kanyasu
JF-Expert Member
- Feb 9, 2009
- 234
- 18
Acheni kudanganya watu chadema ni chama cha ukabila hata Zitto Kabwe yumo kwa nguvu tu na munamwogopa kumfukuza.
haaku acheni kudanganya watanzania chadema ni chama cha ukabila saaana na hili wala siyo jungu lipo wazi kwani hata zito kabwe mmemfanyia zengwe sana yumo kwa kibuli chake tu. Nani hajui kuwa vyeo chedema ni mpaka wachaga waamue?
haaku acheni kudanganya watanzania chadema ni chama cha ukabila saaana na hili wala siyo jungu lipo wazi kwani hata zito kabwe mmemfanyia zengwe sana yumo kwa kibuli chake tu. Nani hajui kuwa vyeo chedema ni mpaka wachaga waamue?