dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
- Thread starter
- #41
mh.mtarza anaendelea kusema:
kwa kipindi cha miaka 9 serikali imegoma kutoa hela tsh billion 1 kwa ajiri ya kujenga chuo cha wauguzi.
tunashukuru serikali sababu general tyre imerudi.
kwa kipindi cha miaka 10 serikali imeshindwa kuunda bodi kwa ajili ya wafanya biashara wa k/koo.
Tunaweza kukaa mwaka mzima hapa kisitokee kunacho tarajia.sawa na kukamua chura maziwa.
kwa kipindi cha miaka 9 serikali imegoma kutoa hela tsh billion 1 kwa ajiri ya kujenga chuo cha wauguzi.
tunashukuru serikali sababu general tyre imerudi.
kwa kipindi cha miaka 10 serikali imeshindwa kuunda bodi kwa ajili ya wafanya biashara wa k/koo.
Tunaweza kukaa mwaka mzima hapa kisitokee kunacho tarajia.sawa na kukamua chura maziwa.