TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,892
- 11,289
kweli jasusi mkali...There are no lines between.
kweli jasusi mkali...There are no lines between.
Kamende, kwanza nakushukuru kwa taarifa hii, pili poleni kwa maswahibu hayo, huo ni mwanzo tuu au rasharasha, fainali ni October 31. Nimesema hiyo ni rasharasha tuu kwa sababu sikio la kufa, halisikii dawa, na mfa maji haachi kutapatapa, hii ni dalili ya maji ya shingo, hongereni.Ilikuwa kama sinema za akina Rambo ama matukio ya Rwanda Genocide. Mgombewa ubunge jimbo la Hai kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe akiwa katika mkutano wa hadhara huko Masama Kati ghafla kijana mmoja wa Green Guard alivamia mkutano kwa lengo la kuanzisha fujo. Kikosi cha ulinzi cha CHADEMA kilimdhibiti kijana huyo na kumhifadhi katika gari moja kwa lengo la kupisha mkutano uendelee.
Kumbe kijana huyo alikuwa ametangulizwa tu na kwamba pamoja naye walikuwepo vijana wa Green Guards wasiopungua 100. Vijana hawa wakiongozwa na Mgombea udiwani wa CCM katika kata hiyo walikwenda kufunga barabara ili msafara wa Freeman usipite eneo hilo. Kwa kawaida msafara wa Mbowe hutanguliwa na pick-up ambayo hubeba jukwaa na viti. Vijana hawa wa CCM waliliteka gari hilo lililokuwa linaendesha na Ndg. Lootore Lema na kumchukua kumpeleka katika nyumba ya mwanaCCM mmoja katika eneo hilo la Masama Mbweera.
Mbowe kusikia kuwa kamanda wake ametekwa alivunja mkutano na kuondoka kwenda kumwokoa. Walipofika kama 200m toka eneo la mkutano walikuta jeshi kubwa la vijana wa CCM wakiwa wameshikilia mapanga, mawe, majembe na vyuma. Hapo vita kamili ikaanza.
Katika vita hiyo magari ya msafara wa Mbowe yapatayo 6 yamevunjwa vunjwa vioo. Wanachama wa CHADEMA wameumizwa. Hata hivyo vijana wa CHADEMA walijitahidi kumlinda mwenyekiti wao wa taifa kwa kuongoza mapigano kama vita vya kawaida kabisa vya msituni. Ilimlazimu Mheshimiwa Mbowe kutoa bastola yake na kufyatua risasi kadhaa hewani ndipo Green Guards waliporudi nyuma na hivyo kuwezesha kupunguza kwa kiasi kikubwa madhara ambayo yangetokea kwa vita hiyo kuendelea uso kwa uso.
Ilikuwa patashika. Walinzi wa Mbowe walikuwa wakiwafuata Green Guards na kuwanyang'anya silaha zao na kuzitumia kuwapiga nazo. Kwa nasibu vijana kadhaa wa CCM wamekamatwa na kwa sasa wako katika kituo cha polisi cha wilaya ya Hai kwa ajili ya kuandika maelezo.
Taarifa zilizonifikia punde zinasema kuwa kijana mmoja ambaye amepigwa vizuri na CHADEMA ameomba asidhuriwe zaidi kwani atasema yote; namna walivyotumwa kuvamia na kuharibu mikutano ya Mbowe.
Waheshimiwa haya ni matunda ya mafunzo ya kijeshi ambayo CCM waliyafanya kwa vijana wao wapatao 5000 huko Iringa mwezi March mwaka huu na baadaye kule Moshi Vijijini ambako walitoa mafunzo ya kijeshi kwa vijana 350.
Chonde Chonde CCM!!
Madaraka mnayataka, Sawa; Lakini Damu yetu mnaitakia nini?
TUACHIENI AMANI YETU!!!!!!!!!
Acid, sometimes tit for tat does work!. Kuna wakati wa kutumia ustaarabu kuepusha shari lakini pia kuna wakati wa kutumia shari kuzima shari, yaani you beat them on their own game.vijana wa green guard hawana akili na Fuya ameshashindwa, walicofanya hakina maana... kani mbowe ameonyesha upuuzi mkubwa kama mwenyekiti wa chama kushindwa kumalizia mkutano na kufuata utaratibu wa sheria (ambao yeye kwa wilaya ya hai ana priviledge hiyo kubwa tu na anaijua) kumtoa kijana wake
Kama tunalaani violence, basi tuifanye kwa vitendo... kwa kwenda kufanya mambo ya tambaza nimesikitika sana
siamini mtu mwenye staha anaweza kuvunja mkutano kwenda kuokoa kwa staili ya kibohehe, mringa au tambaza
angetuma vijana
Nimesikitishwa na green guards lakini nimesikitishwa zaidi na mbowe
ukifanya ya kipumbavu na mpumbavu, watu hawatajua tofauti yenu
Hivi wewe magazeti yote yanayoripoti kila siku taarifa za wafuasi wa CCM kuwashambulia wafuasi wa CHADEMA hujayaona? Watu wengine bwana, wana macho lakini hawaoni, wana masikini lakini hawasikii, wana pua lakini hazinusi. Unataka hadi upigwe kibao ndiyo utaelewa kwamba CCM imeanzisha vita? Hebu jaribu kuwa mzalendo kwa nchi yako kuliko kushikilia ushabiki usio na kichwa wala miguu.chadema wanailaumu ccm na ccm nao wanawalaumu chadema kuwa ndio wanaoanzisha fujo na kutumia silaha maana sio ccm wenye walinzi peke yao hata chadema nao wana walinzi wao hivyo hatuwezi kuwa upande mmoja na kulaumu upande mwingine bila uchunguzi wa kina kufanyika na ndipo atajulikana nani anaetaka kumwaga damu za wa tz ili aingie ikulu!!!
Ama kuhusu member wa jf hatuna budi kuacha uchochezi na kuweka maslahi ya nchi kwanza kinyume chake nchi yetu itaingia ktk machafuko na watakao athirika ni watoto wetu, mama zetu, baba zetu, mabibi na mababu zetu!!!
vijana wa green guard hawana akili na Fuya ameshashindwa, walicofanya hakina maana... kani mbowe ameonyesha upuuzi mkubwa kama mwenyekiti wa chama kushindwa kumalizia mkutano na kufuata utaratibu wa sheria (ambao yeye kwa wilaya ya hai ana priviledge hiyo kubwa tu na anaijua) kumtoa kijana wake
Kama tunalaani violence, basi tuifanye kwa vitendo... kwa kwenda kufanya mambo ya tambaza nimesikitika sana
siamini mtu mwenye staha anaweza kuvunja mkutano kwenda kuokoa kwa staili ya kibohehe, mringa au tambaza
angetuma vijana
Nimesikitishwa na green guards lakini nimesikitishwa zaidi na mbowe
ukifanya ya kipumbavu na mpumbavu, watu hawatajua tofauti yenu
Ilikuwa kama sinema za akina Rambo ama matukio ya Rwanda Genocide. Mgombe wa ubunge jimbo la Hai kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe akiwa katika mkutano wa hadhara huko Masama Kati ghafla kijana mmoja wa Green Guard alivamia mkutano kwa lengo la kuanzisha fujo. Kikosi cha ulinzi cha CHADEMA kilimdhibiti kijana huyo na kumhifadhi katika gari moja kwa lengo la kupisha mkutano uendelee.
Kumbe kijana huyo alikuwa ametangulizwa tu na kwamba pamoja naye walikuwepo vijana wa Green Guards wasiopungua 100. Vijana hawa wakiongozwa na Mgombea udiwani wa CCM katika kata hiyo walikwenda kufunga barabara ili msafara wa Freeman usipite eneo hilo. Kwa kawaida msafara wa Mbowe hutanguliwa na pick-up ambayo hubeba jukwaa na viti. Vijana hawa wa CCM waliliteka gari hilo lililokuwa linaendesha na Ndg. Lootore Lema na kumchukua kumpeleka katika nyumba ya mwanaCCM mmoja katika eneo hilo la Masama Mbweera.
Mbowe kusikia kuwa kamanda wake ametekwa alivunja mkutano na kuondoka kwenda kumwokoa. Walipofika kama 200m toka eneo la mkutano walikuta jeshi kubwa la vijana wa CCM wakiwa wameshikilia mapanga, mawe, majembe na vyuma. Hapo vita kamili ikaanza.
Katika vita hiyo magari ya msafara wa Mbowe yapatayo 6 yamevunjwa vunjwa vioo. Wanachama wa CHADEMA wameumizwa. Hata hivyo vijana wa CHADEMA walijitahidi kumlinda mwenyekiti wao wa taifa kwa kuongoza mapigano kama vita vya kawaida kabisa vya msituni. Ilimlazimu Mheshimiwa Mbowe kutoa bastola yake na kufyatua risasi kadhaa hewani ndipo Green Guards waliporudi nyuma na hivyo kuwezesha kupunguza kwa kiasi kikubwa madhara ambayo yangetokea kwa vita hiyo kuendelea uso kwa uso.
Ilikuwa patashika. Walinzi wa Mbowe walikuwa wakiwafuata Green Guards na kuwanyang'anya silaha zao na kuzitumia kuwapiga nazo. Kwa nasibu vijana kadhaa wa CCM wamekamatwa na kwa sasa wako katika kituo cha polisi cha wilaya ya Hai kwa ajili ya kuandika maelezo.
Taarifa zilizonifikia punde zinasema kuwa kijana mmoja ambaye amepigwa vizuri na CHADEMA ameomba asidhuriwe zaidi kwani atasema yote; namna walivyotumwa kuvamia na kuharibu mikutano ya Mbowe.
Waheshimiwa haya ni matunda ya mafunzo ya kijeshi ambayo CCM waliyafanya kwa vijana wao wapatao 5000 huko Iringa mwezi March mwaka huu na baadaye kule Moshi Vijijini ambako walitoa mafunzo ya kijeshi kwa vijana 350.
Chonde Chonde CCM!!
Madaraka mnayataka, Sawa; Lakini Damu yetu mnaitakia nini?
TUACHIENI AMANI YETU!!!!!!!!!
Umeweka post makini sana.vijana wa green guard hawana akili na Fuya ameshashindwa, walicofanya hakina maana... kani mbowe ameonyesha upuuzi mkubwa kama mwenyekiti wa chama kushindwa kumalizia mkutano na kufuata utaratibu wa sheria (ambao yeye kwa wilaya ya hai ana priviledge hiyo kubwa tu na anaijua) kumtoa kijana wake
Kama tunalaani violence, basi tuifanye kwa vitendo... kwa kwenda kufanya mambo ya tambaza nimesikitika sana
siamini mtu mwenye staha anaweza kuvunja mkutano kwenda kuokoa kwa staili ya kibohehe, mringa au tambaza
angetuma vijana
Nimesikitishwa na green guards lakini nimesikitishwa zaidi na mbowe
ukifanya ya kipumbavu na mpumbavu, watu hawatajua tofauti yenu
Acid, sometimes tit for tat does work!. Kuna wakati wa kutumia ustaarabu kuepusha shari lakini pia kuna wakati wa kutumia shari kuzima shari, yaani you beat them on their own game.
I agree, lakini angalia Mbowe, mwenyekiti wa chadema, na kibaka anayejiita grin gad!!! Rationale....??? HakunaAcid, sometimes tit for tat does work!. Kuna wakati wa kutumia ustaarabu kuepusha shari lakini pia kuna wakati wa kutumia shari kuzima shari, yaani you beat them on their own game.
pole sana... dont compare apples and orangesAsante umenikumbusha ule wimbo wa Kenny Rogers, 'sometimes you have to fight to be a man' - unaitwa nini, Coward of ?
Kamende, kitendo tuu cha Kikosi cha ulinzi cha CHADEMA kilimdhibiti huyo kijana na kumhifadhi katika gari moja kwa lengo la kupisha mkutano uendelee hii abduction na illegal deteintion, hicho kikosi cha ulinzi cha Chadema kilipata wapi uwezo huo?.Ilikuwa kama sinema za akina Rambo ama matukio ya Rwanda Genocide. Mgombe wa ubunge jimbo la Hai kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe akiwa katika mkutano wa hadhara huko Masama Kati ghafla kijana mmoja wa Green Guard alivamia mkutano kwa lengo la kuanzisha fujo. Kikosi cha ulinzi cha CHADEMA kilimdhibiti kijana huyo na kumhifadhi katika gari moja kwa lengo la kupisha mkutano uendelee.
usiwe haambiliki... na naomba uchukue sekunde kusoma post zangu, au muandikie MS atakuambia... he went even offiline kupambana na mimiwanaccm kwa spin bana, eti amesikitishwa na mbowe. Mbowe angekosea sana kumuacha mmoja wa wafanyakazi wa kampeni yake kwenye mikono ya green guards. These are trained killers.
pole sana... dont compare apples and oranges
namlinganisha mbowe, lipumba na kikwete... national leaders... not street bangers!!