Labda anapima umuhim wa mtu
Sio kweli mkuu CHADEMA wana sera nzuri sana, Naweza kusema kuliko vyama vingi hapa Tanzania.Chadema wameishiwa sera.
Wewe ndio msemaji wa Lema JF?
Eti Lema na VX lake katoa wapi pesa ya kununua VX? sema Lema na VX la kupewa na Magamba
Sio kweli mkuu CHADEMA wana sera nzuri sana, Naweza kusema kuliko vyama vingi hapa Tanzania.
Ila kumbuka kuwa na sera nzuri ni jambo moja na kuzitekeleza ni issue nyingine.
Lema akitoka jela hatotamani tena kwenda jela.
Sasa ingetakiwa atoke ila aweze kumwondoa huyu mkoloni mweusi unayesema..atamwondoaje akiwa gerezani? Au kuna mbinu nyingine mkuu?
Point.Aliacha kumtembelea Zitto akiwa Muhimbili anaona ni bora kumtembelea Lema akiwa gerezani?
Labda anapima umuhim wa mtu
siku hizi kumbe chadema ni mungu wenu?Tupo pamoja makamanda,nguvu ya uma haijawahi kushindwa Muda huu tumetoka mahabusu watu ni wengi wanaokwenda kumuona Mh lema,tupo pamoja daima katika vita hii ya kumuondoa mkoloni mweusi CCM,wao wanapesa CCM sisi tuna Mungu CHADEMA.
SERA kuhusu nini?? Dah. watu wengine bwana, wanalishwa ujinga wanatapika upumbavu!!Chadema wameishiwa sera.
Mkuu nikusahihishe kidogo, maana hata ww unakurupuka! Lema hakujipeleka mwenyewe Polisi alipelekwa kwa kosa la kufanya mkutano na maandamano bila kibali, Kilichotokea ni kwamba, Dhamana ilikuwa wazi ila mbunge huyu kutokana na malengo flani anayosema ni ya kiharakati alikataa dhamana ile! Kingine ninachojua ni kwamba CHADEMA tayari ni "popular party" ..hilo suala la cheap popularity wanayotafuta sijakuelewa vizuri.tatizo la chadema wanatafuta cheap popularity, wanacheza na akili za watu, ni wapenda sifa.
Baada ya uchaguzi walianza kuzunguka kila mkoa kuhamasisha vurugu, wameona hilo halitoshi sasa wanaamua kujipeleka wenyewe polisi.
Kama sio kukosa akili ni nini?.
Mtachoka bure.Na mnakwenda kufanya nini naye,si alikwenda mwenyewe.Hasira za mkizi hizo.Tupo pamoja makamanda,nguvu ya uma haijawahi kushindwa Muda huu tumetoka mahabusu watu ni wengi wanaokwenda kumuona Mh lema,tupo pamoja daima katika vita hii ya kumuondoa mkoloni mweusi CCM,wao wanapesa CCM sisi tuna Mungu CHADEMA.
sikuamini kama kweli hawa viongozi wajuu kabisa wa chadema hawakwenda kumjulia hali kiongozi mwenzao tena wa rank yao. This is fan. Or there is something behind, na si hivi hivi tu.Mbowe, Mnyika, Lissu, hawa hakuna hata mmoja aliokwenda kumjulia hari Zitto..
Dr. Slaa, peke yake ndio alikwenda
hivi kwa nini mnaupromote ushoga hivi? yale maadili yetu ya kiTZ tumeyaacha wapi? Hebu tuwe wastaarabu wakati wakuchangia humu.What do you expect from such a small creature? Hawezi kuelezea chochote alichofanyiwa gerezani sana sana akifanya hivyo atakuwa anajidhalilisha tu.
akili iliyochanika inajaribu tutumuatatzo mbowe sauti simba kichwa boga akiri kisoda