Nyota Ndogo
Senior Member
- Aug 7, 2011
- 150
- 33
Hata kama wamem-CAMERON?
nape karudi amerika umelipwa ujira wako sasa umegeuka unaandika tena pumba. endelea kuganga njaa mkubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama wamem-CAMERON?
Arusha KUNA JAMBO tena zito mno!!!!!!
Alienda kimya kimya sio kama hao viongozi na wabunge wa CCM wanakusanya waandishi wa habari ndo waende kumsalimia mgonjwa jamaa wanapenda sana promo mpaka misibani
Naona topic ya ushoga ina wakuna sana pro CCM mwenzako ritz hadi kaianzishia thread,Hata kama wamem-CAMERON?
Arusha KUNA JAMBO tena zito mno!!!!!!
Wale walikuwa UWT wanapima upepo what if.......Mbona kuna uzi hapa uliwekwa kwamba katoka kimyakimya?but good!we want to hear from you mzee Mbowe
Humjui Lema msamiati wa kujidhalilisha kwake haupo kama sivyo saa hizi angekuwa anatanua uraiani na VX lake hakuna anayemzuia hata leo akiamua kutoka anatoka, upo?
zilikanushwa na ukweli ni kwamba Lema bado yuko Gerezani Kisongo.Mbona kuna uzi hapa uliwekwa kwamba katoka kimyakimya?but good!we want to hear from you mzee Mbowe
Usicheze na Jela muulize Ndada KosovoNaona topic ya ushoga ina wakuna sana pro CCM mwenzako ritz hadi kaianzishia thread,
hivi hamjiulizi kwa nini Cameron ameilenga Tanzania na sisi tume react haraka hivyo kuliko siku zote?
Wale walikuwa UWT wanapima upepo what if.......
mbona kawaida tu mi natamani watz wote tufutike kama dinoserous..
Aliacha kumtembelea Zitto akiwa Muhimbili anaona ni bora kumtembelea Lema akiwa gerezani?
Umesharudi kwenye upumbavu wako wewe. Lema ni komando sio legelege kama mnavyodhani hata kidogo. Kama waziri kivuli wa Mambo ya ndani sasa atapigania mambo anayoyafahamu kuhusu magereza yetu na raia wanavyoonewa kwa ushahidi wa kuona sio kuambiwa.Hata kama wamem-CAMERON?
Sasa ingetakiwa atoke ila aweze kumwondoa huyu mkoloni mweusi unayesema..atamwondoaje akiwa gerezani? Au kuna mbinu nyingine mkuu?Tupo pamoja makamanda,nguvu ya uma haijawahi kushindwa Muda huu tumetoka mahabusu watu ni wengi wanaokwenda kumuona Mh lema,tupo pamoja daima katika vita hii ya kumuondoa mkoloni mweusi CCM,wao wanapesa CCM sisi tuna Mungu CHADEMA.
Mbowe, Mnyika, Lissu, hawa hakuna hata mmoja alikunda kumjulia hari Zitto..
Dr. Slaa, peke yake ndio alikwenda