dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
- Thread starter
- #81
mkuchika(waziri wa tamisemi) anasema;
serikali ya tanzania inaongoza kupeleka hela katika serikali za mitaa africa.trl3 zinapita serikali za mitaa.
baraza la madiwani ndo mlizi namba moja ya fedha za umma.
tumefungua mafunzo ya siku3 kila halmashauri tarh 15 mwezi ujayo mafunzo yanamalizikia pale korogwe waziri ataenda kuyafunga.
madiwani wa kilindi wamewakataa wafanyakazi11 na sisi tumewapelekea watu wengine. kuna watumishi 35 wakurugenzi wamefungwa wengine wamefukuzwa wengine kesi zipo mahakamani
serikali ya tanzania inaongoza kupeleka hela katika serikali za mitaa africa.trl3 zinapita serikali za mitaa.
baraza la madiwani ndo mlizi namba moja ya fedha za umma.
tumefungua mafunzo ya siku3 kila halmashauri tarh 15 mwezi ujayo mafunzo yanamalizikia pale korogwe waziri ataenda kuyafunga.
madiwani wa kilindi wamewakataa wafanyakazi11 na sisi tumewapelekea watu wengine. kuna watumishi 35 wakurugenzi wamefungwa wengine wamefukuzwa wengine kesi zipo mahakamani