafsi nimekutana na huyu mama, ni mwenyeji wa Singida.
Hakufanikiwa kupata elimu ya juu (A-level+university).

Akabahatika kuolewa na Dr. wa hapo UDSM. Kwa kumwangalia mama ni mzuri kwa kweli tusifu uumbaji. Vigogo hawawezi kuvumilia pindi akiwapitia karibu.

Maisha ya honeymoon yalikuwa mazuri tu, ila baada ya kupata mtoto wa pili, maisha yalianza badirika, ukichanganya Dr. kujenga nyumba ya ghorofa, ikawa shida moja kwa moja.

Ndoa iliingiliwa na ndugu, huyo "Dr. ni NSHOMILE" mnawajua hawa ndugu zetu. Hata kwenye sherehe wewe kama huna jina la kihaya utaambulia kunywa maji ya chupa, wakikuheshu sana.

Dr. akaambiwa aowe mhaya, martha siyo mke. sijui Dr. naye karogwa!! akaanza kumfanyia vituko, kumpiga hata kutaka kummuua huyu mama.

Hii ndiyo iliyomtoa Martha ktk ndoa yake. Dr. akachukua vitoto kuvipeleka boarding school, na kumwekea mama wanted kuona watoto.

Martha asili yake ni mwimbaji kwaya kanisani, ndiko alikotokea kabla ya kuolewa, hata baada ya ndoa yake Martha aliendelea kumwimbia Mungu. Huenda huko ndiko Mungu alikomtoa na kumweka hapo alipo.

Binadamu tuna mapungufu mengi tu, lakini tukipatiwa nafasi nadhani kila mmoja wetu anaweza akafanya vizuri.
Binafsi naona hatua aliyochukua huyu mama ya kwenda masomoni inaonyesha kweli she need a change. Huenda kutokuwa na elimu pia kulipelekea ndoa yake kwenda mlama. ingawa hata wasomi ndoa zao zinamatatizo.

Wabunge VIHIYO ni wengi sana bungeni, issue je wanatumiaje nafasi hii kujinasua ktk hali ya uvihiyo? Je ipi inapendeza, kwa Martha kwenda shule au kwa John Komba nawengine kununua degrees?

Hadija Kopa ni mjumbe wa NEC Je ana elimu na uwezo gani wa kutuchagulia Rais?? na wengine wengi tu.

Uliyekerwa na Martha kwamba hahudhurii shida na sherehe za watu, ni vyema ukamwambia, kuliko kumzungumzia ubaya. Kila mtu ana uhuru wa maisha yake.

Wa-Tanzania, mara zote mke anaposhindwa kuvumilia yanayomsibu ndani ya nyumba, aondokapo basi lawama anarushiwa yeye, kwamba amekimbia ndoa na kwenda kufanya umalaya. Akina mama wengine wamefikia hata kuuawa na waume zao, kwa kungángánia kulinda heshima ya ndoa.

Ni wamama wengi wanapitia maisha ya kunyanyaswa ktk ndoa zao, wengi wanakata tamaa, wanaoinuka na kuendelea na maisha ni jambo la kuwapongeza.

Jamani tubadirike na tujifunze kuheshimu maamuzi ya wenzetu, bado tuna nafasi ya kuwashauri wale wanaohitaji mawazo. Tuwape nafasi wale walioathirika na mfumo dume wa maisha, ndiyo maana hii JF inatufunza mengi. Na kupitia hii JF tunaupiga vita ufisadi, tunajifunza jinsi ya kuwapenda na kuwasaidia wenzetu, wasio na ajira wanapatiwa links za ajira n.k.

Asante.

 
SHy,
Mbunge Tom Mwangonda hajawai kuchangia hoja yoyote tangu achaguliwe, na bungeni haonekani...ni uchapaji kazi gani huo unaosema

Tom Mwang'onda aliwepa ubunge ikiwa ni shukurani,kwa mchango ambao baba yake Apson Mwangonda aliufanya kumwezesha JK kuwa mkulu wa nchi.
 
ndiyo vihiyo hao tunawatengeneza alafu waje chukua nchi baadae,huwezijua huenda huko ni kampany ya wenyewe wakienda huko ktk ziara zao
 
Nimefuatilia kwa makini thread ya mbunge wa viti maalum, Martha Mlata.

Mimi binafsi nimekutana na huyu mama, ni mwenyeji wa Singida.
Hakufanikiwa kupata elimu ya juu (A-level+university).

Akabahatika kuolewa na Dr. wa hapo UDSM. Kwa kumwangalia mama ni mzuri kwa kweli tusifu uumbaji. Vigogo hawawezi kuvumilia pindi akiwapitia karibu.

Maisha ya honeymoon yalikuwa mazuri tu, ila baada ya kupata mtoto wa pili, maisha yalianza badirika, ukichanganya Dr. kujenga nyumba ya ghorofa, ikawa shida moja kwa moja.

Ndoa iliingiliwa na ndugu, huyo "Dr. ni NSHOMILE" mnawajua hawa ndugu zetu. Hata kwenye sherehe wewe kama huna jina la kihaya utaambulia kunywa maji ya chupa, wakikuheshu sana.

Dr. akaambiwa aowe mhaya, martha siyo mke. sijui Dr. naye karogwa!! akaanza kumfanyia vituko, kumpiga hata kutaka kummuua huyu mama.

Hii ndiyo iliyomtoa Martha ktk ndoa yake. Dr. akachukua vitoto kuvipeleka boarding school, na kumwekea mama wanted kuona watoto.

Martha asili yake ni mwimbaji kwaya kanisani, ndiko alikotokea kabla ya kuolewa, hata baada ya ndoa yake Martha aliendelea kumwimbia Mungu. Huenda huko ndiko Mungu alikomtoa na kumweka hapo alipo.

Binadamu tuna mapungufu mengi tu, lakini tukipatiwa nafasi nadhani kila mmoja wetu anaweza akafanya vizuri.
Binafsi naona hatua aliyochukua huyu mama ya kwenda masomoni inaonyesha kweli she need a change. Huenda kutokuwa na elimu pia kulipelekea ndoa yake kwenda mlama. ingawa hata wasomi ndoa zao zinamatatizo.

Wabunge VIHIYO ni wengi sana bungeni, issue je wanatumiaje nafasi hii kujinasua ktk hali ya uvihiyo? Je ipi inapendeza, kwa Martha kwenda shule au kwa John Komba nawengine kununua degrees?

Hadija Kopa ni mjumbe wa NEC Je ana elimu na uwezo gani wa kutuchagulia Rais?? na wengine wengi tu.

Uliyekerwa na Martha kwamba hahudhurii shida na sherehe za watu, ni vyema ukamwambia, kuliko kumzungumzia ubaya. Kila mtu ana uhuru wa maisha yake.

Wa-Tanzania, mara zote mke anaposhindwa kuvumilia yanayomsibu ndani ya nyumba, aondokapo basi lawama anarushiwa yeye, kwamba amekimbia ndoa na kwenda kufanya umalaya. Akina mama wengine wamefikia hata kuuawa na waume zao, kwa kungángánia kulinda heshima ya ndoa.

Ni wamama wengi wanapitia maisha ya kunyanyaswa ktk ndoa zao, wengi wanakata tamaa, wanaoinuka na kuendelea na maisha ni jambo la kuwapongeza.

Jamani tubadirike na tujifunze kuheshimu maamuzi ya wenzetu, bado tuna nafasi ya kuwashauri wale wanaohitaji mawazo. Tuwape nafasi wale walioathirika na mfumo dume wa maisha, ndiyo maana hii JF inatufunza mengi. Na kupitia hii JF tunaupiga vita ufisadi, tunajifunza jinsi ya kuwapenda na kuwasaidia wenzetu, wasio na ajira wanapatiwa links za ajira n.k.

Asante.

Swadakta CMM,
Umenena. Na maneno yaishe. Hakuna cha maana hapa kumjadili mrembo wa watu!
 
basi yaishe itabidi tuhamishe makombora kwa mbunge mwingine

how about Mama Lwakatare?
 
Nimefuatilia kwa makini thread ya mbunge wa viti maalum, Martha Mlata.

Mimi binafsi nimekutana na huyu mama, ni mwenyeji wa Singida.
Hakufanikiwa kupata elimu ya juu (A-level+university).

Akabahatika kuolewa na Dr. wa hapo UDSM. Kwa kumwangalia mama ni mzuri kwa kweli tusifu uumbaji. Vigogo hawawezi kuvumilia pindi akiwapitia karibu.

Maisha ya honeymoon yalikuwa mazuri tu, ila baada ya kupata mtoto wa pili, maisha yalianza badirika, ukichanganya Dr. kujenga nyumba ya ghorofa, ikawa shida moja kwa moja.

Ndoa iliingiliwa na ndugu, huyo "Dr. ni NSHOMILE" mnawajua hawa ndugu zetu. Hata kwenye sherehe wewe kama huna jina la kihaya utaambulia kunywa maji ya chupa, wakikuheshu sana.

Dr. akaambiwa aowe mhaya, martha siyo mke. sijui Dr. naye karogwa!! akaanza kumfanyia vituko, kumpiga hata kutaka kummuua huyu mama.

Hii ndiyo iliyomtoa Martha ktk ndoa yake. Dr. akachukua vitoto kuvipeleka boarding school, na kumwekea mama wanted kuona watoto.

Martha asili yake ni mwimbaji kwaya kanisani, ndiko alikotokea kabla ya kuolewa, hata baada ya ndoa yake Martha aliendelea kumwimbia Mungu. Huenda huko ndiko Mungu alikomtoa na kumweka hapo alipo.

Binadamu tuna mapungufu mengi tu, lakini tukipatiwa nafasi nadhani kila mmoja wetu anaweza akafanya vizuri.
Binafsi naona hatua aliyochukua huyu mama ya kwenda masomoni inaonyesha kweli she need a change. Huenda kutokuwa na elimu pia kulipelekea ndoa yake kwenda mlama. ingawa hata wasomi ndoa zao zinamatatizo.

Wabunge VIHIYO ni wengi sana bungeni, issue je wanatumiaje nafasi hii kujinasua ktk hali ya uvihiyo? Je ipi inapendeza, kwa Martha kwenda shule au kwa John Komba nawengine kununua degrees?

Hadija Kopa ni mjumbe wa NEC Je ana elimu na uwezo gani wa kutuchagulia Rais?? na wengine wengi tu.

Uliyekerwa na Martha kwamba hahudhurii shida na sherehe za watu, ni vyema ukamwambia, kuliko kumzungumzia ubaya. Kila mtu ana uhuru wa maisha yake.

Wa-Tanzania, mara zote mke anaposhindwa kuvumilia yanayomsibu ndani ya nyumba, aondokapo basi lawama anarushiwa yeye, kwamba amekimbia ndoa na kwenda kufanya umalaya. Akina mama wengine wamefikia hata kuuawa na waume zao, kwa kungángánia kulinda heshima ya ndoa.

Ni wamama wengi wanapitia maisha ya kunyanyaswa ktk ndoa zao, wengi wanakata tamaa, wanaoinuka na kuendelea na maisha ni jambo la kuwapongeza.

Jamani tubadirike na tujifunze kuheshimu maamuzi ya wenzetu, bado tuna nafasi ya kuwashauri wale wanaohitaji mawazo. Tuwape nafasi wale walioathirika na mfumo dume wa maisha, ndiyo maana hii JF inatufunza mengi. Na kupitia hii JF tunaupiga vita ufisadi, tunajifunza jinsi ya kuwapenda na kuwasaidia wenzetu, wasio na ajira wanapatiwa links za ajira n.k.

Asante.



Asante sana!

Huyu ni Mbunge wa vitu maalumu kupitia Chama Cha Magamba
 
Huyu mama yuko UK sasa mwaka wa Pili anasoma pale Westminster. Lakini cha ajabu hatumuoni kwenye misiba wala magonjwa lakini anaonekana sana kwenye mikutano ya kufungua matawi ya CCM uingereza nzima.

Swali ninalojiuliza ni je anasoma saa ngapi na saa ngapi anakuwa yuko kwenye shughuli alizochaguliwa kufanya?

Maana Sumaye alipokuwa ansoma kule HARVARD huyu mama alikuwa haishiwi vijitripu vya kwenda kule Cambridge. Nimepata nafasi kadhaa kuongea naye kwa karibu lakini naweza kusema kuwa sijui alikuwa na sifa zipi mpaka JK akampa huo ubunge wa kuteuliwa

Uwanja wenu wana JF

Acha majungu maana hayajengi, mwache aendelee na maisha binafsi, haikuhusu
 
kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa kwa mujibu wa katiba ya tanzania, na wala haisemi ni wasomi pekee wenye haki ya kuchaguliwa .. acheni kuvunja katiba!
 
Na huyu Binti Mam mungula yeye ni Chama cha Magamba fanatic maana naona kila workshop,tawi,shughuli ya CCM Ukonga yupo hivi si arudi kinondoni aje agombee ubunge.
 
Na huyu Binti Mam mungula yeye ni Chama cha Magamba fanatic maana naona kila workshop,tawi,shughuli ya CCM Ukonga yupo hivi si arudi kinondoni aje agombee ubunge.

Babu Ubwete karibu tena jamvini...........pole na majukumu..........na heshima mbele sana..........
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom