Mbowe apigilia msumari

vicent nyerere anasema;
Magari yanayotoka nje hayakaguliwi nina ushahidi. wakina zitto waliuziwa certificate hewa. fedha zinakwenda nje na kurudi.
jaa t410 ilikuja na matairi ya snow, tanzania kuna snow? kampuni ni za hapahapa. nashauri haya makampuni yarudi huku dola ml18 wamepata lakini sisi tumepata dola ml2. atakaye taka nimsaidie ntamsaidia coz nlikula kiapo kutumikia nchi yangu.
 
mh.mtarza anaendelea kusema:
kwa kipindi cha miaka 9 serikali imegoma kutoa hela tsh billion 1 kwa ajiri ya kujenga chuo cha wauguzi.
tunashukuru serikali sababu general tyre imerudi.
kwa kipindi cha miaka 10 serikali imeshindwa kuunda bodi kwa ajili ya wafanya biashara wa k/koo.
Tunaweza kukaa mwaka mzima hapa kisitokee kunacho tarajia.sawa na kukamua chura maziwa.

Kuna mambo yanakera sana. Hebu fikiria miaka 10 serikali inashindwa kutoa tsh billion 1 kwa ujenzi wa chuo cha wauguzi lakini serikali hiyo hiyo inatumia kiasi kama hicho cha fedha kusherekea nanenane mara 1. Hilo la Board ya Kariakoo ndio usiseme! Sijui hiyo wizara husika kama iko hai!
 
deo filikunjombe anasema;
nimesema asubuhi nchi yetu inatafunwa. nilisema asubuhi wanaofanya nchi yetu itafunwe ni mawaziri wetu. baadhi ya mawaziri wetu wanatumikia matumbo yao. tusiwasubili wapinzani waseme. tunajua mnalindana. ntamtaja waziri anaye ongoza kutafuna mali za watanzania naye ni waziri wa fedha Mkullo, Mkullo katajwa kwenye hii report ya cag.
 
amevunja bodi ya chc kwa sababu ya masirahi yake binafsi anasema deo
 
Tatizo la JK ni washauri wake, wanamdanganya kuwa mambo ni shwali, mwisho wa siku atashuudia ccm ikimfia mikononi!!!!!

CCM ikishamfia mikononi ataenda kuikabidhi kwa wazee wa darisalama waizike.
 
deo filikunjombe anasema;
mawaziri wetu wamegeuka kuwa mchwa. nakuambia ukweli waziri mkuu. bodi za mikopo zinatafunwa na mawaziri, mkuu wa shule ya mkwawa katafuna mikopo ya wanafunzi. wanafunzi wanapigwa mabomu baadala ya kupiga mabomu anayekula hela za wanafunzi.
Tbs sio shirika la viwango kwani halifanyi uchunguzi. waziri Chame na katibu wake wanalinda maslahi yao. ajari zote ni sababu ya matairi mabovu, vyakula vibovu na mafuta mabovu sababu ya tbs na huyo waziri chami.
 
Jumanne Magembe anasema;
bodi ya korosho ilitoa leseni 56 kati yao wanunuzi 16 ndo walijitokeza wengine wote hawakuja coz walitaka kuvunja utaratibu wa kununua korosho garani.
bank ya nmb imepeleka pesa wilayani so mda wowote kampuni za korosho zitaanza kulipa soon.
wizi katika bodi ya pamba; tuliteua mwenyekiti mpya baada ya kupata taarifa za wizi.
2. tumemuomba cag akague mahesabu yote ya bodi ya pamba na wale walio pewa pesa wakati wa mtikisiko wa uchumi.
 
Jumanne magembe anaendelea kusema; utaratibu wa kuchapisha vocha za pembe jeo ulifanya vocha zichelewe so tulitengeneza utaratibu mbadala ili vocha zikija ndo wapewe. tuliamini utaratibu huu utapunguza wizi but mawakala waligoma kutumia uyaratibu huo.
 
mwongozo wa spika: mchakato wa kulipa wakulima ulikamilika zamani kama naibu katibu mkuu alivyo tangazia wananchi mbona leo waziri anasema vingine eti hela bado nani mkweli? ndungai kaikaushia.
 
waziri wa afya anasema;
bil4 za dawa zilizo halibika zilikua chini ya standani zipo asilimia2.
ni utaratibu wa kawaida wa kuharibu dawa zinazoisha mda wake.
Vilevile ulikuwa mfumo duni wa uhifadhi yaani uzembe wa kiutendaji. sasa hivi tutaanza kutumia mfumo mpya wa kuhifadhi. dawa za arv na za maralia hatukuweka bei sababu ni za misaada. msd wanadai serikali lakini tushawalipa bl3.4.
Tumefanya sherehe za bl1.1 nanenane sio kweli tulitumia mil724 elfu. tumetumia nafasi hiyo kuongeza elimu kwa kuwapima
 
maonyesho mil700 kibanda cha nanenane mil600.
mil400 ilimika kuendeleza ujenzi wa nyumba ya waziri sio ukarabati kama wanavyo sema anasema waziri wa afya. cheo anasema hakuna haja ya kubishana na waziri kwani cag katuletea taarifa sio wewe waziri unatuletea takwimu hapa. kamwambia waziri wa afya.
 
Back
Top Bottom