Tunaelewa kaenda kumwambia kuwa tutaaandamana wakituvurumishia mabomu kama Lisu alivyofanya kukimbilia ubalozi wa Marekani na yeye Mbowe kamwambia kikiinuka nitakimbilia kwako jiandae kunipokeaTuliwaambia Tangu Jana , nadhani sasa wanaelewa
Waandamanaji wengine watajijua kama ambavyo Lisu ,God bless Lema na Heche walitimkia nje wakaacha wengine wanyonge wanakiona Cha mtema Kuni
Mazungumzo ya kutafuta ukimbizi hayo anajiandalia mazingira yake na familia yake baada ya kuona Lisu na Godbless Lema familia zao zala Bata nje