Mbowe apigilia msumari

mkuchika(waziri wa tamisemi) anasema;
serikali ya tanzania inaongoza kupeleka hela katika serikali za mitaa africa.trl3 zinapita serikali za mitaa.
baraza la madiwani ndo mlizi namba moja ya fedha za umma.
tumefungua mafunzo ya siku3 kila halmashauri tarh 15 mwezi ujayo mafunzo yanamalizikia pale korogwe waziri ataenda kuyafunga.
madiwani wa kilindi wamewakataa wafanyakazi11 na sisi tumewapelekea watu wengine. kuna watumishi 35 wakurugenzi wamefungwa wengine wamefukuzwa wengine kesi zipo mahakamani
 
Mkuchika anasema; ni jukumu la mkuu wa mkoa kusimamia mamlaka yaliyo chini yake kuhakikisha zinafanya kazi.
 
hawa ghasia anasema: serikali tumeweka mfumo mpya ili kuondoa watumishi hewa. hili toleo la tisa tunaingiza watu wanaofanya kazi. tumetoa mafunzo kwa maafisa wawili wawili na kuwapa mfumo huo. sasa hivi kazi inafanywa na watumishi sio wahazini. muweka hazina anadili na payroll. sasa hivi tuna uwezo wa kujua aliye ingiza mtumishi hewa wapi na wakati gani kwa kutumia machine gani. sasa hivi tunaendelea kuwalipa watumishi dilishani. tayari serikali za mitaa tulishalipa watumishi wote na mwezi may tunamaliza.
 
gasia anasema;
sehemu tuliyo hakiki na kupata watumishi hewa tumewapelekea takukuru wawachungunze.
 
Kuna mambo yanakera sana. Hebu fikiria miaka 10 serikali inashindwa kutoa tsh billion 1 kwa ujenzi wa chuo cha wauguzi lakini serikali hiyo hiyo inatumia kiasi kama hicho cha fedha kusherekea nanenane mara 1. Hilo la Board ya Kariakoo ndio usiseme! Sijui hiyo wizara husika kama iko hai!

Tatizo la Serikali yetu ni kuifanya siku ya nane nane(maonyesho ya kilimo)kuwa Kama vile ni siku ya kuabudu.Matumizi ya anasa yameizidi Serikali hii ya mamwinyi wachache
 
Tatizo la JK si washauriwake bali nikuwa hana uwezo wa kuongoza alifikiri kuwa rais wa nchi ni kustarehe na kutalii duniani.
 
Anasema kitendo cha uongozi wote wa juu, mawaziri na viongozi serikali kukimbia bunge na kuacha watu watano kwa ajiri ya kulinda nafasi ya chama ni aibu sana. Anasema hiki kitendo ni sawa na kukimbia iikulu na kuwaachia upinzani.

Akasema wananchi wanaona tunavyo pambana. anasema ntawambia watanzania warudi barabarani kwa sababu hapa bungeni hatusikilizwi.

Naomba wananchi waendelee kuweka presha huko mtaani wakati sisi tukiweka presha bungeni.

Asante Mh. Mbowe, ndiyo maana 2015 ni lazima kieleweke. Ieleweke kuwa Watanzania hata vijijini si mbumbu tena. Ingewezekana kama sheria inaruhusu mngerecord kikao cha leo ili kitumike katika kampeni za pukutisha magamba.
 
vikao vya Chama havina ratiba yake? Kipindi cha bunge, ndipo kinafanyika kikao cha chma? Hii ni hujuma ya fedha za umma, ama kweli sikio la kufa halisiki dawa!!
 
Anajisahau sana kwa kujisomea gazeti la uhuru kila siku linamdanganya.
Ujuha unaigharimu sana nchi yetu
Tatizo la JK ni washauri wake, wanamdanganya kuwa mambo ni shwali, mwisho wa siku atashuudia ccm ikimfia mikononi!!!!!
 
Mimi nasubiri sahihi zikusanywe na namuomba mhe Zitto anisaidie kunipa taarifa kama mbunge wa jimbo langu la Karagwe Gozbert Blandes hatakuwa amesaini basi nitafanya kitu ambacho hataamini. Nitazunguka jimbo zima nikieleza usaliti anao ufanya kuanzia kusupport posho hadi ili na hatakuwa hatufai hata kidogo. Hukumu yake itakuwa ni wananchi kutompa kura tena
 
Back
Top Bottom