Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
toka alipoingia Kikwete madarakani ghafla nimeichukia Yanga
Acha ushamba Mkuu, Kikwete amekuudhi nini kinachofanya uichukie Yanga? Kikwete hajazaliwa Yanga ilikuwepo, amezaliwa akaikuta kama wewe ulivyoikuta, sasa tatizo liko wapi?