nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
akichangia hoja bungeni,simbachawene awapongeza polisi kwa kuua waandamanaji eti wasingefanya hivyo nchi ingeingia kwenye machafuko
aponda sera ya kutokuwepo wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
asema hata watu wanaouawa kwenye maandamano hawana majina(akimaanisha viongozi hawauliwi)
awatahadharisha wananchi wataendelea kuuawa wakienda kwenye maandamano
aponda sera ya kutokuwepo wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
asema hata watu wanaouawa kwenye maandamano hawana majina(akimaanisha viongozi hawauliwi)
awatahadharisha wananchi wataendelea kuuawa wakienda kwenye maandamano