Sunzu?Sunzu mbona shati tuu?ata bure mkuu!
Ni mkataba wa miaka 7,mshahara 12,000per month.Mkataba ni wa miaka mingapi? Kwa Yanga niijuayo itakuwa vigumu sana Maximo kumaliza mkataba salama.
Teh teh.Kwasababu mnachonga sana kagame tunawapiga wiki wapumbavu nyie.....
Yaani nnaona michuano ya Kagame inachelewa balaa!Simba na nyie mleteni Jan Poulsen si ni tabaia yenu kuiga? Alipokuja Timbe nyie mkaleta Basena, akaja Papi na nyie mkaleta Milovan, sasa Maximo na nyie mtamrudisha PaulHuesni
Mkuu jioni ya kesho ebu tembelea huku maeneo ya UK lol!Hii nimeipata Michuzi Blog. Soma hapa:
MICHUZI: BREAKING NYUZZZZZZZ........: Marcio Maximo kutua Yanga
Maoni: Yusuph Manji ameanza kuonesha makucha yake. Tutegemee makali zaidi.
Nina mtazamo tofauti, alipokuwa taifa stars alifanya nini cha tanzania kujivunia katika historia ya soka duniani
Mkataba ni wa miaka mingapi? Kwa Yanga niijuayo itakuwa vigumu sana Maximo kumaliza mkataba salama.
Sema hivi fisadi tunakutakia maisha marefu.....ama kweli mwanaume alie mbaka mama yako ndiyo ukazaliwa utake usitake utamwita baba tu....hahahah
toka alipoingia Kikwete madarakani ghafla nimeichukia Yanga
Teh teh.
Ngoja kwanza nikutajie kikosi mkuu.
1.Mustafa Bathez.
2.Salumu Telela.
3.Oscar Joshua.
4.Kelvin Yondani-mtoto wa Mwanza.
5.Canavaro wa bongo.
6.Chuji.
7.Nizar.
8.Niyonzima Haruna.
9.Chichili Chikwarakwara
10.Hamisi Kiiza Diego
11.Owen Kasule.
Kwenye Bench:
12.Said mohamed.
13.Teita
14.Nurdin Bakari
15.Gumbo
16.Tegete
17.Kijiko
18.Bakari Mbegu.
Kocha mkuu-Maximo.
Kocha msaidizi-Minziro.
Dr-Sufiani.
Mwenyekiti wa club-Manji.
Uwanja-Kaunda.
Idadi watazamaji-22,000.
Kwa mziki huu nani atatoka pale kaunda?
Acha bana!
Kutoka nafasi ya 270 kwa viwango vya fifa hadi nafasi ya 86 siyo historia nzuri hiyo?
Simba na nyie mleteni Jan Poulsen si ni tabaia yenu kuiga? Alipokuja Timbe nyie mkaleta Basena, akaja Papi na nyie mkaleta Milovan, sasa Maximo na nyie mtamrudisha PaulHuesni
..kwa makipa hao ndugu yangu....?Teh teh.
Ngoja kwanza nikutajie kikosi mkuu.
1.Mustafa Bathez.
2.Salumu Telela.
3.Oscar Joshua.
4.Kelvin Yondani-mtoto wa Mwanza.
5.Canavaro wa bongo.
6.Chuji.
7.Nizar.
8.Niyonzima Haruna.
9.Chichili Chikwarakwara
10.Hamisi Kiiza Diego
11.Owen Kasule.
Kwenye Bench:
12.Said mohamed.
13.Teita
14.Nurdin Bakari
15.Gumbo
16.Tegete
17.Kijiko
18.Bakari Mbegu.
Kocha mkuu-Maximo.
Kocha msaidizi-Minziro.
Dr-Sufiani.
Mwenyekiti wa club-Manji.
Uwanja-Kaunda.
Idadi watazamaji-22,000.
Kwa mziki huu nani atatoka pale kaunda?
Acha bana!
Teh teh.
Ngoja kwanza nikutajie kikosi mkuu.
1.Mustafa Bathez.
2.Salumu Telela.
3.Oscar Joshua.
4.Kelvin Yondani-mtoto wa Mwanza.
5.Canavaro wa bongo.
6.Chuji.
7.Nizar.
8.Niyonzima Haruna.
9.Chichili Chikwarakwara
10.Hamisi Kiiza Diego
11.Owen Kasule.
Kwenye Bench:
12.Said mohamed.
13.Teita
14.Nurdin Bakari
15.Gumbo
16.Tegete
17.Kijiko
18.Bakari Mbegu.
Kocha mkuu-Maximo.
Kocha msaidizi-Minziro.
Dr-Sufiani.
Mwenyekiti wa club-Manji.
Uwanja-Kaunda.
Idadi watazamaji-22,000.
Kwa mziki huu nani atatoka pale kaunda?
Acha bana!