Mpambalyoto
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 752
- 3
Mkuu Kamende ameleta habari, imejadiliwa. Inaonekana mambo si shwari. Sasa tusubiri taarifa ya Gen. Emeritus Shimbo. Prof. Kinana na Dr. Makamba kwa upande mmoja na ya Ndugu Baregu na Mabere Marando kwa upande mwingine. Bado natafakari