He is just one person he can't be everywhere all the times.Aliacha kumtembelea Zitto akiwa Muhimbili anaona ni bora kumtembelea Lema akiwa gerezani?
What do you expect from such a small creature? Hawezi kuelezea chochote alichofanyiwa gerezani sana sana akifanya hivyo atakuwa anajidhalilisha tu.Nafikiria mbali sana.Niliowaona wamezuiwa kwenda kumwona Mh.Godbless Lema,walikuwa wengi mno.Mawazo yangu yanakwenda mbali zaidi,hivi siku hiyo ya kesi itakuwaje?Hivi polisi hawajapata taarifa za kiintelijensia,pengine kutakuwepo na vurugu?Na pale bungeni kutakuwa na taswira gani labda pale atakapotaka kuelezea yaliyojiri gerezani?Naomba kuwasilisha
Aliacha kumtembelea Zitto akiwa Muhimbili anaona ni bora kumtembelea Lema akiwa gerezani?
Humjui Lema msamiati wa kujidhalilisha kwake haupo kama sivyo saa hizi angekuwa anatanua uraiani na VX lake hakuna anayemzuia hata leo akiamua kutoka anatoka, upo?What do you expect from such a small creature? Hawezi kuelezea chochote alichofanyiwa gerezani sana sana akifanya hivyo atakuwa anajidhalilisha tu.
Humjui Lema msamiati wa kujidhalilisha kwake haupo kama sivyo saa hizi angekuwa anatanua uraiani na VX lake hakuna anayemzuia hata leo akiamua kutoka anatoka, upo?
Aliacha kumtembelea Zitto akiwa Muhimbili anaona ni bora kumtembelea Lema akiwa gerezani?
mbona watu mnakuwa masaburi aliyekuambia akwenda nani wakati zito alinukuliwa akimpongeza slaa na chama chake kwa kuwa karibu nayeAliacha kumtembelea Zitto akiwa Muhimbili anaona ni bora kumtembelea Lema akiwa gerezani?
point umeongea mwitaAliacha kumtembelea Zitto akiwa Muhimbili anaona ni bora kumtembelea Lema akiwa gerezani?
mwita ameongela mbowe, na siyo slaa na chama chakembona watu mnakuwa masaburi aliyekuambia akwenda nani wakati zito alinukuliwa akimpongeza slaa na chama chake kwa kuwa karibu naye
Taarifa nilizopata ni kwamba dakika chache zijazo mwenyekiti wa chadema mheshimiwa freeman mbowe atamtembelea mbunge wa arusha mhe godbless lema huko gerezani kisongo
mbona watu mnakuwa masaburi aliyekuambia akwenda nani wakati zito alinukuliwa akimpongeza slaa na chama chake kwa kuwa karibu naye
labda alienda saa 8-9 usikuHalipo mtembelea Zitto Hospitali wahandishi wa habari na wapiga picha hawakuwepo.
Halipo mtembelea Zitto Hospitali wahandishi wa habari na wapiga picha hawakuwepo.